Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
ukiwa kamanda usiwe mwoga km kunguru! Mapambano yanaendelea m4c 4 life
na familia ya yule jamaa alieuwawa itaangaliwa na nani? Au na wao waende kwa wananchi kama alivyo ambiwa mgombea wenu wa igunga. Vijana wetu sijui wataamka lini,wanatumiwa kisiasa na wachache wenye uchu wa madaraka.ukiwa kamanda usiwe mwoga km kunguru! Mapambano yanaendelea m4c 4 life
YES! Nasema hivi hata kama ni haki yangu ya msingi sihitaji tena,
Serikali JEURI,KOROFI,KATILI,ISIYO NA HURUMA kwa watu wake,
Watu wanapigwa risasi kama kuku ama kitu kisicho na dhamani kabisa?
Na baada ya hapo hakuna kesi wala haki yeyote itakayotendeka kwa ajili ya uhai wa marehemu.
Yaani niache mke na mtoto wangu kirahisi hivi,
Kama ni kujua kilichozungumziwa kwenye mikutano hiyo nitafuatilia kwa TV basi.
R.I.P MAKAMANDA WOTE MLIO FIKWA NA MAUTI MKIPIGANIA HAKI.
Kukata tamaa ni dhambi
Nasikia harufu kaliii ya GAMBA LA KENGE!..............Msiache kwenda jamani, tena fanyeni fujo,mkipigwa risasi CDM italea familia zenu,2016mtawekwa kwenye vitabu vya historia ya Tanzania kuwa mlipigania uhuru .Popo bawaaaaaa, samahani nimekosea kidogo pipo pawaaaaa