Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Daaah japo kuwa uzi unahudhunisha napenda kukupongeza mtoa mada kufukua vilivyofunikwa
yaan ww msenge unakotije uzi wote kw mstari mmojaNEVER will it happen again/HAITATOKEA tena!
Ndo hivyo mkuu. Sina chuki wala ubaya.yaan ww ****** unakotije uzi wote kw mstari mmoja
,[/QUOTE
Mkuu umetuma post TUPU isiyo na maandishi.
Labda umebonyeza vibaya
mkuu hata mimi ningependa kuisambaza watsap lakini baada ya kubonyez "copy post content" nikienda whatsap sehemu ya kupaste siioni mkuu.Bonyeza post menu kule top right corner, then copy post content, hapo utakua umeipakua, nenda huko WhatsApp iPaste. Kuna vitu vitabadilika, hautoweza kupata picha, hautapata bolded sentence nk. Usisahau kutoa credit kwa Jamii Intelligence.
Mkuu Nimekuelewa.Mkuu maisha ya hapa JF hutakiwi kuQuote uzi mrefu, as in unasababisha usumbufu usiovumilika kwa sisi tunaotumia simu.
... pamoja na watu wenye matatizo ya akili.
So what?!
Kuna msemo wa Ben Franklin naupenda sana. No disrespect!
"We are all born ignorant, but one must work hard to remain stu.pid."
Read the article you'll find the answer to your simple question...A christian leader killed 6 million people. So what?!
So what's your point? Mambo ya Christianity, sijui Jesus yametokea wapi mkuu. I'm Muslim by the way.