Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,614
- 67,078
Daaah!!Ivi ww ni kabila gn apa nchini eti?
Mambo ya ukabila hayo Rais Nyerere alikataa
Daaah!!Ivi ww ni kabila gn apa nchini eti?
Unajua ni kwaninKwa nini wapinga?
Saiv ni bwana yule si yy tenaDaaah!!
Mambo ya ukabila hayo Rais Nyerere alikataa
Wanawake wana amua mambo yao sana tuu, isipo kuwa kamaTuache habari ya nadhalia tuje katika uhalisia .... hv kwa nini umuamulie mwanamke kila jambo .... don't they having the rights to participate in decision making or making their own decision?
Hukunifahamu mkuu INAMAANISHA hali halisi ya mila zetuOngeza miwani machon utaiona vyema
Isiwe vita Aishah ..... by the way i'm sorry ...nngejua wala nisingeuliza .... mie mwenyewe nmeianzisha hii thread nikionesha kuwa against na mila potofu ya kufungwa midomo akinamama/dada na kunyimwa fursa ya kutoa maoni/ushauri .... kama nngejua maana yako wala nsingekuulizaUnajua ni kwanin
Nimecheka sana. Sa sijui nimeelewa sana ama Sijaelewa kabisa!Naona washkaji 2 na maza 1
Isiwe vita Aishah ..... by the way i'm sorry ...nngejua wala nisingeuliza .... mie mwenyewe nmeianzisha hii thread nikionesha kuwa against na mila potofu ya kufungwa midomo akinamama/dada na kunyimwa fursa ya kutoa maoni/ushauri .... kama nngejua maana yako wala nsingekuuliza
Acha hizi brazauchafuz wa hali ya hewa kwa maneno makali ama uleeee mwingine
Watawala ndio wanazirudisha kwa kasiMila aina hii zimepitwa na wakati ... hakika hazifai kabisa