Mikoa ambayo haiendelei kabisa

Kijana LOGICS

Senior Member
Dec 16, 2023
140
525
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU

Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-Mtwara na Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu

Maisha ni duni hakuna center nzuri
 
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU
Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-mtwara n'a Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu
Maisha ni d'uni hakuna center nzuri
Ok

Mkuu kwako Maendeleo ni kitu gani?
Maendeleo unayapima kwa kipimo gani?

Je maendeleo ni majengo?
Je maendeleo ni pesa?
Je maendeleo ni barabara?

Je unaongelea maendeleo ya mtu binafsi?

Je maendeleo huletwa na nani?

Je wewe umekaa unasubiri maendeleo yaonekane huko kwenu?


Labda nikusaidie maendeleo yanatafsiriwa kwa kutumia kanuni za uchumi ambazo pia zina mapungufu

Maendeleo hupimwa kwa pato la Taifa (GDP) ambalo sasa unaweza kujua kila mkoa au sekta imechangia kwa kiasi gani? Na pia unaweza kugawa pato la Taifa kwa idadi ya watu ukajua maendeleo yapo vipi?

Mfano maeneo yenye mali ghafi na viwanda n i rahisi kuona yamechangia pato kubwa kwa Taifa,Lakini tukiligawa kwa idadi ya watu wa eneo hilo yawezekana kuna umaskini wa kutisha

Mfano ,Mtwara kuna bandari na kuna kiwanda kikubwa cha cement ,Pia ndiko kuna korosho zinazoingiza pesa za kigeni ,Je mapato ya bandari ya mtwara na mapato ya korosho ni kiasi gani?

Baada ya sensa serikali ilitoa report ya maendeleo pia,Je hiyo miko ipo?lakini moja ya maeneo yenye hali mbaya ni Bukoba hiyo nina uhakika na niliona kwenye report ya takwimu

Mbeya jijo ina pato kubwa ,Je ukiona watu wa Mbeya wana maisha mazuri na wana maendeleo ?

Dar es Salaam pi ina pato kubwa ,Je ina maendeleo na watu wake wengi wanaoshindia mihogo unasemaje?
 
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU
Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-mtwara n'a Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu
Maisha ni d'uni hakuna center nzuri
Duh
 
Ok

Mkuu kwako Maendeleo ni kitu gani?
Maendeleo unayapima kwa kipimo gani?

Je maendeleo ni majengo?
Je maendeleo ni pesa?
Je maendeleo ni barabara?

Je unaongelea maendeleo ya mtu binasfsi?

Labda ni kusaidie maendeleo yanatafsiriwa kwa kutumia kanuni za uchumi ambazo pia zina mapungufu

Maendeleo hupimwa kwa pato la Taifa (GDP) ambalo sasa unaweza kujua kila mkoa au sekta imechangia kwa kiasi gani?

Mfano maeneo yenye mali ghafi na viwanda n i rahisi kuona yamechangia pato kubwa kwa Taifa,Lakini tukiligawa kwa idadi ya watu wa eneo hilo yawezekana kuna umaskini wa kutisha

Mfano ,Mtwara kuna bandari na kuna kiwanda kikubwa cha cement ,Pia ndiko kuna korosho zinazoingiza pesa za kigeni ,Je mapato ya bandari ya mtwara na mapato ya korosho ni kiasi gani?
Zote mbwembwe utajiri/umasikini unapimwa kwa maisha ya Kila Siku ya MTU mojamoja katika angle ya basics needs
 
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU

Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-Mtwara na Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu

Maisha ni duni hakuna center nzuri
Utafiti wako una utata. Namba moja hapo weka mkoa wa Kagera
 
1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala

Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari

Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule

2-SIMIYU
Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina mganga wake wakazi washazoea shida kwa iyo furaha kwao ni shida.

3-Mtwara na Lindi
Sehemu kubwa ni pori lenye maadhi ya jangwa vijana wengi wamekimbilia dar wamebaki wazee .

4-TABORA
hakuna Cha maana Tabora zaidi ya nyumba kuukuu

Maisha ni duni hakuna center nzuri
kichwa chako siyo kizima. probox yenye namba A inaweza kutembea kwenye rough road?
umesimuliwa huu ujinga
mi nipo hapa tarime ,asilimia 90 ya probox zinatoka tarime kwenda nyamongo na sirari zina namba E
chache zina D
Au unaongelea Mara ipi mkuu
 
Huo ni uchumi wako ambao hautambuliki na IMF na WB

Tunaongelea vigezo vya kimataifa vya ukuaji vya IMF na World Bank
Wao Wana genela
kichwa chako siyo kizima. probox yenye namba A inaweza kutembea kwenye rough road?
umesimuliwa huu ujinga
mi nipo hapa tarime ,asilimia 90 ya probox zinatoka tarime kwenda nyamongo na sirari zina namba E
chache zina D
Au unaongelea Mara ipi mkuu
Nimezaliwa Mara naelewa hakuna kujifariji izo namba d ni Chache mno nyingi namba A na B
 
Back
Top Bottom