Mikoa Kumi(10) iliyotoa wasomi wengi zaidi nchini

Naamini wewe ni msomi,kuna Makabila yanaweza kutoa mwanasayansi mmoja tu hadi akaenda mwezini,ukienda mwezini si kwamba kabila lote limeenda mwezini,ukiwa Papa si familia yote,au kabila lote ni papa.Papa anatoka Agentina je tusemi hilo taifa somi zaidi Duniani?.Obama kuwa Rais wa Marekani,na kuwa Mshindi wa Tuzo ya Amani Ya NOBEL.kuna wafanya wajaluo kuwa ndio jamii ya wasomi na bora kuliko wote Kenya?.Sidhani kuwa waliofanya utafiti walizingatia idadi tu ya Maprofesa walioko huko ulipotaja.Narudia usomi ni nyanja Pana sana si PhDs pekee.Majigambo hayabadilishi ukweli siyo.
Ok huko nako unajifanya mbishi.hiv hujiulizi Kwa nini watoke kabila moja Tu.


Hebu angalia idadi ya watu wa kagera vyuoni.
Angalia wanaomaliza form six
Angalia idadi ya waalimu nchini
Angalia idadi ya wanasheria, madokta na mainginia.halafu uniambie wahaya ni wangap.


Vip ulishawahi ona mkoa wa kagera unatoka ten best miaka yote hii .hebu tafuta mwaka ambao kagera haipo tenbest katika matokeo ya form four au darasa la Saba.

Mkoa wa kagera unazidi hata dar Kwa idadi ya wanafunzi wa primary.


Kagera ni mkoa ambao hata wakina mama machinga wanasomesha watoto wao private refer TO wa la saba mwaka Jana .mama yake ni muuza vitumbua.


Nenda vijijini huko ndani utazame ukoo ambao hauna mtu mwenye degree tuona kama utampata.



NB. Inaonekana unawadharau wahaya anyway labda Kwa kuwa unaona baadhi wanajiuza au sijui wakabaji .hao ni asilimia ndogo Sana Kati ya wahaya na ndo hao waliokimbia uhayan miaka ya 80 .l
 
Kwa hiyo mkuu kuwa smart ni kuwa na uwezo wa kuzungumza kiingereza kwa usahihi???

hujaona neno smart na uwezo wa kuzungumza kiingereza vipo separate katika comment yangu. Hata hivyo si kila mtu anaweza kujifunza lugha tofauti tofauti na kuzitumia ipasavyo kirahisi hivyo, nayo yaweza kuwa strength yao haswa katika nchi kama yetu
 
Ok huko nako unajifanya mbishi.hiv hujiulizi Kwa nini watoke kabila moja Tu.


Hebu angalia idadi ya watu wa kagera vyuoni.
Angalia wanaomaliza form six
Angalia idadi ya waalimu nchini
Angalia idadi ya wanasheria, madokta na mainginia.halafu uniambie wahaya ni wangap.


Vip ulishawahi ona mkoa wa kagera unatoka ten best miaka yote hii .hebu tafuta mwaka ambao kagera haipo tenbest katika matokeo ya form four au darasa la Saba.

Mkoa wa kagera unazidi hata dar Kwa idadi ya wanafunzi wa primary.


Kagera ni mkoa ambao hata wakina mama machinga wanasomesha watoto wao private refer TO wa la saba mwaka Jana .mama yake ni muuza vitumbua.


Nenda vijijini huko ndani utazame ukoo ambao hauna mtu mwenye degree tuona kama utampata.



NB. Inaonekana unawadharau wahaya anyway labda Kwa kuwa unaona baadhi wanajiuza au sijui wakabaji .hao ni asilimia ye ndogo Sana Kati ya wahaya na ndo hao waliokimbia uhayan miaka ya 80 .l
Mimi sina dharau na wahaya,kujiuza kila kabila lina watu wa aina hiyo,hata wakabaji na majambazi kila kabila wapo,tunachopishana ni kuwa wewe unapigania ukabila mimi nazungumzia utafiti uliotolewa na mleta UZI.Kwani hata kabila au familia yangu ingekuwa imeorodheshwa ya kwanza ningefaidi nini?.Hata leo utafiti ukichapishwa kuwa namba moja ni Kagera,namba mbili ni Kagera,na namba tatu ni Kagera ningejadili tu kwa mtizamo mwingine.

Tujifunze kuheshimu tafiti,na tuepuke majigambo mengi,Makabila mengi tu Tanzania yameandikwa kwenye vitabu na wazungu hiyo haifanyi kuwa ndio wasomi mahiri.Kuwa TO ni jambo moja kuwa mkoa wenye wasomi wengi ni Jambo jingine.Nikupe mfano kuna familia mbili,moja ina watoto kumi na kati ya hao kumi waliobahatika kusoma ni ni watatu tu,na wote wamfikia level ya u- Professor,na familia ya pili ina watoto kumi vilevile,lakini kati ya kumi nane wamesoma kwa viwango tofauti kuanzia diploma hadi shahada ya pili tu,ni familia ipi itahesabika kuwa ina wasomi wengi zaidi?.
 
Nauliza professor wa kwanza alitoka mkoa gan?
Pili mtanzania wa kwanza kupata degree alikuwa anaitwa nani na pia alitoka mkoa gan?
 
Nauliza professor wa kwanza alitoka mkoa gan?
Pili mtanzania wa kwanza kupata degree alikuwa anaitwa nani na pia alitoka mkoa gan?
Bahati mbaya ni kuwa utafiti haujaongelea historia,unahusu wakati wa sasa.Pia ni vizuri tuulizane maswali ya kiutu uzima,not these rudimentary questions.
 
Mimi sina dharau na wahaya,kujiuza kila kabila lina watu wa aina hiyo,hata wakabaji na majambazi kila kabila wapo,tunachopishana ni kuwa wewe unapigania ukabila mimi nazungumzia utafiti uliotolewa na mleta UZI.Kwani hata kabila au familia yangu ingekuwa imeorodheshwa ya kwanza ningefaidi nini?.Hata leo utafiti ukichapishwa kuwa namba moja ni Kagera,namba mbili ni Kagera,na namba tatu ni Kagera ningejadili tu kwa mtizamo mwingine.

Tujifunze kuheshimu tafiti,na tuepuke majigambo mengi,Makabila mengi tu Tanzania yameandikwa kwenye vitabu na wazungu hiyo haifanyi kuwa ndio wasomi mahiri.Kuwa TO ni jambo moja kuwa mkoa wenye wasomi wengi ni Jambo jingine.Nikupe mfano kuna familia mbili,moja ina watoto kumi na kati ya hao kumi waliobahatika kusoma ni ni watatu tu,na wote wamfikia level ya u- Professor,na familia ya pili ina watoto kumi vilevile,lakini kati ya kumi nane wamesoma kwa viwango tofauti kuanzia diploma hadi shahada ya pili tu,ni familia ipi itahesabika kuwa ina wasomi wengi zaidi?.
Mi sielewi unabisha nini hata.

Maana kama idadi ya wasomi mkoa wa kagera unaongoza.


Angalia idadi Yao wanaoitimu vyuoni
 
Mi sielewi unabisha nini hata.

Maana kama idadi ya wasomi mkoa wa kagera unaongoza.


Angalia idadi Yao wanaoitimu vyuoni
Unapenda kusikia kuwa,Kagera Inaongoza?.Basi mwambie mleta uzi abadili namba ya mkoa wako.Lakini sisi tunajadili Uzi ambao Mkoa unaoongoza siyo Kagera.
 
Kwa hiyo ni kabila gani linaloweza kusogelea wahaya Kwa kupiga kitabu?

Vip kuhusu madokta wahaya mpaka mtanzania wa Kwanza dokta muhaya.

Njoo kwenye Sheria .huku ndo kuna wahaya mpaka basi .mahakimu na wanasheria kibao.


Njoo kwenye mambo ya ARDHI.nenda pale ARDHI university uangalie idadi Yao kwenye survey, architecture nk nk

Njoo kwenye uchumi sasa mpaka sasa awamu hii wahaya Tu ndo wanaoongoza hii wizara.


Njoo makanisani hasa ukatoliki huko wanakaribia kabisa kutoa Pope.


Njoo kwenye uvumbuzi nk wahaya are the best.




Wazungu wenyewe wanawakubali wahaya na wameandika vitabu vingi juu Yao.
Kuna muhaya alishashindania tuzo ya Nobel hebu msome hapo chinView attachment 1184813View attachment 1184814View attachment 1184815
UNAPOZUNGUMZIA WAHAYA KATIKA LEVEL YA KIELIMU KATIKA MKOA WA KAGERA NI LAZIMA UTAMBUE KUNA JAMIII SITA

KUNA WAZIBA TOKA KIZIBA

KUNA WAYOZA TOKA BUKOBA MJINI

KUNA WAHAMBA TOKA MULEBA KAMACHUMU

KUNA WANYANYANGIRO TOKA MULEBA KUSINI NA KASKAZINI

KUNA WANYAMBO TOKA KARAGWE

KUNA WAGANDA KYAKA TOKA KYAKA ........

KWA KIFUPI KATIKA JAMII ZOTE NI WAZIBA NDO JAMII PEKEE ILIYOKWENDA SHULE LAKINI UKITOA WAZIBA HIZO JAMII ZINGINE ZOTE NI CHENGA KIELIMU

SASA SIFA ZA WAZIBA KUSOMA NDANI YA WAHAYA BASI WAHAYA WOTE WANAJIONA WAMESOMA HII NDO SIRI KUBWA ILIYOPO KAGERA LAKINI KAMA WAZIBA WANGESEMA WAJITENGE NA UHAYA BASI LEVEL YA WAHAYA KUONEKANA WAMESOMA ISINGEKUWEPO
 
UNAPOZUNGUMZIA WACHAGA UNAWAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL GANI KWA SABABU SIO WACHAGA WOTE WALIOENDA SHULE.....

KWA MFANO UKIENDA MOSHI

KUNA WACHAGA WA MARANGU

KUNA WACHAGA WA KIBOSHO

KUNA WACHAGA WA URUU

KUNA WACHAGA MACHAME

KUNA WACHAGA WA ROMBO

LAKINI UKIENDA KATIKA LEVEL YA KIELIMU WACHAGA WA MARANGU NDO UNAAMBIWA WAMEKWENDA SHULE NA NDIO WASOMI
Ww hujielewi mkoa wa Mara kuwa na wasomi wengi kuliko Kilimanjaro

Shule kongwe nyingi zilianzia moshi
Eliboru
Lyamungo
Marangu TTC 1923
Ubwe
Kiraeni
Kil boys
Alafu uniambie Mara ni wasomi kuliko wachaga na wahaya
 
Anae jua idadi kamili ya makabila yanayo patikana mkoa wa Mara anisaidie kuyataja hapa, maana nasikia ndio mkoa unao ongoza Tz kua na makabila mengi zaidi ya 20. Ila kwa mimi nayo yafahamu ni
Wakurya
Wajita
Wajaluo
Wazanaki
Waikizu
Mwenye anajua mengine anijuze tafadhali....
Wasimbiti
Wazanaki,
Wataturu,
Waruli,
Wakwaya,
Waikoma,
Wangoreme,
Wasurwa,
Mwenye anajua mengine ataendelea hapo
 
Unapenda kusikia kuwa,Kagera Inaongoza?.Basi mwambie mleta uzi abadili namba ya mkoa wako.Lakini sisi tunajadili Uzi ambao Mkoa unaoongoza siyo Kagera.
Mnajadilije bila kuleta facts.

Labda kama mko kwenye umbea Tu.

Nimekuletea facts we hutaki kuleta za kwako na mkoa wako.hebu nikuachie upunguani wako
 
UNAPOZUNGUMZIA WAHAYA KATIKA LEVEL YA KIELIMU KATIKA MKOA WA KAGERA NI LAZIMA UTAMBUE KUNA JAMIII SITA

KUNA WAZIBA TOKA KIZIBA

KUNA WAYOZA TOKA BUKOBA MJINI

KUNA WAHAMBA TOKA MULEBA KAMACHUMU

KUNA WANYANYANGIRO TOKA MULEBA KUSINI NA KASKAZINI

KUNA WANYAMBO TOKA KARAGWE

KUNA WAGANDA KYAKA TOKA KYAKA ........

KWA KIFUPI KATIKA JAMII ZOTE NI WAZIBA NDO JAMII PEKEE ILIYOKWENDA SHULE LAKINI UKITOA WAZIBA HIZO JAMII ZINGINE ZOTE NI CHENGA KIELIMU

SASA SIFA ZA WAZIBA KUSOMA NDANI YA WAHAYA BASI WAHAYA WOTE WANAJIONA WAMESOMA HII NDO SIRI KUBWA ILIYOPO KAGERA LAKINI KAMA WAZIBA WANGESEMA WAJITENGE NA UHAYA BASI LEVEL YA WAHAYA KUONEKANA WAMESOMA ISINGEKUWEPO
Duuuu!!!

Mkuu mambo usipoyajua kuhusu makabila ya watu Bora ukakaa kimya.


Waziba ni wachache Sana miongoni mwa wahaya.unataka kuniambia maelfu ya wasomi wote wa kagera wanatoka kiziba? Katarafa kadogo Sana ndani ya wilaya ya misenyi?


Mkuu mambo ya wahaya waachie wahaya wenyewe au labda Kwa kuwa kiziba ndo wahaya halisi??
 
Back
Top Bottom