Mikoyan-Gurevich, MiG 25: Ndege vita hatari kuwahi kuundwa na muungano wa Soviet miaka ya 1970

Jiongeze wikipedia saver ipo u.s.a sidhani kweli russia wanaweza kuweka taarifa za siri kuhusu mig mtandaoni
Ngoja nikwambie kitu hypersonic misile marekani bado hawajafanikiwa vizuri wapo kwenye hatua za kati.ila wao wanavyo chambua kuhusu hypersonic misile kama wanajua kuyatengeza ulishawah kusika russia akiyaelezea?

Kwani hizo savior ziliwekwa na Soviet au wachambuzi.?
 
mataifa yatakuja na teknolojia za kila aina za uundaji wa ndege vita lakini always kuna vitu viwili vitaendelea kua muhimu. Speed + manuvability. Leo tunaongelea stealth tech lakini hamna mwenye uhakika kama itaendelea kua technology ya kuogopeka kwa miaka 30 ijayo kutokana na kuboreshwa kwa radar(acquisition radar) kwa sababu mfano leo tu wataalam wandai radar nyingi za urusi zinaweza kudetect stealth planes Ila shida ni kwa radar zinazoyaongoza makombora kwenda kushambulia ndege husika. Ila pia teknolojia ya stealth inalazimisha ndege yenye huo uwezo kutofanya mission nyingi kwa kua engine zikichemka sana heat seeking missiles zinaweza kuiona ndege husika ila pia ndege inapofungua bays za siraha kushambulia inaweza kua detected. Ndo maana kwa mfano vita ya us na sadam b2 ilikua inafanya mission 1 tu kwa siku na ikitoka huko inafikia workshop kureplace material zinazoifanya kua stealth so gharama ya uendeshaji inakua kubwa Sana. Nadhani tunakoenda bado speed na manuva yatazisaidia fighters kuliko stealth. Unaambiwa hakuna ndege ya kizazi cha nne inawazingua nato kama Su 27 kwa inasifa zote traditional ambazo fighter inapaswa kua nazo.. Ikimbize F 35 ifike iachieve supersonic anga la 30000 ft af uipigishe pugachev cobra kama haitadondoka chini ni vipande vipande
Stealth ingekua haina maana China na Russia zisingepoteza mabilioni ya dola kuwekeza kwenye hizo teknolojia.

Urusi si walikua wakisema stealth ya Marekani haina maana lakini Leo hii na wao wana stealth aircraft Su-57 ambayo bado inawasumbua. China nayo wana J-31 na J-20. Stealth ingekua haina maana Urusi wasingewekeza kwenye stealth bomber na mwaka Jana walionyesha drone yao mpya inafanana kiumbo na B-2 bomber.

Kila siku teknolojia inakua na kubadilika ikiwemo stealth tech,kwenye stealth kwa sasa wanafanyia utafiti kitu kinaitwa 'plasma stealth' kutokana na kuongezeka kwa radar zenye nguvu. Kumbuka stealth sio kwamba huonekani kabisa,La hasha..unaweza kuonekana na zile Very low band frequency radar lakini kwenye kuguide missile kupiga target ndo kikwazo. Unaweza ukadetect kwamba kuna F-35 lakini usijue ipo mahali gani,speed yake,umbali gani,Ft ngapi toka ardhini hivyo vitu vyote ni muhimu kwenye kulielekeza kombora likapige Ndege kama ukivikosa hivyo utarusha tu makombora yakapige hewa kama Syria anavyofanyiwaga anaishia kurusha makombora mengi ya SAM ambayo yanakwenda kupiga target hewa wakati F-35 za Israel zishatua Tel Aviv.

Mkuu kama ulikua hujui hiyo Su-27 Marekani anayo na kila uchwao wanaifanyia mazoezi kwa kuipiganisha na ndege zao F-16 & F-15,nk

Unasemea 30,000ft wakati F-35 inaenda mpaka 50,000ft. Na hapo bado Lockheed Martin hawajaiupdate software mpya.!(software Block 3F)

Embu kaangalie Paris air show ya mwaka Jana au juzi uone inavyofanya manjonjo. Na hapo bado ilikua haina thrust vectoring hivyo mwisho wake wa kupull ilikua ni 7g




 
Kwa hiyo mpka sasa hujui magari yanazalishwa kulingana na mahitaji yako. Japani inatengezeza magari ambayo ni RH kwa nchi za kusini mwa SADC ili hali yenyewe ni LH, lakini pia inatengeneza LH kwa nchi zinazotumia kama Rwanda, Burundi, Kongo na hata Marekani. Kwani huzioni Cruiser LH zipo Rwanda?
Tatizo US ndio market ambayo yanauzwa magari mazuri kutokana na ukubwa wa soko na utajiri wa USA. Sasa ukija kwenye RHD yupo UK tu halafu soko ni dogo hence hata magari diversity haitakuwa kubwa.

Kwa commuting naona haitakuwa shida (safari za sokoni,ibadani, movement ndogo ndogo n.k). Kwa ajili ya safari ndefu ndio shida ipo, hapo kununua RHD haikwepeki
 
Kwa hiyo mpka sasa hujui magari yanazalishwa kulingana na mahitaji yako. Japani inatengezeza magari ambayo ni RH kwa nchi za kusini mwa SADC ili hali yenyewe ni LH, lakini pia inatengeneza LH kwa nchi zinazotumia kama Rwanda, Burundi, Kongo na hata Marekani. Kwani huzioni Cruiser LH zipo Rwanda?


Hahahahaha

Mkuu tafuta takwimu za ununuzi wa magari mapya kwanza hapa namaanisha Brand new cars ambazo odometer inasoma sifuri


Anyway Waafrika gari tunanunua za mtumba which translates kwamba tunategemea magari ya kutoka kwa watumiaji katika nchi tunazonunua.

Japan wao na sisi tunaendeshea mkono mmoja ndio maana magari yetu yanatoka direct Japan, Nikija kwa hao Burundi na Rwanda magari wao watakuwa wananunua nchi zinoendesha gari usukani ukiwa kushoto mwa gari. That means hawanunui magari Japan sababu Japan magari yao usukani upo upande wa kulia wa gari

Toyota na makampuni mengine ya magari wana Viwanda vya magari vilivyoenea dunia nzima so ukiona Wanyarwanda wanaendesha magari mengi ya Toyota haimaanishi wanaimport kutoka Japan, itakuwa wananunua marekani,Canada, Germany etc yaani nchi ambazo usukani upo upande wa kushoto mwa gari
 
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
Kweli but kwa miaka mingi might 25 imekwa ikikutana na unqualified /untrained pilot.na ndio maana imedondoshwa Sana middle East eg na Iran 1988.
But mig 25 ilipokutana na trained pilot ilkwa mwiba mkali eg mwaks 2003 mig 25 iliidondosha American Navy f 18..
Kumbuka mig 25 Ni ndege ya kizazi Cha 3 lakini f 18 Ni ndege Vita kizazi Cha nne Kama ilivyo f15, 16
 
Hivi hapa huwa ndege zinarushiana mabomu au ibakuwaje hadi mwenzie anazidiwa??

Kama ni mabomu si ni suala la kuwahiana tu unatunguliwa inakuwaje hii f15 isidunguliwe na wenzie??
Kuna kitu wanaita electronic warfare bila shaka
 
Sukhoi 57 ndiyo ndiyo ndege ya kwanza ya mrusi yenye stealth mode.
haijaathibitika kuweza kufanya operations,

F22 (raptor) imeshaingia operations zamani kabisa.
Ha ha ha f 22 imeingia operation gani? Hakuna stealth yoyote ambayo ilwahi kuwa katika operation na us army.. isipokwa drone Kama vile mq reaper ambazo zote zilithibitika sio stealth. Kwa mfano stealth ma reaper ilisbushwa electronically na Iran mwaka 2013
 
Mig 25 na t 22 zote bomber hazina air to air misile kwa hiyoo lazima zitunguliwe ndio maana zikienda kenye mishen yeyote lazima ziwe na escot ya mig 27 au mig 29 kwa kwa kifupi mi ndege mbele tofauti hazina uhisiano wa karibu moja maltrole fighter jet moja bomber
Inayomzungumzia were Ni su 25 so mig 25. Mig 25 Ina air to air missile
 
Sasa huyo mwenye kutoa rank si mmarekani kwanini asijipe F15 yake ndio bora? kumbuka kuna F35 ya mmarekani imeperekwa israel kwa mbwembe nyingi tu lkn baada ya syria kununua S300 ndege zote zimefungiwa stoo walisema kwa wiki mbili lkn mpaka leo zimesimaa operation lkn zilikuwa na sifa kibao kibao hazionekani,zinakwepa na tambo kibao,Nakupa taarifa tu kule Russia wapo kwenye test ya S500 air defence nenda youtobe kaangalie kasi ya ufyatukaji wa kombora hakika hakuna ndege itakayokatiza mbele yake,na ninakwambia hizo F35 zitageuzwa gari za mwendo kasi sio vitani.
🍵🍵🍵 :)
 
Back
Top Bottom