Mikoyan-Gurevich, MiG 25: Ndege vita hatari kuwahi kuundwa na muungano wa Soviet miaka ya 1970

Sasa huyo mwenye kutoa rank si mmarekani kwanini asijipe F15 yake ndio bora? kumbuka kuna F35 ya mmarekani imeperekwa israel kwa mbwembe nyingi tu lkn baada ya syria kununua S300 ndege zote zimefungiwa stoo walisema kwa wiki mbili lkn mpaka leo zimesimaa operation lkn zilikuwa na sifa kibao kibao hazionekani,zinakwepa na tambo kibao,Nakupa taarifa tu kule Russia wapo kwenye test ya S500 air defence nenda youtobe kaangalie kasi ya ufyatukaji wa kombora hakika hakuna ndege itakayokatiza mbele yake,na ninakwambia hizo F35 zitageuzwa gari za mwendo kazi sio vitani.
Kwani Syria ilinunua hizo S300s? Maana taarifa zinadai walipewa bure!

Israel anafanya Missions zake pale Syria na anatumia hasa F-16s ambazo ni Non-Stealthy, 4th Generation na anafanikiwa.
Hizi S300s za Syria ni za kufikirisha sana!
 
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
Mkuu hiyo F15 haikuundwa kipindi cha latest 70s so hata kama n bora lakini haikuepo kipindi hiko

lakini ukiongelea ndege za mrusi kama Mig 35,sukhoi Su 27Am,Su 29 na Su 30 ambazo zote hzo zimefatana kwa mda wa uundwaji wake na F15..! Hapo tukiongelea Su 30 ukilinganisha na F14 dog cat,F15,F16,F/A 18 na F22 utaona SU 30 ni bora kuliko hzo ndege zote mmarekani kuangizia
max speed
max ceiling
max takeoff weight
na mengneyo...!

kwa taarifa zaidi google mwenyewe
 
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
Upo sahihi ila haiitwi raptor,, raptor ni jina la f 22
 
Mkuu hiyo F15 haikuundwa kipindi cha latest 70s so hata kama n bora lakini haikuepo kipindi hiko

lakini ukiongelea ndege za mrusi kama Mig 35,sukhoi Su 27Am,Su 29 na Su 30 ambazo zote hzo zimefatana kwa mda wa uundwaji wake na F15..! Hapo tukiongelea Su 30 ukilinganisha na F14 dog cat,F15,F16,F/A 18 na F22 utaona SU 30 ni bora kuliko hzo ndege zote mmarekani kuangizia
max speed
max ceiling
max takeoff weight
na mengneyo...!

kwa taarifa zaidi google mwenyewe
F-15 imeundwa miaka ya 70s huko (1972 na mpaka leo zinatengenezwa)

Na ndio Ndege iliyotungua Ndege za warusi kuliko Ndege yoyote Ile ya kivita baada ya WWII

F-14 nayo moja ya Ndege bora sana ya kijeshi toka Marekani na ambayo Iran wanaitumia hadi leo hii. Hii ndege ilitungua Mig za Mrusi kwenye Vita ya Iran vs Iraq kama haina akili nzuri

The first confirmed kill by an F-14A during the Iran–Iraq War occurred before the formal start of hostilities: on 7 September 1980, an IRIAF F-14A destroyed an Iraqi Mil Mi-25 (export variant of the Mil Mi-24) Hind helicopter using its 20mm Vulcan cannon.[N 1] Six days later, Major Mohammad-Reza Attaie shot down an Iraqi MiG-21 with an AIM-54 Phoenix while flying a border patrol.[67] A single AIM-54 fired in July 1982 by Captain Hashemi may have destroyed two Iraqi MiG-23s flying in close formation.[67]

Cooper

In 2004, Tom Cooper published Iranian F-14 Tomcat Units in Combat, based mainly on primary interviews with Iranian pilots. The book makes many claims that contradict previous reports. In particular, Cooper claims that Iran's F-14s had up to 159 kills, and that in one incident, four Iraqi aircraft were shot down with one AIM-54 (The missile's warhead exploded between them and severely damaged them)

All in all, the IRIAF was said to have launched possibly 70 to 90 AIM-54A missiles, and 60–70 of those scored.[vague] Of those, almost 90 percent of the AIM-54A missiles fired were used against Iraqi fighters and fighter-bombers. Only about a dozen[vague] victories by AIM-54s were claimed[by whom?] to be against fast, high-flying targets such as the MiG-25 or Tu-22 'Blinder'.
 
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
Tatizo si ndege tatizo ni watumiaji wa ndege hata hiyo f-15 ukiitumia usa mwenyewe safi tukipewa ss majanga tu
 
F-15 imeundwa miaka ya 70s huko (1972 na mpaka leo zinatengenezwa)
Na ndio Ndege iliyotungua Ndege za warusi kuliko Ndege yoyote Ile ya kivita baada ya WWII
F-14 nayo moja ya Ndege bora sana ya kijeshi toka Marekani na ambayo Iran wanaitumia hadi leo hii. Hii ndege ilitungua Mig za Mrusi kwenye Vita ya Iran vs Iraq kama haina akili nzuri
The first confirmed kill by an F-14A during the Iran–Iraq War occurred before the formal start of hostilities: on 7 September 1980, an IRIAF F-14A destroyed an Iraqi Mil Mi-25 (export variant of the Mil Mi-24) Hind helicopter using its 20mm Vulcan cannon.[N 1] Six days later, Major Mohammad-Reza Attaie shot down an Iraqi MiG-21 with an AIM-54 Phoenix while flying a border patrol.[67] A single AIM-54 fired in July 1982 by Captain Hashemi may have destroyed two Iraqi MiG-23s flying in close formation.[67]
Cooper
In 2004, Tom Cooper published Iranian F-14 Tomcat Units in Combat, based mainly on primary interviews with Iranian pilots. The book makes many claims that contradict previous reports. In particular, Cooper claims that Iran's F-14s had up to 159 kills, and that in one incident, four Iraqi aircraft were shot down with one AIM-54 (The missile's warhead exploded between them and severely damaged them)
All in all, the IRIAF was said to have launched possibly 70 to 90 AIM-54A missiles, and 60–70 of those scored.[vague] Of those, almost 90 percent of the AIM-54A missiles fired were used against Iraqi fighters and fighter-bombers. Only about a dozen[vague] victories by AIM-54s were claimed[by whom?] to be against fast, high-flying targets such as the MiG-25 or Tu-22 'Blinder'.
Ila kama ni mfatiliaji wa haya
mambo nadhani unafaham kuwa hata F/A 18 ilishaangushwa na huyu Mig 25 unaemdhalau
 
Ila kama ni mfatiliaji wa haya
mambo nadhani unafaham kuwa hata F/A 18 ilishaangushwa na huyu Mig 25 unaemdhalau
Sijaidharau Ila nimetoa takwimu ya hizo Mig ambazo zimedondoshwa mara nyingi na ndege za USA ikiwemo zile anazotumia Iran F-14 za mmarekani
 
F-15 imeundwa miaka ya 70s huko (1972 na mpaka leo zinatengenezwa)

Na ndio Ndege iliyotungua Ndege za warusi kuliko Ndege yoyote Ile ya kivita baada ya WWII

F-14 nayo moja ya Ndege bora sana ya kijeshi toka Marekani na ambayo Iran wanaitumia hadi leo hii. Hii ndege ilitungua Mig za Mrusi kwenye Vita ya Iran vs Iraq kama haina akili nzuri

The first confirmed kill by an F-14A during the Iran–Iraq War occurred before the formal start of hostilities: on 7 September 1980, an IRIAF F-14A destroyed an Iraqi Mil Mi-25 (export variant of the Mil Mi-24) Hind helicopter using its 20mm Vulcan cannon.[N 1] Six days later, Major Mohammad-Reza Attaie shot down an Iraqi MiG-21 with an AIM-54 Phoenix while flying a border patrol.[67] A single AIM-54 fired in July 1982 by Captain Hashemi may have destroyed two Iraqi MiG-23s flying in close formation.[67]

Cooper

In 2004, Tom Cooper published Iranian F-14 Tomcat Units in Combat, based mainly on primary interviews with Iranian pilots. The book makes many claims that contradict previous reports. In particular, Cooper claims that Iran's F-14s had up to 159 kills, and that in one incident, four Iraqi aircraft were shot down with one AIM-54 (The missile's warhead exploded between them and severely damaged them)

All in all, the IRIAF was said to have launched possibly 70 to 90 AIM-54A missiles, and 60–70 of those scored.[vague] Of those, almost 90 percent of the AIM-54A missiles fired were used against Iraqi fighters and fighter-bombers. Only about a dozen[vague] victories by AIM-54s were claimed[by whom?] to be against fast, high-flying targets such as the MiG-25 or Tu-22 'Blinder'.
Mig 25 na t 22 zote bomber hazina air to air misile kwa hiyoo lazima zitunguliwe ndio maana zikienda kenye mishen yeyote lazima ziwe na escot ya mig 27 au mig 29 kwa kwa kifupi mi ndege mbele tofauti hazina uhisiano wa karibu moja maltrole fighter jet moja bomber
 
Mig 25 na t 22 zote bomber hazina air to air misile kwa hiyoo lazima zitunguliwe ndio maana zikienda kenye mishen yeyote lazima ziwe na escot ya mig 27 au mig 29 kwa kwa kifupi mi ndege mbele tofauti hazina uhisiano wa karibu moja maltrole fighter jet moja bomber
Hata F-15 ni multirole fighter jet. Mig 25 ni interceptor ndo maana iliweza kuangusha F-18 ya Marekani kule Iraq
 
Mig 31 ndio interceptor
The MiG-25P is an interceptor aircraft for countering air targets in all weather conditions, by day and by night, and in dense hostile electronic warfare environments. The MiG-25P constitutes a part of the Russian S-155P missile interceptor system. The MiG-25P is produced by RSK MiG, which is based in Moscow and the Sokol Aircraft Manufacturing Plant Joint Stock Company at Nizhni Novgorod in Russia. The MiG-25 fighter series are known by the NATO codename Foxbat and are in service in Russia, Ukraine, Kazakhstan, Azerbaijan, India, Iraq, Algeria, Syria and Libya.

The MiG-25 is one of the fastest combat aircraft ever produced, capable of achieving speeds in excess of Mach 2.83. Production ended in 1984.
https://www.airforce-technology.com/projects/mig25/
 
Jiongeze wikipedia saver ipo u.s.a sidhani kweli russia wanaweza kuweka taarifa za siri kuhusu mig mtandaoni
Ngoja nikwambie kitu hypersonic misile marekani bado hawajafanikiwa vizuri wapo kwenye hatua za kati.ila wao wanavyo chambua kuhusu hypersonic misile kama wanajua kuyatengeza ulishawah kusika russia akiyaelezea?
 
Back
Top Bottom