kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,176
- 16,864
Kwenye tathimini yao juu ya kwanini Oct 29 hawakufanikiwa kuiangusha serikali wakagundua kuwa mikoa mingi haikushiriki kwenye vurugu zile. Na sababu kubwa ya kutoshiriki wakagundua ni uhamasishaji mdogo mikoani.
Hii ya sasa inalenga kuziba pengo hilo.
Kuweni macho mara 3 zaidi kuona na kusikia kila kitu wanachosema na kupanga.
Hii ya sasa inalenga kuziba pengo hilo.
Kuweni macho mara 3 zaidi kuona na kusikia kila kitu wanachosema na kupanga.