Mikutano ya CHADEMA yadoda Iramba

Mikutano ya CHADEMA yadoda Iramba

wewe mwenyewe unatosha kutuletea habari.
tusaidie ratiba ya leo na kesho alafu weka picha za mikutano.
__asante mkuu Shelui
 
Last edited by a moderator:
wewe mwenyewe unatosha kutuletea habari.
tusaidie ratiba ya leo na kesho alafu weka picha za mikutano.
__asante mkuu Shelui
 
Last edited by a moderator:
Jamaa mwongo sana. Tyegelo kuna watu wengi wamerudisha kadi za ccm. Kwenye baadhi ya vijiji aliposikia kuna ziara ya kitila,akaanzisha ligi ya mpira na kugawa mipira,pale ndulungu na kaselya. Mtoa watu walifurika sana. Kajamaa kaongo.
 
Mi siyo mbunge ni mwananchi wa kawaida

Fanya hima ukafanyiwe uchunguzi kuna fuzi imeungua kwenye ubongo wako. Uwahi maana utaishaia kutembea uchi kwa huo ugonjwa wa uongo uliokupata
 
Mikutano ya CHADEMA inayoendelea hapa wilayani kwetu Iramba imeendelea kudoda baada ya kukosa watu kabisa. Mikutano hiyo ilifanyika katika kata ya Ndulungu, Kaselya, Kidaru, Ntwike na Mtoa. Katika mkutano wa Kidaru katika kijiji cha Tyegelo waliamua kwenda kwenye club ya pombe napo watu hawakuwasikiliza. Mingela ambako anatoka Dr Kitila Mkumbo walipata watu wasiozidi 45 tu. Hali ilikuwa mbaya sana katika kijiji cha Nsusu. Kiongozi mkuu alikuwa David Jumbe na wenzake wakiwemo Dr Mkumbo ambaye alikuwepo pia. CDM inabidi mpange mikakati mipya ya kuhakikisha Iramba mnakubalika lakini kwa hii mlionayo hamna kitu.

Poleni sana CDM wanyiramba mmeamini siyo Wachaga. Songela Zigizigi kwa kul'inga ikulukulu.
Naona umekimbia vikao vya bunge ili kushusha presha leta picha ndg M**ig*****lu ni muda mrefu hujaitumia hii ID........naona hofu inazidi ujasiri wako na ndoto za ajabu zinaongezeka...usicheze na damu za wanyonge....Mungu akusaidie maisha marefu
 
Wana jf,
msitishwe na haya aloleta shelui. Iramba naijua vema maana ni kwetu, sijagoogle ila kwa muktadha wa thread hii, anayependa anaweza kugoogle ajue idadi ya wakazi katika jimbo letu. Kwa haraka jimbo lina wakazi wasiozidi laki 4, na wengi wapo kiomboi (makao makuu ya wilaya ya iramba). Wakazi kati elfu 1 na elfu 3 katika makao makuu ya kata na vijiji vya kinampanda, kisiriri,shelui, misigiri,ulemo, mampanta n.k. Hivyo katika vijiji anavyovitaja savimbi shelui ni jambo la kawaida kupata mahudhurio hayo unless ulete watu kwa malori kama wafanayvyo magamba kwa sababu hata makazi ya watu yako mbali mbali.
Nimewahi kuhudhuria mikutano ya serikali za vijiji tena kwenye maeneo ambayo yanajitahidi kuwa na watu lakini mahudhurio yakawa chini shelui. Kimsingi huko kwetu watu ni wachache na usitegemee kupata wengi. Hao ni wengi mno.
 
Mikutano ya CHADEMA inayoendelea hapa wilayani kwetu Iramba imeendelea kudoda baada ya kukosa watu kabisa. Mikutano hiyo ilifanyika katika kata ya Ndulungu, Kaselya, Kidaru, Ntwike na Mtoa. Katika mkutano wa Kidaru katika kijiji cha Tyegelo waliamua kwenda kwenye club ya pombe napo watu hawakuwasikiliza. Mingela ambako anatoka Dr Kitila Mkumbo walipata watu wasiozidi 45 tu. Hali ilikuwa mbaya sana katika kijiji cha Nsusu. Kiongozi mkuu alikuwa David Jumbe na wenzake wakiwemo Dr Mkumbo ambaye alikuwepo pia. CDM inabidi mpange mikakati mipya ya kuhakikisha Iramba mnakubalika lakini kwa hii mlionayo hamna kitu.

Poleni sana CDM wanyiramba mmeamini siyo Wachaga. Songela Zigizigi kwa kul'inga ikulukulu.

Usisahau dada zenu ndo ma house girl huko kwa wachaga. Mtu akitaka tu beki tatu, utasikia iramba! Kazi mnayo!
 
na mikutano ya ccm inayoendelea Iramba imekuwa ikinoga sana na huu ni ushahidi wa PICHA

1233627_537498846305736_1005261539_n.jpg
 
mkutano wa wahusika ungekuwa umejaa wenyewe wangesharusha picha
 
Mkuu Shelui hao jamaa bila kufanya kafara ili wapate huruma ya wananchi mambo hayaendi,sasa subili wamdedishe mtu uone nyomi zao,chezeya 'freemason'weye!
 
Last edited by a moderator:
Haijawahi kutokea tangia cdm kuundwa mikutano yao ikakosa watu! Hata Dovutwa ambaye hajulikani akifanya mkutano atamfunika mwigulu na watu aliowapa dsm watu 35.
 
Hata kama uzi unakuudhi, matusi kama haya ya nini?

hapa umekosa adabu mkuu, lakini vipi nyie si nasikia mnakunya kwenye mifuko kuanzia baba, mama,watoto na wajukuu huko huko ndani kisha asubuhi mnashindana kurusha nje??
 
Naibu....!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wanyiramba wanakatabia ya kujipanga nyuma ya nyumba baba,mama,watoto wanakunya

kama aisifuye mvua imemnyea, lazima tutakuwa tumesha kunyea.
Ila nyie si mnakunya ndani familia nzima halafu asubuhi mnashinda kurusha njee na watoto wenu, si mbaya muwe mnakuja kutusaidia kurusha.
 
Mikutano ya CHADEMA inayoendelea hapa wilayani kwetu Iramba imeendelea kudoda baada ya kukosa watu kabisa. Mikutano hiyo ilifanyika katika kata ya Ndulungu, Kaselya, Kidaru, Ntwike na Mtoa. Katika mkutano wa Kidaru katika kijiji cha Tyegelo waliamua kwenda kwenye club ya pombe napo watu hawakuwasikiliza. Mingela ambako anatoka Dr Kitila Mkumbo walipata watu wasiozidi 45 tu. Hali ilikuwa mbaya sana katika kijiji cha Nsusu. Kiongozi mkuu alikuwa David Jumbe na wenzake wakiwemo Dr Mkumbo ambaye alikuwepo pia. CDM inabidi mpange mikakati mipya ya kuhakikisha Iramba mnakubalika lakini kwa hii mlionayo hamna kitu.

Poleni sana CDM wanyiramba mmeamini siyo Wachaga. Songela Zigizigi kwa kul'inga ikulukulu.

Picha tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom