Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Karibun sana kwa Huduma bora zaidi Nyumba yako Maisha yako
 
b0159f1e56e91ca699c0504cb3ec424f.jpg
cd0991616cd64ff33f0044c26a89a1a6.jpg
fd06a7103ede896eccc0fc9125ca25de.jpg
b20f352b25998543627ae29f08bc7062.jpg

Nyumba yako Maisha yako karibu kwa ujenzi bora kabisa
 
9ac5fe0202ecb37430eff8d8c016efba.jpg
b26ba145cc327f291c6c0b5226eeff7c.jpg

Ujenzi wa Gorofa maeneo ya Bunju Dar karibuni kwa ujenz bora na wa uhakika kabisa
 
kazi nzuri sana
Tanzania inaanza kuonyesha mwanga mkuu ujenzi holela bila taaluma ni hatari kwa pesa zako
Blessed
 
a5bdba480282114a7d8d0017887ba337.jpg
0d3dc155b42020d6051c880007ce9598.jpg

Project nyingine ikiendelea maeneo ya kigambon ni nyumba ya Vyumba viwili vyote self, sebule, dining, store, jiko la kisasa na public toilet kwa garama ya shil mil 32 tu
Material zetu ni bora na za kisasa zaidi
Madirisha aluminum
Milango Aluminium/mninga kwa garama moja
Tiles China grade one, Spain or Italy grade two
Gypsum
Bati msauz mgongo mpana
Vifaa vya bomba na masinki tunatumia vya uturuki
Kwa swali maoni ushauri WhatsApp me 0763772636
 
Tunachora na kudizin Raman za majengo ya aina zote karibun sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom