Vita vya Israel vimepata jina jipya. Ni vita vya kupigana na hospitali, waandishi wa habari na mapipa ya maji

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.

Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.

Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.

Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani.

Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.

Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza. Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.
 
Hata marafiki wa Israel hawakubaliana na uhalifu unaoendelea huko Gaza

Ila wanakubali kuburuzwa tu na Marekani kuendelea kuiunga mkono Israel.

EU inabidi ijikomboe kutoka kwenye makucha ya Marekani.

 
Sasa kama hizo hospitals na mashule ndio mnatumia kufanya upuuzi wenu kwann msibondwe? wavaa kobaz akili zao ni fupi na watu wa kulia lia kuonewa huruma tu?
 

Attachments

  • IMG_20231111_082634.jpg
    IMG_20231111_082634.jpg
    54.1 KB · Views: 4
  • IMG_20231111_082802.jpg
    IMG_20231111_082802.jpg
    222 KB · Views: 6
  • IMG_20231111_082703.jpg
    IMG_20231111_082703.jpg
    52.7 KB · Views: 5
Sasa kama hizo hospitals na mashule ndio mnatumia kufanya upuuzi wenu kwann msibondwe? wavaa kobaz akili zao ni fupi na watu wa kulia lia kuonewa huruma tu?
Kubonda hospitali ni aibu kubwa na inatoa picha ya kushindwa vita kwa jeshi lenye ndege,vifaru na askari takriban 300,000. Jeshi hilo linapigana na wanamgambo ambao hata idadi yake haijulikani kwa uchache wao.
Wao ilikuwa waende tu kwa mguu wakakague iwapo hao mateka wao wapo pale.Wasipowaona basi waache shughuli ziendelee.
 
Hapo inawezekana Israel ikawa inalaumiwa bure kwa sababu hao watoto wanao lipuliwa ni watoto wa hao magaidi.
Na Israel inaogopa ikiwaacha hao watoto ndio watakuwa magaidi wa baadaye kwahiyo Israel inakata miti pamoja na mizizi yake.
Wajitafakari vizuri tu.Hicho kitu wamekifanya kwa miaka 75 na hakijabadilisha kitu.
 
Hamas imegundulika makao yao makuu yapo kwenye handaki lililopo chini ya hii hospital. Ikumbukwe kuwa, Asakari wengi wa Hamas pia wamekamatwa na wapo Kwenye magereza ndani ya Israel, Wanaojiwa na wanatoa Siri!. Israel sio wajinga wanajua sheria za kimataifa juu ya hualifu wa kivita. Watafanikiwa tu kuwaangamiza hawa Hamas waliopo chini ya hii Hospital ambayo mbali na kujaa wagonjwa pia Wakimbizi wengi sana wameizunguka na kuishi nje yake.Tuondoe Ushabiki maandazi na tujikite kwenye Ukweli na kupenda amani na furaha kwa watu wote.
 

Attachments

  • 57B69EE5-6F2E-47B7-AA01-1F898FC5C58A.gif
    57B69EE5-6F2E-47B7-AA01-1F898FC5C58A.gif
    620.3 KB · Views: 4
Kubonda hospitali ni aibu kubwa na inatoa picha ya kushindwa vita kwa jeshi lenye ndege,vifaru na askari takriban 300,000. Jeshi hilo linapigana na wanamgambo ambao hata idadi yake haijulikani kwa uchache wao.
Wao ilikuwa waende tu kwa mguu wakakague iwapo hao mateka wao wapo pale.Wasipowaona basi waache shughuli ziendelee.
Kipigo imewachanganya maustaadh, mwanzo mlijimwambafai ooh hawezi ingia Gaza, mara makomandoo wa Hamas, saiz mnaimba mengine
 
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali
Hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.
Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani
Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.
Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza.Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.
 
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali
Hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.
Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani
Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.
Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza.Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.
Kwa sasa hakuna rangi tutaacha kuona. Mi nashangaa imekuaje hawa Mayahudi wameingia Gaza na tulikubaliana wasiingie. Sisi Maarabu tunapata wakati mgumu sasa.
 
Kipigo imewachanganya maustaadh, mwanzo mlijimwambafai ooh hawezi ingia Gaza, mara makomandoo wa Hamas, saiz mnaimba mengine
Hata idf nao wanaona kizunguzungu.Mara vita vya muda mrefu,mara Gaza tumeizingira,mara Hamas wamepoteza udhibiti,mara wapo mahospitalini.
Huoni kuwa Israel imechanganyikiwa zaidi huku ikificha kipigo inachopata.
 
Tatizo lenu mnatumia Aya Taqiya.. Wekeni uthibitisho wa vifo vya hao Watoto na walizaliwa na nani haiwezekani wadedi watoto tu..

Hakuna mjinga tena miaka hii.. Hata waislam Qoran enzi zile iliwaambia kuwa Jua huwa linazama kwenye Chemchem yenye Matope kila siku and jua hqdi lipate ruksa ya Allah ili lichomoze kwenye matope.. no more muslim anayeiamini Qoran
 
Hata marafiki wa Israel hawakubaliana na uhalifu unaoendelea huko Gaza

Ila wanakubali kuburuzwa tu na Marekani kuendelea kuiunga mkono Israel.

EU inabidi ijikomboe kutoka kwenye makucha ya Marekani.

marekani ndio gaidi mkuu mwanzilishi wa ugaidi nani asietambua hili hata katika ulimwengu huu ila lazima wamuunge mkono kwamba anapigana na magaidi hakubaliani na magaidi na pia vilevile anatetea ushoga yaani ungese ndoa za jinsia moko kwahi ni lazima wamuunge mkono marekani mlezi wa ugaidi duniani kwa sababu waliopewa jina la ugaidi hawakubaliani na ushoga
 
Back
Top Bottom