Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Ni mikoa ipi ina hali ya kutisha ,umaskini wa huduma miundombinu nk.
ni mikoa ipi ina hali ya kutisha ,umaskini wa huduma miundombinu nk.
ni mikoa ipi ina hali ya kutisha ,umaskini wa huduma miundombinu nk.
Unaifahamu vizuri dhana ya umasikini? Unapotaja mikoa yenye utajiri mkubwa tz iringa inawekwa namba mbili ukianza na arusha!!mkuu umewahi kuishi iringa???mimi niliishi pale miaka ya 1997-1998,,kusema kweli niliamua kuacha kazi kwa
ridhaa yangu mwenyewe,,maisha ya kutisha!
Mtwara,Lindi,Kigoma,Rukwa,Ruvuma
Mtwara,Lindi,Kigoma,Rukwa,Ruvuma
mkuu umewahi kuishi iringa???mimi niliishi pale miaka ya 1997-1998,,kusema kweli niliamua kuacha kazi kwa
ridhaa yangu mwenyewe,,maisha ya kutisha!
Ni mikoa ipi ina hali ya kutisha ,umaskini wa huduma miundombinu nk.
Hivi kuna mkoa ambao ni tajiri hata TZ?Ni mikoa ipi ina hali ya kutisha ,umaskini wa huduma miundombinu nk.
Hivi kuna mkoa ambao ni tajiri hata TZ?
wee mpitanjia nahisi una mawazo sana