Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,625
- 11,635
Mbona umeandika mambo ya kufikirika na kusadikika ndugu mleta mada? Chama mlikizuia kushiriki kwa kuwa hakikusaini kanuni za maadili katika uchaguzi, mliwafunga Heche na Lissu, na kumtumia Issa Mpemba kuweka zuio mahakamani ili chama kisikutane na wananchi wake. Sasa huo ushiriki wa kufanya fujo walifanya wakiwa jela ama wakiwa na pingu? How?TUnajua wote kuwa chadema ilitumika tu kama jukwaa, lakini hata sasa chadema inatumika tena kama jukwaa kwaajili ya maandalizi ya yajayo tena.
Chadema alikuwa mshirika/mdau muhimu tu. Ili kuwaokoa viongozi wa chadema waliiambiwa wafanye/waseme kitu kitakachosababisha wakamatwe ili waje na hoja kama hizi kuwa tulikuwa ndani buana!!.