Mr.Waukweli
Member
- Feb 18, 2012
- 60
- 40
Sory not NSSF NI NHC
Marketing strategies na Technical Aspects!Asante mkuu wanishauri katika nini mkuu naomba unifafanulie ili nijue mapungufu asante
... Materials mnauza?Karibu ofisini kwetu makumbusho complex au Buzuruga Plaza kwa Mwanza utapata maelezo yote ya maswali yakoView attachment 473036View attachment 473038View attachment 473039View attachment 473040View attachment 473041View attachment 473043 hizo ni sample za baadhi ya project zetu tunazofanya pia hayo ni mabati ya msauz ndo tunaezekea karibu bosi
... Je vipi kuhusu kumalizia nyumba, na kufanya finishing?Karibu sana bossi wangu
Gharama za ujenzi wa nyumba mpaka kukamilika inategemea na material yanayotumika pamoja na kiwango cha nyumba yenyewe. Ukisema unajenga nyumba kwa milioni 32 ya kisasa, ukapiga finishing ata ya third class kwenye nyumba ya vyumba vitatu yenye sebule, jiko, 2bathrooms na store pamoja na kufanya plumbing, wiring, wall finishing, floor na ceiling lazima utimie material ambayo ni very cheap sio kama yanavyoonekana kwenye izo picha zilivyopigwa kwenye bafu, wala cladding za iyo picha ya visualization. Itabidi mteja aweke assumption kwamba kiwanja ni chake alishanunua, tusifike mbali sana....I smell something fishyTatizo wabongo hamueleweka NSSF wanauza nyumba za vyumba viwili na sebule kwa ml 58,000,000= n.mnalalamika eti bei kubwa sana, sasa mmeletewa nyumba za mil32 mnasema hakuna nyumba ya gharama iyo, sasa mnataka nyumba ya sh ngapi?
Ukiwa na maana kwamba nyumba yako imejengwa haijamaliziwa unataka sisi tuimalizie? Kama ndo umemaanisha ivo karibu tunafanya finishing garama itatrgemea na ukubwa wa Nyumba na mahali ilipoishia karibu sana chek me WhatsApp kwa 0763772636 tuyajenge Maisha... Je vipi kuhusu kumalizia nyumba, na kufanya finishing?
Asante mkuuKazi nzuri, hongereni sana.
... NitakupigiaUkiwa na maana kwamba nyumba yako imejengwa haijamaliziwa unataka sisi tuimalizie? Kama ndo umemaanisha ivo karibu tunafanya finishing garama itatrgemea na ukubwa wa Nyumba na mahali ilipoishia karibu sana chek me WhatsApp kwa 0763772636 tuyajenge Maisha
Pole kaka usiwe na mawazo hasi kwa kila jambo naomba nikuulize Mfano kama mimi Nina kiwanda kidogo cha kuproduce mabati na misumari je unadhan bei ya bati kwangu itakuwa sawa na ya wewe unaenunua rejareja? Huo ni Mfano tu kuna mtu anaitwa luck sabasaba aliwahi kutoa uzi humu juu ya jinsi Dubai wanavyouza vifaa vya ujenz kwa garama nafuu kabisa Mfano kitasa cha elfu 55 hapa Dubai ni 15 huu ni Mfano tu so sisi kazi hatujaanza Jana au Leo mkuu tuna miaka zaidi ya 8 sasa nimekupa mifano midogo tu ya kukusaidia karibuGharama za ujenzi wa nyumba mpaka kukamilika inategemea na material yanayotumika pamoja na kiwango cha nyumba yenyewe. Ukisema unajenga nyumba kwa milioni 32 ya kisasa, ukapiga finishing ata ya third class kwenye nyumba ya vyumba vitatu yenye sebule, jiko, 2bathrooms na store pamoja na kufanya plumbing, wiring, wall finishing, floor na ceiling lazima utimie material ambayo ni very cheap sio kama yanavyoonekana kwenye izo picha zilivyopigwa kwenye bafu, wala cladding za iyo picha ya visualization. Itabidi mteja aweke assumption kwamba kiwanja ni chake alishanunua, tusifike mbali sana....I smell something fishy
Karibu mkuu... Nitakupigia
Ikiwa dar 32m ikiwa chato 32mGood idea..
Mkuu wewe ni mfanyabiashara mkubwa sana.. Umeshindwa kiajiri architect afanye sample designs za Ku display? Maana unatuwekea mapicha picha ya mtandaoni ambayo yanatupa Mashaka kama kweli uko serious na kazi yako...
Pia, nyumba ya 32m regardless of location, soil conditions, plan size and the like ni uongo..
Me thinks.
Check WhatsApp...Karibu mkuu
Hahhahah Mungu atusaidie kwa kweli jua kali hela hakuna kwann mtu usidate...Ukikuta mtu analalamika sanaa ujue mfukoni hali sio nzuri, wengine wakiwa ktk hali hiyo huwa wanakuwa wakali sanaaaa, kama mbogo aliyejeruhiwa
Popote maana kiwanja ni chakwako sisi ni materialIkiwa dar 32m ikiwa chato 32m
Ndio mkuu karibu sanaVipi hiyo huduma mnaweza kutoa mikoani?
Karibu bossTutakutafuta kwa ufafanuzi zaidi mkuu
Mfano mzuri, kwa iyo bei itakua ngumu kama una kiwanda kwa sababu unatakiwa kukipa kodi. Kama hauna kiwanda sio tena ngumu, it's impossible kabisa. Sasa una kiwanda? Maana kama unatengeneza tiles, mabati na kama unatengeneza izo cladding materials itabidi uwe na Campuni kabisa. Maana kama una kiwanda cha kutengeneza hayo materials mwenyewe kwa ajili ya shughuli zako za ujenzi nakupa eco sana. Je, una kiwanda?Pole kaka usiwe na mawazo hasi kwa kila jambo naomba nikuulize Mfano kama mimi Nina kiwanda kidogo cha kuproduce mabati na misumari je unadhan bei ya bati kwangu itakuwa sawa na ya wewe unaenunua rejareja? Huo ni Mfano tu kuna mtu anaitwa luck sabasaba aliwahi kutoa uzi humu juu ya jinsi Dubai wanavyouza vifaa vya ujenz kwa garama nafuu kabisa Mfano kitasa cha elfu 55 hapa Dubai ni 15 huu ni Mfano tu so sisi kazi hatujaanza Jana au Leo mkuu tuna miaka zaidi ya 8 sasa nimekupa mifano midogo tu ya kukusaidia karibu