Mikopo ya watumishi ni hatari kwa uchumi na afya ya akili na mwili

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
469
1,430
Kwa muda niliofanya kazi serikalini (TAMISEMI) nimeona shida hii kwa watumishi wenzangu.

1. Ni kweli mikopo ina msaada kwa watumishi walio wengi kwa sababu bila mkopo, hawa watumishi wa local government wangeendelea kutia aibu na kuonekana ni watu masikini sana, kumbuka 75% take home za sisi watumishi hazigusi milion moja per month, tunatoka extended family na tuna majukumu mengi ikiwa ni pamoja na kulinda heshima ya serikali ya CCM hivyo bila mikopo tusingeendesha vigali, tusingekuwa na vibanda vya kuishi nk

2. Pamoja na uzuri na umuhimu wa mikopo hii ya watumishi, upande wa pili tumefungwa jela kimya kimya, imagine nakopeshwa miaka saba, halafu mkopo huo nimetumia kujenga nyumba au kununua gari, halafu najikuta take home ni laki tatu na arobain, hapo nilipe ada, nile, nihonge, niweke bundle, nk najikuta nipo hoi mno kiuchumi na nakuwa ni mtu nisiye na furaha kabisa, hata ningekopa kupeleka kwenye biashara, plan ya biashara ya miaka saba si mchezo, so wakopaji wengi tumejikuta hatuelewi kitu na tumeongeza mbinu ya ku top up mkopo so tunajikuta ni watumwa wa madeni na huku wengi tunaishi maisha magumu.

Serikali iongeze salary ili tuwe tunakopa hata kwa mwaka mmoja au miwili, nje ya hapo tunaendelea kuwa na watumishi wanaofanya kazi huku hawaelewi nini hatma yao, kutana na mtumishi mwenye madeni aisee tunatia huruma.
 
Kifupi, mishahara ya wafanyakazi Tanzania ni midogo saaana ukifananisha na gharama za maisha zilivyo.

Serikali imeshindwa kubalance mizani kwenye suala zima la mishahara vs gharama za maisha.

Ujenzi wa nyumba, gharama za vifaa ni kubwa sana kiasi cha kuwa vigumu sana kujenga.

Kodi ya kuingiza vitu kama magari ni kubwa sana na kusababisha bei iwe juu sana.

Riba za mikopo kwenye mabenki ni kuubwa sana kiasi cha kuwaminya sana wakopaji.

Tanzania ili utoboe unahitaji kuwa mjanja mjanja aka mpigaji.
 
Kwa muda niliofanya kazi serikalini (TAMISEMI) nimeona shida hii kwa watumishi wenzangu.

1. Ni kweli mikopo ina msaada kwa watumishi walio wengi kwa sababu bila mkopo, hawa watumishi wa local government wangeendelea kutia aibu na kuonekana ni watu masikini sana, kumbuka 75% take home za sisi watumishi hazigusi milion moja per month, tunatoka extended family na tuna majukumu mengi ikiwa ni pamoja na kulinda heshima ya serikali ya CCM hivyo bila mikopo tusingeendesha vigali, tusingekuwa na vibanda vya kuishi nk

2. Pamoja na uzuri na umuhimu wa mikopo hii ya watumishi, upande wa pili tumefungwa jela kimya kimya, imagine nakopeshwa miaka saba, halafu mkopo huo nimetumia kujenga nyumba au kununua gari, halafu najikuta take home ni laki tatu na arobain, hapo nilipe ada, nile, nihonge, niweke bundle, nk najikuta nipo hoi mno kiuchumi na nakuwa ni mtu nisiye na furaha kabisa, hata ningekopa kupeleka kwenye biashara, plan ya biashara ya miaka saba si mchezo, so wakopaji wengi tumejikuta hatuelewi kitu na tumeongeza mbinu ya ku top up mkopo so tunajikuta ni watumwa wa madeni na huku wengi tunaishi maisha magumu.

Serikali iongeze salary ili tuwe tunakopa hata kwa mwaka mmoja au miwili, nje ya hapo tunaendelea kuwa na watumishi wanaofanya kazi huku hawaelewi nini hatma yao, kutana na mtumishi mwenye madeni aisee tunatia huruma.
Mh mikopo wewe acha tu .
 
Mwarobaini wa hili ni serikali kuanza kuwalipa watumishi mishahara na siyo kitu kinachofanana na mshahara, mishahara ilipwe kamili ikiwa na allowance za nyumba ya kuishi, usafiri kwenda na kurudi kazini, bill za maji, umeme, simu, internet, chakula kazini.........vinginevyo watumishi hapa bongo watabaki kuwa watumwa milele.​
 
Mwarobaini wa hili ni serikali kuanza kuwalipa watumishi mishahara na siyo kitu kinachofanana na mshahara, mishahara ilipwe kamili ikiwa na allowance za nyumba ya kuishi, usafiri kwenda na kurudi kazini, bill za maji, umeme, simu, internet, chakula kazini.........vinginevyo watumishi hapa bongo watabaki kuwa watumwa milele.​
Neno 'mtumishi' tu lina ukakasi.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom