cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
SAMAHANI KUSEMA HILI, BUT AM SURE WEWE NI MMOJA WAO! WALLAH WEW UTAKUWA NI MMOJA KATI YA YALE MABUNDI YALIKUWA FRONT LINE KUONA MWENZAO KAENDA! Nasema hivi malipo ni hapahapa nyie ndio mtakufa na maiti zenu ziliwe na tumbusi! fullu stop!Milliom 58 kwa mazishi yale mbona naona kama ni sawa. Tatizo leti Wabongo hatuaminiani kabisa. Kamati imefanya vyema. Tuwashukuru kwa kazi nzuri.