Milango ya mninga au mkongo used au mipya

Milango ya mninga au mkongo used au mipya

Pelly

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
265
Reaction score
341
Habari zenu wanaJF

Kama kichwa cha habari, naombeni mwenye used au mipya milango na frame zake kama naweza kupata kwa bei nafuu, nipo Dar ES SALAAM mbezi kavu au kibamba.
Asanteni
 
Muone Mshana Jr ndio ana hivi vitu
Hivi mnampataje huyu mtu mimi nilichat naye zamani sana hadi no ya Simu alinipa akanisaidia jambo langu siku hizi namsaka simpati kabisa, labda Akio a uzi huu atanitafuta, nashukuru sana
 
Back
Top Bottom