Miliki apartments hizi kwa kuanza na 30% ya bei ya apartments kisha lipa taratibu ndani ya miezi 20 mpaka 24

Miliki apartments hizi kwa kuanza na 30% ya bei ya apartments kisha lipa taratibu ndani ya miezi 20 mpaka 24

denisi_masoko

Senior Member
Joined
Aug 15, 2016
Posts
179
Reaction score
150
Mango tree residence ni mradi mpya na wa kisasa ambao utakuwa na apartments za makazi na biashara Unaojengwa Msasani beach nyuma ya kwa Nyerere mikocheni Dar es salaam.

Ni mradi wa majengo ma 5 yenye gorofa 17 kila jengo, mradi tayari umeanza kujengwa toka mwezi wa 8 mwaka jana, ambapo unatarajiwa kukamilika mwakani 2027 kwa phase 1 na 2029 kwa phase 2.
Kwa sasa ujenzi umefikia floor ya 6 kwa phase 1


Unit ama apartments zinapopatikana hapa ni one, two na three bedrooms. Ambapo bei zake zinaanzia 94000 dola, mfumo wa malipo utachagua ww, ukitaka kulipa yote au kwa installment.

Na ukitaka kulipa kwa installment muda ni miezi 20 hadi 24 yaani miaka miwili.

Ukinunua apartments hizi unapewa umiliki wa unit yako kwa kupewa tittle died au hati ya jina lako kwenye hizi apartments.

Bei zake.

One bedrooms zinaanzia 94000 usd

Two bedrooms zinaanzia 143,000 usd

Three bedrooms zinaanzia 195,000 usd.

Bei hizi ni mpaka tarehe 1 mwezi wa 3 mwaka huu, kwa sababu kuanzia tarehe 1 bei zinapanda, kwa sabb tulianza na bei hizi kabla hata hatujaanza ujenzi na kwa sasa tupo floor ya 6.


Mfumo wa malipo na discount

Kianzio cha malipo ni 30% na kuendelea.

Ukilipia 30% discount 5%

Ukilipia 50% discount 7-10%

Ukilipia yote discount 12-15%

Installment 20-24 months.


Kutembelea site yetu ni bure tunafanya kazi siku 7 kwa wiki.

Ofisi ziko wazi kuanzia saa 9 asubuhi hadi 12 jioni.
Location ya ofisi ilipo ndipo site yetu ilipo.

Naomba tupigie kama unataka maelezo zaidi ya mradi, ama unataka kuja site ama ofisini kwetu, namba 0743 598 873 whatssap pia ipo.

Karibuni mango tree residence muwekeze ni location nzuri sana kwa biashara ya airbnb, apartment renting, restarant ama unaweza kuweka hotel na ni mradi ambao una aminities zenye kuvutia wageni ambapo kwenye mradi huu kutakuwa na aminities zifuatazo
Tennis ground (Uwanja wa tennis)
Swimming pool 2
Gym
Oceanic bar
Eneo la michezo ya watoto.
parking ya kutosha.
Elevators
24 hours Security
CCtv cameras
Standby Generators
Garden
Beach acces
Ukinunua apartments zetu za 120sq, 150sq, 98sq na 54sq utapata sea view proper.
karibu uwekeze hapa uzee hauna hodi.
Kwa maelezo zaidi ya mradi wasiliana nami.
Denis masoko

0743 598 873

Karibuni watanzania fursa ndio hii
 

Attachments

  • 20260207_145949.jpg
    20260207_145949.jpg
    1.2 MB · Views: 7
  • 20260212_194001.jpg
    20260212_194001.jpg
    553.3 KB · Views: 10
  • 20260212_194006.jpg
    20260212_194006.jpg
    829.8 KB · Views: 10
  • 20260207_145937.jpg
    20260207_145937.jpg
    1.1 MB · Views: 9
  • 20260207_145943.jpg
    20260207_145943.jpg
    1.2 MB · Views: 9
  • 20260207_145949.jpg
    20260207_145949.jpg
    1.2 MB · Views: 13
  • 20260207_150012.jpg
    20260207_150012.jpg
    1,021 KB · Views: 11
  • 20260207_145932.jpg
    20260207_145932.jpg
    990.5 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom