ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,825
Hata ingekuwa ni wewe una shida umekwama labda ada au kodi kama unadhaminika lazima ungekopa ikizingatiwa USA NA CHINA pia wanakopa. Shida inaanza pale unategemea upate activities za serikali ulipwe posho upunguze madeni kumbe ni uongo hesabu zinagoma aidha unaitumia au inaibuka dharura nyingine hivyo unabakia kuwa mtumwa wa madeni.
Kuna staff alikuwa anamcheka mwenzake anavyoenda kaushadamu siku moja huyu mwenzake kama bahati akaiokota salaryslip ya huyo staff aisee ni zaidi ya comedy Faidika, bayport, ABC, nmb kote jamaa yupo sasa hapo utabakiwa na nini hata kama take home ingekuwa 1.5 m kumbe alikuwa anamcheka mwenzake kama kufanyia bullying tu..bado kuna ada,misiba,sherehe,mizinga kama ndo mtu wa kumwagilia pombe chini ya pua ni hatari.
Haya itokee mchoro na deal unashirikishwa utashindwa kweli kujilipua.Ndo maana wale waliokamatwa na mashine fake za POS sio kwamba wanapenda sana ila mtu anafikiria anaona hii ndo kamba yake halafu unakuta hata hayo mabillion yanayotajwa kuibiwa halmashauri sio za staff wadogowadogo nyingi huwa zinaenda juu unaweza kuta hao wakata risiti wanahusika lakini labda kaambulia million 3 tu kwenye hayo mabillion.
Siungi mkono ubadhirifu lakini chanzo kinajulikana ni mishahara kiduchu sana ya ofisi nyingi.ni taasisi chache ndo wanaolipana vizuri na kukopeshana hela ya maana mfano NHIF ambayo hata ukisema ujenge unamaliza kujenga ila nyingi ya ofisi za umma ni majanga full stress ndo ajira inakuwa kama Ndoa kwamba KATAA AJIRA NI UTAPELI
Kuna staff alikuwa anamcheka mwenzake anavyoenda kaushadamu siku moja huyu mwenzake kama bahati akaiokota salaryslip ya huyo staff aisee ni zaidi ya comedy Faidika, bayport, ABC, nmb kote jamaa yupo sasa hapo utabakiwa na nini hata kama take home ingekuwa 1.5 m kumbe alikuwa anamcheka mwenzake kama kufanyia bullying tu..bado kuna ada,misiba,sherehe,mizinga kama ndo mtu wa kumwagilia pombe chini ya pua ni hatari.
Haya itokee mchoro na deal unashirikishwa utashindwa kweli kujilipua.Ndo maana wale waliokamatwa na mashine fake za POS sio kwamba wanapenda sana ila mtu anafikiria anaona hii ndo kamba yake halafu unakuta hata hayo mabillion yanayotajwa kuibiwa halmashauri sio za staff wadogowadogo nyingi huwa zinaenda juu unaweza kuta hao wakata risiti wanahusika lakini labda kaambulia million 3 tu kwenye hayo mabillion.
Siungi mkono ubadhirifu lakini chanzo kinajulikana ni mishahara kiduchu sana ya ofisi nyingi.ni taasisi chache ndo wanaolipana vizuri na kukopeshana hela ya maana mfano NHIF ambayo hata ukisema ujenge unamaliza kujenga ila nyingi ya ofisi za umma ni majanga full stress ndo ajira inakuwa kama Ndoa kwamba KATAA AJIRA NI UTAPELI