Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Haya rudini tena kariakoo mkakusanye maoni kwa vibaka kujifurahisha. Mwaka huu tunabomoa hadi kibanda cha umbwa

TAKWIMU...UTAFITI ULIOFANYWA NA SHIRIKA LA UTANGAZAJI DUNIANI BBC..
KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO:

DAR ES SALAAM
lowassa 50%
Magufuli 48%

IRINGA
Lowassa 43%
Magufuli 54%

NJOMBE
Lowassa 28%
Magufuli 64%

RUVUMA
Lowassa 37%
Magufuli 64%

MWANZA
Lowassa 28%
Magufuli 72%

ARUSHA
Lowassa 51%
Magufuli 49%

MANYARA
Lowassa 65%
Magufuli 35%

KILIMANJARO
Lowassa 55%
Magufuli 45%

TANGA
Lowassa 28%
Magufuli 61%

MOROGORO
Lowassa 20%
Magufuli 79%

TABORA
Lowassa 15%
Magufuli 75%

KIGOMA
lowassa 12%
Magufuli 70%

MTWARA
Lowassa 28%
Magufuli 68%.

RUKWA
Lowasa 18%
Magufuli 88%

Je, mtu atachomoka hapo?

Sambaza ujumbe kwa WOTE ili wajionee

HAPA KAZI TU
Heeeeh. Mbona unaweweseka.........
Kwanza kwa Majumuisho ya ubashiri wako ******** anapata 57.29% na Jemedari Lowassa 42.71% na hapo ume cook vyakutosha ubashiri wako... HAHAHA yani na kupendelea kote huko umeambulia 57.29% chini ya utafiti fake wa ndani wa ccm na twaweza washikaji wa J. Makamba.

SASA UBASHIRI UNAOENDANA NA UHALISIA NI HUU HAPA

DAR ES SALAAM
lowassa 78%
Magufuli 20%

IRINGA
Lowassa 52%
Magufuli 43%

NJOMBE
Lowassa 48%
Magufuli 50%

RUVUMA
Lowassa 47%
Magufuli 52%

MWANZA
Lowassa 72%
Magufuli 25%

ARUSHA
Lowassa 89%
Magufuli 9%

MANYARA
Lowassa 65%
Magufuli 35%

KILIMANJARO
Lowassa 69%
Magufuli 30%

TANGA
Lowassa 62%
Magufuli 34%

MOROGORO
Lowassa 50%
Magufuli 50%

TABORA
Lowassa 43%
Magufuli 54%

KIGOMA
lowassa 51%
Magufuli 40%

MTWARA
Lowassa 51%
Magufuli 49%.

RUKWA
Lowasa 45%
Magufuli 55%

GEITA
Lowassa 51%
Magufuli 49%

PWANI
Lowassa 49%
Magufuli 51%

MARA
Lowassa 75%
Magufuli 22%

MBEYA
Lowassa 80%
Magufuli 19%

LINDI
Lowassa 45%
Magufuli 53%

DODOMA
Lowassa 54%
Magufuli 44%

SIMIYU
Lowassa 60%
Magufuli 40%

SINGIDA
Lowassa 47%
Magufuli 53%

SHINYANGA
Lowassa 52%
Magufuli 48%

KAGERA
Lowassa 65%
Magufuli 34%

KATAVI
Lowassa 40%
Magufuli 60%

SOURCE: MIDAHALO YA PANGA PANGUA YA AZAM TV, JAMII FORUM, MITANDAO YOTE YA KIJAMII NA CCM YENYEWE
 
UKAWA hawana haja kupoteza hela bali kuwa na kituo kimoja tuu, ITV, waweke mitambo yao vizuri! Utashangaa kilichoikuta TBC, Radio Uhuru, ndicho kitatokea siku hiyo.

Na uzuri huenda umeme utakuwepo. Baada ya hapo fanya utafiti wanaotizama ITV na wangapi na wanaotizama hizo zao ni wangapi!

Hahahah!
 
Kama CCM inauhakika wa kushinda kwa asilimia 70% sasa kuna haja gani ya kufanya kampeni kubwa namna hiyo?? Ilibidi UKAWA ndio wafanye namna hiyo sababu hatujaona walichofanya kwa miaka 50
 
Naona umepanic tu, wewe ulikuwa kiongozi wa juu wa BAVICHA mwisho wa siku ukafukuzwa, then ukahamia CCM. Kwa sasa wewe ni kada wa CCM, unaweza ukatupa tetesi za huo mkutano?

Huyo hawezi kuwa kada ili uwe kada lazima uwe umefundisha jeshini siasa sio chini ya miaka miwili yeye mwanachama tu.
 
Nilichogundua katika taarifa hii ya CCM.

1/CCM haina tena ngome ya kisiasa hapa nchini, hivyo hawana tena uhakika wa eneo lolote hapa Tanzania kupata ushindi wa moja kwa moja wa kura za urais, ubunge na udiwani.

2/Mpaka sasa kampeni za CCM hazijaonyesha kuzaa matunda, kilichobaki kwa CCM ni kukaba hivyo hivyo mpaka dakika ya mwisho kabisa.

3/Mbali na nafasi ya urais kuwa ngumu sana kwa CCM mwaka huu hata nafasi ya wabunge na madiwani kwa CCM ni finyu sana.

4/Hali ya woga, kuhamaki na kutokujiamini imetanda sana miongoni mwa makada wengi wa CCM wa ngazi ya juu mpaka chini kabisa.

5/CCM imegundua Magufuli pekee hana nguvu na ushawishi wowote mkubwa wa kuivusha CCM katika ichaguzi huu kwa ngazi yoyote ya Urais, Ubunge na Udiwani. Njia pekee ni kutumia kila mtu mwenye nafasi ya kuweza kusikika kijamii ili kuushawishi umma.

6/Silaha pekee iliyobaki kwa sasa kwa CCM ni kutumia vyombo vya habari vingi kwa kiwango cha juu kabisa kujaribu kuushawishi umma wa watanzania ambao tayari umeshaamua kufanya mabadiliko. Kifupi silaha iliyobakia kwenye ghala ya CCM ni PROPAGANDA.

7/Kwa mara ya kwanza CCM imegundua imepoteza nguvu katika kila kanda kuanzia ngazi ya Chini kabisa.

...very good analysis!
 
Mfa maji haachi kutapatapa,.
Nauna mwisho wa ccm kabisa, wanaondoka mchana kweupeeee. Kumkata Lowassa ilikuwa ni kosa la kihistoria kwao.
 
Duh utafikiri fainali ya Premire league Uingereza mwezi wa tano. Mechi zote zinachezwa muda mmoja na vituo vya televisheni vinaonyesha vipande vipande kila gemu! Kwa siasa sijui ina faida gani ukilingamisha na gharama zitakazotumika? Watu watawezaje kusikiliza wanaowahutubia wakati huo huo waangalie na kumsikiliza mhombea huko Mwanza? Hii ndiyo kufuru zaidi inaonekana pia kuhodhi vituo vya rafio na tv ili vyama vingine visisikike. Natumai gharama hizi zitaingizwa kiusahihi katika gharama zamatumizi ya mgombea.
 
Nimeipenda finishing ya ccm

Eeh ukawa nyie mnafanyaje ss

Kweli wewe hazimo!!! yani kwanza magari ya washawasha 777 yenye thamani ya TZS 150,000,000 kwa moja.... alafu wanaleta unayoiita finishing uliyoipenda yenye kurusha matukio saba kwa wakati mmoja kwa TV stations 5 na Radio station 67 LIVE!!! Hela yote hiyo kwa ajili ya siku 5 kabla na baada ya uchaguz....

Naona jasho la siku linakuwasha... oga kwanza
 
Waende wakapige kura tarehe 25/10/2015 wamchague huyo wamtakaye na sio kuzomea watu,,hasira wakamalizie kwenye box la kura na si vinginevyo.


Nyinyi magamba acheni upuuzi wenu.

Wapenzi wa UKAWA wakienda kumpokea LOWASSA airport mnawapiga mabomu, eti wanasababisha foleni barabarani. Mjinga wenu maguu-fool anasimamisha gari katikati ya barabara na kuanza kutoa uharonwake kupitia mdomoni, hii nchi ni ya mamake??

Wacha azomewe, ... na azomewe tu!!!
 
Warioba hakubaliki Musoma. Mkapa hana umaarufu wowote Mbeya. Atukane matusi yake awatambue wasokile.

Mwinyi!!!!!!, ajabu. Makamba Mhhhhhhhhhhhhh!, Kikwete Mwanza na Magufuli!!!!!!!!!!!! Mangula na Kigoma,!!!!, Kinana,
.
Imekaa vizuri. Acha wazee wetu wahitimishe kuliaga taifa.

Mimi ni ccm lakini hakuna lolote kwa sasa litakalolta ushindi kwa ccm. Tulishafanya makosa miaka mingiiliyopita.

Hawa wazee, wanakwenda kutonesha vidonda tu. Kikwete na Magufuli!!!!!!!!!!!. Kwa heri Ikulu.
 
Maraisi wastaafu wameitwa kuokoa jahazi siku ya kufunga kampeni za CCM na hii ni baada ya Magufuli kuelemewa vibaya na Lowassa anayeonekana kuungwa mkono katika kampeni zake.

Magufuli amekumbwa na zomeazomea mikoani na jijini dsm kitu kilichopelekea viongozi wa CCM angalau kuitumia nafasi ya mwisho kwa kuwapandisha jukwaani Kikwete, Yusuf Makamba, Mwinyi na Mkapa bila kumsahau Mama Nyerere.

January amewatangaza wazee hao anagalu watokee jukwaani kuokoa jahazi la magufuli.

Pamoja na backup kubwa ya vyombo vya usafiri na wasanii lakini bado Lowasa ameendelea kuwa tishio kwa magufuli na kete ya mwisho ni kuwapandisha wastaafu jumamosi katika mikoa tofauti.
 
Back
Top Bottom