Milard Ayo anatisha aisee.

Milard Ayo anatisha aisee.

600 views Millard $4m,Diamond 512 m views $2.6 m,why ?,Rayvany 129 m views $2.8m mmmh,Sijui umetumia kikokoto gani au link ya uongo manake Mathematicaly ina prove wewe na hiyo link wote waongo au karudie hesabu zile za shamba mf watu 10 hulima shamba kwa siku 4 je watu 9 watalima kwa siku ngapi,simple fanya milard 600 m views thamani $4m,Diamond 512m views ,thamani yake itakuwa ngapi una cross matapu tapu utapata jibu.
MKuuu Hiyo sio total kuwa mwelewa aiseee hayo ni mahesabu ya siku mwezi sio total aliyopata
na hiyo views ni total ya walioangalia
kagoogle kikokotoo unachokijua tuetee hesabu ya tofauti hapa
 
MKuuu Hiyo sio total kuwa mwelewa aiseee hayo ni mahesabu ya siku mwezi sio total aliyopata
na hiyo views ni total ya walioangalia
kagoogle kikokotoo unachokijua tuetee hesabu ya tofauti hapa

Youtube hawana kikokoto ambacho kipo fixed,bali thamani itagemea acc ya mtu ina umaarufu gani na nguvu ya kutrend sehemu tofauti tofauti za dunia so unaweza ukawa na Youtube acc lakini usitegemee Diamond akalipwa sawa na Drake per views sababu watu wawili tofauti ambao wana level tofauti za umaarufu (Drake anajulikana sana sehemu nyingi duniani kuliko Mondi),sawa na Diamond na Millard ni watu tofauti katika level za umaarufu na ndio maana tangazo litakalo kaa kwa Mondi litachajiwa tofauti na tangazo litakalokaa kwa Millard.

"mahesabu ya siku mwezi sio total aliyopata" sijakuelewa hapa una maanisha nini?
 
kwa hoyo huyo rayvan anamzidi diamond mapato ya youtube,hata darasa la 7 bashite hawezi kubali taarifa kama hii

Hiyo inatokana na Diamond kutoweka video mpya kwenye account yake hivi karibuni wakati rayvanny ameshaweka ngoma 2 zenye viewers kibao ambazo ni mwanza na tetema..

Ukiangalia hata hizi hesabu wameziweka kwa kuangalia hilo ..

Subiri Diamond achie ngoma Ndio utaona zitabadilika
 
Kama
Youtube hawana kikokoto ambacho kipo fixed,bali thamani itagemea acc ya mtu ina umaarufu gani na nguvu ya kutrend sehemu tofauti tofauti za dunia so unaweza ukawa na Youtube acc lakini usitegemee Diamond akalipwa sawa na Drake per views sababu watu wawili tofauti ambao wana level tofauti za umaarufu (Drake anajulikana sana sehemu nyingi duniani kuliko Mondi),sawa na Diamond na Millard ni watu tofauti katika level za umaarufu na ndio maana tangazo litakalo kaa kwa Mondi litachajiwa tofauti na tangazo litakalokaa kwa Millard.

"mahesabu ya siku mwezi sio total aliyopata" sijakuelewa hapa una maanisha nini?
Ndio hivyo Basi watu wasingefanya hilo mkuu ila ninachojua nikwamba mtu wa marekani aakiangalia video yako na mtu wa tanzania akiangalia kuna rate tofauti tofauti za malipo
but haujajua hayo mambo napigisha kelele na mtu ambaye sio ulimwengu wake
 
Kama

Ndio hivyo Basi watu wasingefanya hilo mkuu ila ninachojua nikwamba mtu wa marekani aakiangalia video yako na mtu wa tanzania akiangalia kuna rate tofauti tofauti za malipo
but haujajua hayo mambo napigisha kelele na mtu ambaye sio ulimwengu wake

Kumbe unafahamu ila ubishi sasa kuna tofauti gani na nilichokiandika mimi,wewe mwenywe umekiri kuna rate tofauti tofauti za malipo na ndio maana nikakwambia Diamond na Millard hawapo katika rate moja ya malipo ,sababu tangazo litakalowekwa na Mondi litaangaliwa na nchi nyingi duniani ,ila tangazo la Millard litaangaliwa na TZ labda ikizidi sana Kenya.

Ndio maana nikakwambia hamna kikokoto ambacho kipo fixed cha kukokotoa thamani ya acc na malipo ya kila views,kikokoto kinategemea acc yako ni popular kiasi gani ,unaweza ukawa na views nyingi na acc yako isiwe na thamani sababu acc yako si popular .Sijajua hizi takwimu zako umezitoa wapi,kama ingekuwa forbes au labda youtube wenyewe sawa.
 
Abracadabra!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kaka inabidi uangalie vzur uwo u net worth Ni wa upande upi? Ya wezekana youtube so far imetengeneza kiasi icho cha fedha na ofcourse izo accounts n asset kwa Youtube
 
Back
Top Bottom