manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
YES! Nasema hivi hata kama ni haki yangu ya msingi sihitaji tena,
Serikali JEURI,KOROFI,KATILI,ISIYO NA HURUMA kwa watu wake,
Watu wanapigwa risasi kama kuku ama kitu kisicho na dhamani kabisa?
Na baada ya hapo hakuna kesi wala haki yeyote itakayotendeka kwa ajili ya uhai wa marehemu.
Yaani niache mke na mtoto wangu kirahisi hivi,
Kama ni kujua kilichozungumziwa kwenye mikutano hiyo nitafuatilia kwa TV basi.
R.I.P MAKAMANDA WOTE MLIO FIKWA NA MAUTI MKIPIGANIA HAKI.
Serikali JEURI,KOROFI,KATILI,ISIYO NA HURUMA kwa watu wake,
Watu wanapigwa risasi kama kuku ama kitu kisicho na dhamani kabisa?
Na baada ya hapo hakuna kesi wala haki yeyote itakayotendeka kwa ajili ya uhai wa marehemu.
Yaani niache mke na mtoto wangu kirahisi hivi,
Kama ni kujua kilichozungumziwa kwenye mikutano hiyo nitafuatilia kwa TV basi.
R.I.P MAKAMANDA WOTE MLIO FIKWA NA MAUTI MKIPIGANIA HAKI.