J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,195
Naomba kujua sheria ipi inampa mwanajeshi kibali cha kumpiga mwananchi au raia ikiwa ni pamoja na kumpa adhabu,
Kwa nini asimkabidhi yule raia kwa jeshi la polisi ili achukuliwe hatua za kisheria?
Na kwa nini amchukue mpaka kambi za jeshi kwenda kupewa adhabu huko kwa naye ni mwanajeshi,
Hii imetokea leo pale jkt karibu na uhasibu barabara ya kilwa road kwa kodakta moja wa daladala.
Nawasalisha.
J putin
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini asimkabidhi yule raia kwa jeshi la polisi ili achukuliwe hatua za kisheria?
Na kwa nini amchukue mpaka kambi za jeshi kwenda kupewa adhabu huko kwa naye ni mwanajeshi,
Hii imetokea leo pale jkt karibu na uhasibu barabara ya kilwa road kwa kodakta moja wa daladala.
Nawasalisha.
J putin
Sent using Jamii Forums mobile app