pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
- Thread starter
- #401
Nyumba yako Maisha yako
mkuu vipi PM yanguMoolizy nimekusoma PM usione kimya nitakujibu bado nachek namna ya kulifanyia kazi jambo lako kiongoz
Kama jamaa yupo Dar mwambie afike ofisi za one2onefocus Makumbusho complex gorofa ya pili atasaidiwa me nipo Mwanza kiongozmkuu vipi PM yangu
Dar ndo makao makuuKama jamaa yupo Dar mwambie afike ofisi za one2onefocus Makumbusho complex gorofa ya pili atasaidiwa me nipo Mwanza kiongoz
shukrani mkuu nitafanyia kaziDar ndo makao makuu
Naishi mjimwema kigamboni, naomba niwasiliane na wewe nizitembelee hizo nyumba mnazojenga huku kwa hatua ya kwanza kabla sijafika ofisini, nina hitaji kufanya project kubwa za apartment hivyo naomba nijidhihirishe.![]()
![]()
Project nyingine ikiendelea maeneo ya kigambon ni nyumba ya Vyumba viwili vyote self, sebule, dining, store, jiko la kisasa na public toilet kwa garama ya shil mil 32 tu
Material zetu ni bora na za kisasa zaidi
Madirisha aluminum
Milango Aluminium/mninga kwa garama moja
Tiles China grade one, Spain or Italy grade two
Gypsum
Bati msauz mgongo mpana
Vifaa vya bomba na masinki tunatumia vya uturuki
Kwa swali maoni ushauri WhatsApp me 0763772636
Karibu ofisi zetu zipo Makumbusho complex waweza kufika na tukaendaNaishi mjimwema kigamboni, naomba niwasiliane na wewe nizitembelee hizo nyumba mnazojenga huku kwa hatua ya kwanza kabla sijafika ofisini, nina hitaji kufanya project kubwa za apartment hivyo naomba nijidhihirishe.
AsanteKaribu ofisi zetu zipo Makumbusho complex waweza kufika na tukaenda
Composition ya ground floor na ya 1st floor ipojeMil 110![]()
Sample ya gorofa ya floor moja bei mil 110 karibu
Kama kuna Nyumba ya mfano mliokwishajenga ya hiyo 32Mil tunaomba mtuwekee picha zake hapaNi Vyumba viwil self vyote ukubwa 4.5*4.5 kwa chumba then sebule choo cha public, dining, store na jiko karibu sana mikoan kote tunafanya kaz mpaka zanzibar
Ebu picha ya vyumba viwili na bei yake