proisra
JF-Expert Member
- Jun 14, 2012
- 214
- 158
Baraza la mazingira Tanzania (NEMC) lipo likizo. Wadau wa Mazingira Morogoro hawapo tayari kuingilia kati mambo haya. Maji Morogoro hayapatikani kwa muda mrefu kwa uharibifu wa mazingira unaoendelea, na hasa uchomaji misitu na milima ya Uluguru.
Pichani, moto ukiendelea kuchoma milima ya Uluguru leo asubuhi. Picha hii imechukuliwa karibu na kituo cha Njia pandaya DSM, Bigwa- Morogoro.
Pichani, moto ukiendelea kuchoma milima ya Uluguru leo asubuhi. Picha hii imechukuliwa karibu na kituo cha Njia pandaya DSM, Bigwa- Morogoro.