Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Haiyaa mwanaume at workAaah
Hizo ni theory tuu unazisoma darasani tu ufaulu
Hata USA kwenyewe hawafanyi wanayo yaongea. Wana miaka 200 hawajawahi eka rais mwana mke awa amulie mambo
Haiyaa mwanaume at workAaah
Hizo ni theory tuu unazisoma darasani tu ufaulu
Hata USA kwenyewe hawafanyi wanayo yaongea. Wana miaka 200 hawajawahi eka rais mwana mke awa amulie mambo
Haiyaa mwanaume at work
Nakuona Sanaa mpk macho yanajifunga
Japo huwa napigania sana haki za wanawake pia Aisha.
Uwa hunion jukwaan hapa!?
Basi hizo ni dalili za kitu kingineNakuona Sanaa mpk macho yanajifunga
Cjakukonyeza ila nlikuwa najaribu concentrateBasi hizo ni dalili za kitu kingine
asa si una nikonyeza hapo!!
Jambo jema lakin hilo
Tuache habari ya nadhalia tuje katika uhalisia .... hv kwa nini umuamulie mwanamke kila jambo .... don't they having the rights to participate in decision making or making their own decision?Aaah
Hizo ni theory tuu unazisoma darasani tu ufaulu
Hata USA kwenyewe hawafanyi wanayo yaongea. Wana miaka 200 hawajawahi eka rais mwana mke awa amulie mambo
Tatizo mkiachiwa mfanye maamuzi wenyewe ndio vile mnakula hata matunda yaliyokatazwaTuache habari ya nadhalia tuje katika uhalisia .... hv kwa nini umuamulie mwanamke kila jambo .... don't they having the rights to participate in decision making or making their own decision?
Mkuu umemalza form Juz nin?unakumbuka yote ayo! @MvoutessHii yanikumbusha story ya "Three Suitors One Husband" ... mwandishi Oyono G. Mbia anaandika .... " ... since when do women speak in mvoutessi?
Wa jinsia ya kike wote walizibwa midomo to be able to express their feelings and give their opinions .... lakn Juliette akapangua huo mtazamo
Inaonekana huyo Mama ni sawa na upinzani,,,
Point of correction: .... sema .... wakiachiwa (wanawake) mtoa mada si jinsia hiyo .....Tatizo mkiachiwa mfanye maamuzi wenyewe ndio vile mnakula hata matunda yaliyokatazwa
Likely..Inaonekana huyo Mama ni sawa na upinzani,,,
NdioZote katika mfumo wa maswali .... Is Aishah opposing the issue of giving women the right 2 speak?
Cjakukonyeza ila nlikuwa najaribu concentrate
Ivi ww ni kabila gn apa nchini eti?
Umefunga jicho mkonyezo huoo
leo nimebahatika kukonyzwa na @Aisha2016