Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Ccm ni ile ile serikali ni ile ile ya Lukuvi..January..Mwigulu..Nape..wote ni mawaziri.
Najaribu kuangalia kiwango cha uelewa wa Watanzania wa sasa kilivyopanda na wana uwezo mkubwa kuchanganua facs, hii ni kwa karibia 95% ya Watanzania wote. Inawezekana kweli hizo live coverage za dakika za lala salama zikapata hata 1% ...najua itakuwa ni vitisho a kila aina ya uzandiki, kazi watakayofanikiwa labda ni kama watajipanga vizuri kwenye wizi wa kura.
Angalizo: Udanganyifu wa aina yoyote na wizi wa kura uliopitiliza utapelekea kiama kwa nchii hii pendwa!

 
Nguvu ambayo CCM wanaitumia sasa wangeitumia kusimamia maendeleo na serikal yao we could be very far
 
Uchaguzi huu ukiisha tulikuwa tunakula mlo mmoja lakini sasa hatutakula kabisa...
Ccm wanatumia nguvu kubwa sana kujitangaza hizo gharama mtalia kilo ya sukari itakuwa 10,000 lita ya mafuta petrol mhhh tutakumbushana hapa
 
Hakuna jipya japo.... Hivi kweli Mkapa anaweza kuwashwishi watu wa Mbeya?...

Hivi kweli Warioba anaushawishi gani Mara?

Hivi kweli Mwingi anaushaiwishi gani Mtwara?..

Kinana juzi kazomewa Kigoma anarudi tena...

Kweli mnapoteza muda wenu
 
Hii nguvu yote ya nn??....ngoja tuone kama ng'ombe atanenepeshwa siku ya mnada!!!!
 
...eti Njombe, Ruvuma, Mwanza Lowassa ana asilimia ngapi?! uuh; hao wazungu wana kifafa au ni kichaa cha mbwa?! na huo utafiti waliufanya wakiwa London au Birmingham?!
magamba mna kazi mwaka huu.!!


Nawe unaamini kuwa hizo ni hesabu za BBC? Hiyo ni BBC Lumumba banah!


 
Ni mwendawazimu tu ambaye mpaka muda huu hajajua anaenda kumpigia kura nani! Hapa kura kwa Lowassa tuuuuu toka cku alipoingia Chadema!
 
watasema kuwa utafiti mpya unaonesha magufuli atachaguliwa kwa asilimia 80%

Watasema Lowasa amekimbia mdhalo

Watasema lowasa amikanyaga kwenye interview na BBC

Watasema CDM wamewalipa vijana wamzomee magufuli


Poleeee. Yote hayajasemwa. Chama makini chama dume. Mbele kwa mbele. #hapaKaziTu
 
Nimeipenda finishing ya ccm

Eeh ukawa nyie mnafanyaje ss
 
Ha ha haaaa,, Watanzania wameshaamua.Hata mngerusha hadi kwenye simu zetu live.Kura za mwaka huu nakuhakikishia tutapiga nyingi kwa Lowasa hadi mshangae.Kulinda kura zetu ni lazima wala hatuamuliwi na mvulana wa ccm.Tunazo sababu za kulinda.Sehemu tulizolinda kura huko nyuma ndiko tulitangazwa washindi.Kama akina Zito na Filikunjombe walilinda ripoti ya escrow msiibe kule bungeni na ulinzi wote ule, sembuse na kura za mwaka huu? aisee mtatuua.Come what may.Mlitusimamisha pembeni ya barabara kwa kutumia police escort mkapeleka Twiga wetu Airport.Mnawezaje kutoiba kura? za mwaka huu naapa tutazilinda.
 
Hayo mahesabu yao bora hata wangesubiri UKAWA waseme watafanyaje ili na wao wageze.Huko mbeya dah!!natamani kungekuwa na mkutano mmoja wa ukawa siku hiyo MBEYA.Nadhan atatukana watu kwa kutokuja Mkutanoni.
 
TEHAMA at work........ Kiukweli kwenye media CCM wamepiga bao.....Ukawa wanapaswa kuiga haya.....na sio kuponda tu

Mabadiliko yapo mioyoni mwetu,hata tusipoona live mikutano ya lowassa lakini bado tutampa kura,jiandaeni kisaikolojia
 
Hata kama watanzania tumelogwa lakini hii ni too much, hivi mwinyi atakushauri nini hadi uichague ccm?,Mzee makamba atakuambia nini? mzee makamba anajua hata exchange rate ya tzsh to usd? failure of the failure,failure of all time raisi wetu kikwete atakushauri nini hadi uichague ccm, mtu ameshindwa kudeliver leo hii anapanda kumnadi mwenzie ,ccm wanajua kuwa wananchi wa tanzania 90% ni wasahaulifu na wasio jali mwafaka wa taifa hili ndo maana hata kikwete anapanda jukwaani kumnadi magufuli, tujiulize magufuli au watanzania kuna haja ya kujifunza kwa watu walioshindwa kuendesha hii nchi? basi hata magufuli ni yale yale, nilitegemea magufuli akae mbali nao ili tujue kweli ni mtu mwenye dhamira tofauti na waliomtangulia, ndg zangu watanzania tujitathimini na tuchukue hatua, tutaliwa kila mwaka.
 
Haya rudini tena kariakoo mkakusanye maoni kwa vibaka kujifurahisha. Mwaka huu tunabomoa hadi kibanda cha umbwa

TAKWIMU...UTAFITI ULIOFANYWA NA SHIRIKA LA UTANGAZAJI DUNIANI BBC..
KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO:

DAR ES SALAAM
lowassa 50%
Magufuli 48%

IRINGA
Lowassa 43%
Magufuli 54%

NJOMBE
Lowassa 28%
Magufuli 64%

RUVUMA
Lowassa 37%
Magufuli 64%

MWANZA
Lowassa 28%
Magufuli 72%

ARUSHA
Lowassa 51%
Magufuli 49%

MANYARA
Lowassa 65%
Magufuli 35%

KILIMANJARO
Lowassa 55%
Magufuli 45%

TANGA
Lowassa 28%
Magufuli 61%

MOROGORO
Lowassa 20%
Magufuli 79%

TABORA
Lowassa 15%
Magufuli 75%

KIGOMA
lowassa 12%
Magufuli 70%

MTWARA
Lowassa 28%
Magufuli 68%.

RUKWA
Lowasa 18%
Magufuli 88%

Je, mtu atachomoka hapo?

Sambaza ujumbe kwa WOTE ili wajionee

HAPA KAZI TU
Heeeeh. Mbona unaweweseka.........


Mkuu ungeweka link ya chanzo cha habari ya hao waliofanya huo utafiti. Maana kutokana na sheria za kikatiba za Tanzania tafiti kama hizi haziruhusiwi ikiwa imebaki mwez mmoja kuelekea siku ya uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom