Pwani ya tz pana, pwani ipi unazungumzia?Msimu wa Christmas huwa ni mvua
Tangu August hakuna mvua and therefore mwaka huu completely hapakuwa na mvua za Vuli. Kilikoni? Sayansi inatueleza ni sababu gani?
Umeanza na laana umemalizia na sayansi!Msimu wa Christmas huwa ni mvua
Tangu August hakuna mvua and therefore mwaka huu completely hapakuwa na mvua za Vuli. Kilikoni? Sayansi inatueleza ni sababu gani?
Vyote kwa kila mtu na imani yake , but science is "OMNIPOTENT"Umeanza na laana umemalizia na sayansi!
Au laana ni sehemu ya sayansi?
Vuli ipo kila mahali na mwaka jana ilikuwepo tukavuna sana. Mwaka huu hakunaIna maana haujui Misimu ya mvua ya ya nchi hii
Njoo uulize mwezi wa 3 mpaka wa 5.pwani hatuna mvua za mwezi wa 12 itokee tu
Inategemea.jumapili mvua ilinyesha bagamoyo mjini ila mapinga bunju haianyeshaVuli ipo kila mahali na mwaka jana ilikuwepo tukavuna sana. Mwaka huu hakuna