Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

Andaa proposal na Aproach mabenk na mifuko ya hifadhi za jamii uuze huko kwa kauli mbiu ya miliki nyumba Dodoma usipange kwa muda mrefu. Utapata wateja mpaka ukimbie
Asante mkuu kwa ushauri noted
 
Hii safi sana mkuu! Vp unaweza kutuwekea japo kazi ambazo mmeshafanya?
 
Halafu kwamba bei zao ni ndogo kwa vile kampuni inamiliki kiwanda kidogo cha kutengeneza bati, ina shamba lake la mbao na kadhalika...hii kwangu ina ukakasi... samahani lakini
Sawa mkuu acha wajenz waendelee kujenga watakuja kukusimulia
 
You're lucky, you're an architectual not an eng. So you cant be so sure go further with consultation maybe you will come to realise that you wasted much of your parents fees not being able understand estimation and costing as part of your course study!! (hizo gharama zinaweza kabisa kujenga nyumba) asante.
Asante kwa kunisaidia kujibu maana anaweza akajiona anajua kila kitu kumbe bado sana
 
Kwakweli hata mimi nimeshangaa... maana thamani ya kiwanja tu ni karibia robo ya gharama ya nyumba...

Hata kama una kiwanja chako, 32M kujenga nyumba mpaka iishe, nna mashaka na uimara wa hiyo nyumba.
Kuna uimara


Udongo

Slope au tambarare

Mmmmmmh
 
kwa nini usi upload actual picture ya nyumba mlizowahi kutengeneza kwa ajili ya wateja wenu
Nilishaweka labda niongezee
57e5c7d2-27f0-4ae4-8591-c6e0dbf387ff-0-768x576.jpg
13976-4-house.jpg
IMG-20150815-WA0003-768x576.jpg
Professional-House-Painters56dbebc3ef9d1c7da00e-2.jpg
 
Ndugu, hio nyumba yenye fance ya waya mliijenga sehemu gani? Naona kama naijua somewhere in Kenya au macho yangu yana shida!!
Yanashida kubwa kaka muone Daktar chap au kula mboga za majan kwa wingi
 
Back
Top Bottom