Mikoa inayoongoza kwa umaskini Tz !

Mi nadhani dar ina umaskin wa hali ya juu kwa upande wa miundombinu.haiwezekani abood iliyoondoka ubungo muda sawa na uliondoka wewe kuelekea posta asubuhi ifike moro kabla we hujafika kazini
 
Kwa kigezo cha kukosa rasiliamali,Tabora ni miongoni mwa mikoa hyo kwani hamna hata bahari,ziwa wala bwawa natural

pia hauna barabara hata moja ya lami ama ya kutoka ama ya kuingia na unapakana na mikoa4,Kigoma,Shy,Singida na Mbeya...barabara zote4 kwenda mikoa hiyo ni vumbi na hazipitiki wakati wa masika,alikadharika na wilaya zote hazina lami

kwa kigezo cha elimu na huduma zingine,bado Tabora watu wengi hawana shule na wengi saaana hawakusoma kabisa (hawajuhi kusoma na kuandika)
 
tabora ndiyo nambari one; mkoa ambao haujanunganishwa kwa lami na mkoa wowote; barabara tope; uwanja wa ndege tope; train ya wahindi; elimu ya kusuasua: Mungu tusaidie
ina maana wabunge wa tabora hawapiganii mendeleo ya huo mkoa tangia tupate uhuru
 
tabora ndiyo nambari one; mkoa ambao haujanunganishwa kwa lami na mkoa wowote; barabara tope; uwanja wa ndege tope; train ya wahindi; elimu ya kusuasua: Mungu tusaidie

Jamni naomba uniambie
hapo kwenye Red unatania ..
......inaogopesha...
 
rukwa sababu kubwa ni uchawi
Tuombe radhi tafadhali, kwani uchawi ni Rukwa tu? Mbona upo kila sehemu, Rama mla vichwa nae katokea Rukwa?? Kwa taarifa yako sisi sio masikini japo tumetengwa kiaina....
 
Mwanzisha thread inabidi atambue kuwa umasikini ni dhana pana.
So, kabla ya kumwaga thread yake ange-define ni umasikini gani anaotaka tuuongelee.

Mfano....ukiangalia nchi kama Brazil, Germany, France, Italy, Russia zinatajwa kwenye the list ya 10 world's biggest economies lakini ukienda kule kwenye 10 richest countries huzioni hizi (unakuta vijinchi kama Luxembourg, Qatar, Kuwait).
Kinachosababisha hizi contrasting statures ni criteria zinazotumika.

So, mwanzisha thread tupe vigezo kwanza!
 
Mwanzisha thread inabidi atambue kuwa umasikini ni dhana pana.
So, kabla ya kumwaga thread yake ange-define ni umasikini gani anaotaka tuuongelee.

Mfano....ukiangalia nchi kama Brazil, Germany, France, Italy, Russia zinatajwa kwenye the list ya 10 world's biggest economies lakini ukienda kule kwenye 10 richest countries huzioni hizi (unakuta vijinchi kama Luxembourg, Qatar, Kuwait).
Kinachosababisha hizi contrasting statures ni criteria zinazotumika.

So, mwanzisha thread tupe vigezo kwanza!

vigezo! Umaskini (upungufu)wa miundombinu,afya,elimu,kipato,makazi,carriers
 
Mwanzisha thread inabidi atambue kuwa umasikini ni dhana pana.
So, kabla ya kumwaga thread yake ange-define ni umasikini gani anaotaka tuuongelee.

Mfano....ukiangalia nchi kama Brazil, Germany, France, Italy, Russia zinatajwa kwenye the list ya 10 world's biggest economies lakini ukienda kule kwenye 10 richest countries huzioni hizi (unakuta vijinchi kama Luxembourg, Qatar, Kuwait).
Kinachosababisha hizi contrasting statures ni criteria zinazotumika.

So, mwanzisha thread tupe vigezo kwanza!

Mkuu hii thread naifananisha na vile vipima joto vya ITV, havina kichwa wala miguu., so is this thread. Ni sawa kumpa ukumbi kila mtu atoe uharo wake.
 
Mkuu hii thread naifananisha na vile vipima joto vya ITV, havina kichwa wala miguu., so is this thread. Ni sawa kumpa ukumbi kila mtu atoe uharo wake.

wewe ndo una uharo unakuwaje Great thinker hujui umaskini umegawanyika katika makundi gani!na sikwambii endelea kuhara
 
Unaifahamu vizuri dhana ya umasikini? Unapotaja mikoa yenye utajiri mkubwa tz iringa inawekwa namba mbili ukianza na arusha!!

Labda alikuwa hajui huyo mwambie ukweli.
Aliamua kuacha kazi kwasababu ya umaskini wake wa roho na tamaa..
Mtu alikuwa anafanya kazi akaacha tena analalamika umasikini! Ovyoo!
 
Back
Top Bottom