simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Ni vizuri wana ccm wandamane ili awachiliwe huru, yes very promptly.
Source ni JF kupitia Iron finger au ulitaka je... kwanza una kera ku-quote majina ili iweje, unawapa shida wanaotumia simu ku-browse
je wajua kuwa lowasa in mchaga wa machame na siyo mmasai? na wajua ni kwa nini alibadili kabila ?
Mkuu kosa ambalo limeandikwa kwenye kitabu cha kukamatwa ni nini ? Sidhani kama wanaweza wakasema upo chini ya ulinzi kwa kumtaja mtu.., kwahiyo ni sababu gani waliyotoa?
Ri naye amezidi yeye anakuwa kama ndo rais
Yote haya ni sababu ya JK kufumbia macho mafisadi, wavue gamba haraka ili wakaunde chama chao waitumie kugombea Urais.