Mikoyan-Gurevich, MiG 25: Ndege vita hatari kuwahi kuundwa na muungano wa Soviet miaka ya 1970

Raphael phockus

JF-Expert Member
Nov 4, 2018
778
4,518
Habari ya muda huu wanajanvi.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, ungana nami katika habari hii inayo husu uwezo wa ndege vita aina ya MiG 25 ya muungano wa Usoviet miaka ya 1970's

Mikoyan-Gurevich, MiG 25 ni ndege ya mwisho iliyoundwa na MIKHAIL GUREVICH kabla ya kusitaafu shuguri za uundaji wa ndege.

MiG 25 ni ndege iliyo undwa na muunganiko wa vyuma viwili ,ndege hiyo ilikuwa na uwezo wa kukwepa makombora huku ikiwa na sifa ya kukimbia mara tatu(×3)

zaidi ya mwendokasi wa sauti.

220px-Libyan_MiG-25_in_flight_c1985.jpg


220px-Air-to-air_right_underside_rear_view_of_a_Soviet_MiG-25_Foxbat_aircraft.jpg


220px-MiG-25PU_rvb_2.jpg


300px-Russian_Air_Force_MiG-25.jpg

Ndege hii ilizalishwa kati ya miaka ya 1964 na 1984 .Terehe 6 mwezi march 1964 kwa mara ya kwanza ilianza kufanyiwa mazoezi.
Ilipofika mwaka 1970 ilianza rasimi kutumika kama ndege ya mashambulizi ya kivita.

Mwezi Novemba 1971 Israeli ilikumbana na moja ya ndege hizo ikirusha makombora kutoka
umbali wa futi 30,000 angani. Ilikuwa ndege yenye kasi kubwa na tayari ilikuwa imeondoka eneo
hatari kabla ya makombora ya Israeli kupaa.
Jeshi la Marekani lilibaini kuwa ndege hiyo ilikuwa ni ile iliyoonekana kupitia picha za satelaiti zake za kijasusi. Ghafla waliamini kuwepo ndege ambayo ina uwezo kushinda ndege yoyote
katika jeshi la Marekani.


Hitimisho.
Uzalishaji na muendelezo wa MiG 25 ulikamilika mwaka 1984 baada ya muungano wa Usoviet kutimiza idadi ya ndege vita 1184.
 
Habari ya muda huu wanajanvi.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, ungana nami katika habari hii inayo husu uwezo wa ndege vita aina ya MiG 25 ya muungano wa Usoviet miaka ya 1970's

Mikoyan-Gurevich, MiG 25 ni ndege ya mwisho iliyoundwa na MIKHAIL GUREVICH kabla ya kusitaafu shuguri za uundaji wa ndege.

MiG 25 ni ndege iliyo undwa na muunganiko wa vyuma viwili ,ndege hiyo ilikuwa na uwezo wa kukwepa makombora huku ikiwa na sifa ya kukimbia mara tatu(×3)

zaidi ya mwendokasi wa sauti.

View attachment 1128108

View attachment 1128109

View attachment 1128110

View attachment 1128111
Ndege hii ilizalishwa kati ya miaka ya 1964 na 1984 .Terehe 6 mwezi march 1964 kwa mara ya kwanza ilianza kufanyiwa mazoezi.
Ilipofika mwaka 1970 ilianza rasimi kutumika kama ndege ya mashambulizi ya kivita.

Mwezi Novemba 1971 Israeli ilikumbana na moja ya ndege hizo ikirusha makombora kutoka
umbali wa futi 30,000 angani. Ilikuwa ndege yenye kasi kubwa na tayari ilikuwa imeondoka eneo
hatari kabla ya makombora ya Israeli kupaa.
Jeshi la Marekani lilibaini kuwa ndege hiyo ilikuwa ni ile iliyoonekana kupitia picha za satelaiti zake za kijasusi. Ghafla waliamini kuwepo ndege ambayo ina uwezo kushinda ndege yoyote
katika jeshi la Marekani.


Hitimisho.
Uzalishaji na muendelezo wa MiG 25 ulikamilika mwaka 1984 baada ya muungano wa Usoviet kutimiza idadi ya ndege vita 1184.
Kwani hazitengenezwi tena?
 
Kwani hazitengenezwi tena?
Mkuu MiG 25, uzalishwaji wake ulisitishwa mwaka 1984. Lakini haimaanishi kuwa ndege vita aina
ya MiG haziundwi tena, mwaka 2007 MiG aircraft Corporation ilifanikiwa kuunda MiG 35 (ndege anbayo ni kizazi cha nne ,4th MiG generation)

220px-MiG-35D_(3861855258).jpg
 

Attachments

  • 220px-MiG-35D_(3861855258).jpg
    220px-MiG-35D_(3861855258).jpg
    6.1 KB · Views: 28
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
 
Ndege vita hatari duniani na ambayo haina mpinzani na pia iko ranked number 1,ni F-15 raptor ya USA,na imeprove hilo katika battlefield dhidi ya washindani wake na ikashinda,acha uongo wako mkuu,labda Kama Iyo mig unazungumzia kwa ndani ya urusi.
Sasa huyo mwenye kutoa rank si mmarekani kwanini asijipe F15 yake ndio bora? kumbuka kuna F35 ya mmarekani imeperekwa israel kwa mbwembe nyingi tu lkn baada ya syria kununua S300 ndege zote zimefungiwa stoo walisema kwa wiki mbili lkn mpaka leo zimesimaa operation lkn zilikuwa na sifa kibao kibao hazionekani,zinakwepa na tambo kibao,Nakupa taarifa tu kule Russia wapo kwenye test ya S500 air defence nenda youtobe kaangalie kasi ya ufyatukaji wa kombora hakika hakuna ndege itakayokatiza mbele yake,na ninakwambia hizo F35 zitageuzwa gari za mwendo kasi sio vitani.
 
Sasa huyo mwenye kutoa rank si mmarekani kwanini asijipe F15 yake ndio bora? kumbuka kuna F35 ya mmarekani imeperekwa israel kwa mbwembe nyingi tu lkn baada ya syria kununua S300 ndege zote zimefungiwa stoo walisema kwa wiki mbili lkn mpaka leo zimesimaa operation lkn zilikuwa na sifa kibao kibao hazionekani,zinakwepa na tambo kibao,Nakupa taarifa tu kule Russia wapo kwenye test ya S500 air defence nenda youtobe kaangalie kasi ya ufyatukaji wa kombora hakika hakuna ndege itakayokatiza mbele yake,na ninakwambia hizo F35 zitageuzwa gari za mwendo kazi sio vitani.
Tangu hizo S300 zipelekwe huko Syria Israel imekua ikipigia tu Syria na hakuna chochote inachozuia
https://m.dw.com/en/israeli-forces-strike-syria-air-base-report/a-49006578
https://www.middleeastmonitor.com/2...s-overnight-air-strikes-on-syria-killing-ten/
https://defence-blog.com/news/sourc...se-made-radar-during-airstrikes-in-syria.html

Huko F-35 zinalipua mpaka radar za kudetect stealth jet wewe unasema zimefungiwa stoo
 
Mpaka sasa hakuna Ndege ya kivita inayofikia rekodi ya F-15 Eagle ya Marekani. Hiyo Ndege haijawahi angushwa na ndege nyingine yoyote kwenye operation yoyote Ile ya kijeshi. Ila F-15 ishazitungua hizo Mig 25 za kutosha
 
Mpaka sasa hakuna Ndege ya kivita inayofikia rekodi ya F-15 Eagle ya Marekani. Hiyo Ndege haijawahi angushwa na ndege nyingine yoyote kwenye operation yoyote Ile ya kijeshi. Ila F-15 ishazitungua hizo Mig 25 za kutosha
Hivi hapa huwa ndege zinarushiana mabomu au ibakuwaje hadi mwenzie anazidiwa??

Kama ni mabomu si ni suala la kuwahiana tu unatunguliwa inakuwaje hii f15 isidunguliwe na wenzie??
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom