Wekeza kwenye fixed assetsFanya kuweka kwenye nyumba
Bodaboda inahitaji experience gani mkuu?Kama una experience na kazi ya boda boda bora uiweke huko hiyo hela coz ukiwa makini vzr itamaliza finishing ya mjengo wako na faida juu kwa mda flan, bt kama hauna experience nayo ndo unataka uingie kujaribu kaa mbali.
Sina experience mkuuKama una experience na kazi ya boda boda bora uiweke huko hiyo hela coz ukiwa makini vzr itamaliza finishing ya mjengo wako na faida juu kwa mda flan, bt kama hauna experience nayo ndo unataka uingie kujaribu kaa mbali.
Yakwel hayo dada angu ..mim nipe mchanganuo huo wa 1.5m itoe 5m ndan ya miez mi3 tufanye wote wew ule 50% ya faidaHiyo 3m wekeza tu kwenye nyumba alafu 1.5m unipe Mimi..upate faida ya 5m kwa miezi miwili tu..
Kweli mkuu? Mimi nikikupa 3 utanipa kiasi gani kwa mwezi ?Hiyo 3m wekeza tu kwenye nyumba alafu 1.5m unipe Mimi..upate faida ya 5m kwa miezi miwili tu..