Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Wanatumbua kodi zetu mungu tunakuomba utende yasiyo wezekana yawezekane katika kipindi hichi kigumu kama wanatumi kodi zetu siku ya kufunga kampeni wawe mabubu wote
 
Waeleze hawa vijana wanafikiri hii nchi imeota kama uyoga. Wataanza kulia nyau sasa hivi.

AAfENUG.img


Hako Ka-Jambazi Sugu kameshakubali
kwenda kuchunga ng'ombe Monduli

😅😅😅😅😅hiyo sura ilivyotulia kam ya nani vile mwenye club ya kuuza wanawake
 
Vip babaako ndo anaambiwa maneno hayo kuwa kafaaa utajisikiaje....lofa katika ubora wako
We kiazi ni nani aliyekuwa anamuombea mwenzake afe! Kama syo nyie magamba! Kumbuka nyie mafccm mmelaaniw
 
Wakuu,

Leo saa Saba mchana, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitakuwa na mkutano na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es Salaam.

Nitawaletea moja kwa moja kile watakachokuwa wanakizungumza wa ajili ya Watanzania.

================
Hadi sasa wazungumzaji wa Chama hawajafika ukumbini, waliofika hadi muda huu ni waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari.

Nimepata taarifa kuwa mkutano huu utarushwa moja kwa moja (live) Azam Two.

attachment.php


Baadhi ya waandishi wa vyombo mbalimbvali vya habari wakiwa ukumbuni kusubiri kuanza kwa mkutano huo.

Pindi wahusika watakapofika nitakaanza kuwapa kile walichotuitia.

January Makamba ameingia ukumbini na sasa anazungumza na waandishi wa habari anasema jambo kubw ani kuzungumzia jinsi CCM watakavyofunga kampeni zao.

-Amesema watafunga mikutano hiyo katika mikoa 7 nchini. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM kitaifa waliopo madarakani na wastaafu.

Anasema mikoa hiyo na viongozi wakaoongoza mikutano hiyo ni pamoja na mkoa wa Mwanza - Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, Mgombea Urais, na Samia Hassan Suluhu, Mgombea Makamu wa Rais

-Tanga – Ndugu Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Mbeya – Benjamin William Mkapa, Mwenyekiti wa CCM Mstaafu
-Mtwara – Ali Hassan Mwinyi, Mwenyekiti wa CCM Mstaafu,


-Kigoma –Philip Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM,Kilimanjaro – Yusuf Makamba, Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Mara – Joseph Warioba, Mjumbe wa Kamati Kuu na Waziri Mkuu Mstaafu.

Amesema Kati ya leo na kesho, maeneo mengine yanaweza kuongezeka.

-Mikutano hii itaanza saa sita mchana na itarushwa, yote kwa pamoja, kwa matangazo ya moja kwa moja ya vituo vya televisheni vitano na vituoa vya redio 67.

-Vilevile, watakaohudhuria katika mikutano hii wataunganishwa moja kwa moja na mkutano wa Mwanza, alipo Mwenyekiti, Mgombea na Mgombea Mwenza, na wataweza kusikiliza hotuba ya Dkt. Magufuli moja kwa moja kupitia screens zitakazokuwa katika viwanjani vyote hivi saba.

-Namna hii ya ufungaji wa kampeni itakuwa ni ya kihistoria, na inadhihirisha nguvu ya CCM inayoiwezesha kufanya mikutano mikubwa ya kampeni kwa siku moja katika maeneo mbalimbali nchini.

-Pia tutafanya historia katika tasnia ya utangazaji wa televisheni hapa nchini kwa kutangaza na kuunganisha kwa pamoja matukio saba kwa wakati mmoja.

-Kwa upande wa Dar es Salaam, tutafanya mkutano mkubwa wa ufungaji wa kampeni za Mkoa wa Dar es Salaam, katika Uwanja wa Jangwani, kesho, Ijumaa, tarehe 23 Oktoba 2015.

-Siku ya Jumamosi, tarehe 24 Oktoba 2015, Wagombea Ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam watafunga kampeni katika maeneo ya majimbo yao kwa namna mahsusi.

Kama Chama, tumeridhika na ubora na ukubwa wa kampeni tulizofanya licha ya changamoto za hapa na pale. Dkt. Magufuli na Ndugu Suluhu wamefanya kazi kubwa, na kwa bidii kubwa, na maarifa makubwa.

-Wamekuwa barabarani kwa siku 57 wakifanya mikutano kati ya 8 hadi 12 kwa siku.

-Imani yetu ya ushindi inatokana na kazi kubwa waliyofanya. Pia, CCM inawashukuru viongozi, wapenzi wa washabiki wake – wa makundi mbalimbali ya kijamii - kote nchini kwa kazi kwa kazi kubwa ya kampeni waliyoifanya.

-Kutokana na kazi kubwa na nzuri iliyofanyika, na kutokana na mwenendo wa tafiti huru na tafiti zetu za ndani, CCM inategemea ushindi wa asilimia zisizopungua 69.

-Anazungumzia suala la amani kuwa CCM haitachoka kuendelea kusisitiza uchaguzi wa amani na utulivu.

-Sisi kama chama kikubwa cha siasa nchini, chenye wafuasi wengi zaidi, na chenye dhamana ya uongozi wa dola, tutatimiza wajibu wetu wa kuhimiza utulivu kwa wapenzi, washabiki na wanachama wetu.

-Tunawataka na wenzetu wafanye hivyo.
-Kauli za wenzetu kwamba kura zitaibiwa ni kauli za kutojiamini na kujiandaa kufanya vurugu.

-Kauli za kwamba washabiki wa UKAWA wakishapiga kura wabaki vituoni kulinda kura si kauli za wanaotaka uchaguzi wa amani.

-Kwa utaratibu wetu wa uchaguzi, utaratibu wa pekee kwa Chama kulinda kura zake ni kwa kupitia wakala wa vyama waliopo kwenye kila kituo cha kupiga kura na wenye nguvu na mamlaka ya kisheria ya kushuhudia zoezi zima, kuanzia kupiga kura, kuhesabu kura hadi kutangaza matokeo.

-Pia Kura zinapigwa na kuhesabiwa vituoni mbele ya wasimamizi wa uchaguzi, mawakala wa vyama na waangalizi wa uchaguzi wa ndani na nje ya nchi.

-Kwa upande wa Mawakala wa vyama na wasimamizi wa uchaguzi wanaweka sahihi kwenye fomu za matokeo, na matokeo hayo yanatangazwa na kubandikwa kwenye kituo.

-Kwenye kituo kikuu cha Tume cha kujumlisha matokeo, mawakala wa vyama pia huwepo na Tume hujumlisha matokeo kutoka kwenye fomu za matokeo za vituo vya nchi nzima zilizosainiwa na mawakala wa vyama kwenye kila kituo.

-Kwa viongozi wa UKAWA kuwaambia watu waingie barabarani au kuvizunguka vituo vya kupigia kura eti ili kulinda kura hakuna maana yoyote zaidi ya kutafuta namna ya kuhalalisha vujo, vurugu na uporaji na kuwazuia watu wengine, hasa wanawake, kupiga kura.

-Tunaviomba vyombo vya ulinzi na usalama vizuie hili jambo kwasababu halina nia njema.

-Mkakati wa UKAWA ni kufanya vurugu baada ya kushindwa na kutengeneza mazingira ya mgogoro wa kisiasa ili Jumuiya ya Kimataifa iingilie kati na kupendekeza kugawana madaraka. Mkakati huo hautafanikiwa.

-Tunaviomba vyombo ya ulinzi na usalama vihakikishe ulinzi na usalama wa watu wote na mali zao siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi.

-CCM haitakubali hata kidogo ushindi wake kuhojiwa au kutiliwa shaka kwasababu tu ya vurugu zilizoanzishwa na watu wengine.

Amesema siku ya Jumamosi, CCM itatangaza namba maalum za simu kwa Watanzania wote ili siku kabla ya uchaguzi, siku ya uchaguzi na mara baada ya uchaguzi, waweze kupiga simu au kutuma ujumbe pale watakapokuwa wanabaini au kushuhudia vitendo vya kuvuruga amani.

-Kuhusu matokeo, CCM imeweka utaratibu wa kupokea matokeo kwa kutumia mawakala wake moja kwa moja vituoni na kupitia mtandao wa Chama.

Sisi tunategemea kuwa na matokeo ya uchaguzi nchi nzima ifikapo saa nne usiku, siku ya uchaguzi.
Dalili za uchumi unaotumikia siasa badala ya siasa kutumikia uchumi. Mikutano hii ni dalili tosha kuwa CCM imebanwa pabaya mwaka huu na haina budi kujaribu kila mbinu baada ya matusi kushindwa kutoa majibu yakulidhisha.
 
Sasa CCM mmeamua rusha mikutano yote ili sisi tusirushe au
 
Hzo gharama znazotumika zngewekwa kwenye huduma za jamii ingekua bora, maana hayo n matumiz mabaya ya rasilimali za umma
 
Hata watangaze mikoa yote kwa tv zote duniani...cnn, bbc, aljazeera, msnbc, rt, press tv, kbc, ubc, etv, eatv, itv ,tbc, azam tv, peace tv, zbc, uchawi tv, radios zote... HAMUWEZI SHINDA...!!!

Watu wanataka Mabadilikoooooo...!!! Sio hizo tv au radios..!!!

CCM out...!!
 
watasema kuwa utafiti mpya unaonesha magufuli atachaguliwa kwa asilimia 80%

Watasema Lowasa amekimbia mdhalo

Watasema lowasa amikanyaga kwenye interview na BBC

Watasema CDM wamewalipa vijana wamzomee magufuli
Haya rudini tena kariakoo mkakusanye maoni kwa vibaka kujifurahisha. Mwaka huu tunabomoa hadi kibanda cha umbwa

TAKWIMU...UTAFITI ULIOFANYWA NA SHIRIKA LA UTANGAZAJI DUNIANI BBC..
KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO:

DAR ES SALAAM
lowassa 50%
Magufuli 48%

IRINGA
Lowassa 43%
Magufuli 54%

NJOMBE
Lowassa 28%
Magufuli 64%

RUVUMA
Lowassa 37%
Magufuli 64%

MWANZA
Lowassa 28%
Magufuli 72%

ARUSHA
Lowassa 51%
Magufuli 49%

MANYARA
Lowassa 65%
Magufuli 35%

KILIMANJARO
Lowassa 55%
Magufuli 45%

TANGA
Lowassa 28%
Magufuli 61%

MOROGORO
Lowassa 20%
Magufuli 79%

TABORA
Lowassa 15%
Magufuli 75%

KIGOMA
lowassa 12%
Magufuli 70%

MTWARA
Lowassa 28%
Magufuli 68%.

RUKWA
Lowasa 18%
Magufuli 88%

Je, mtu atachomoka hapo?

Sambaza ujumbe kwa WOTE ili wajionee

HAPA KAZI TU
Heeeeh. Mbona unaweweseka.........
 
Hayo matangazo yoooote FEDHA ZA WALIPA KODI... mmeua nchi yetu...

CCM out...!!!
 
Haya rudini tena kariakoo mkakusanye maoni kwa vibaka kujifurahisha. Mwaka huu tunabomoa hadi kibanda cha umbwa

TAKWIMU...UTAFITI ULIOFANYWA NA SHIRIKA LA UTANGAZAJI DUNIANI BBC..
KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO:

DAR ES SALAAM
lowassa 50%
Magufuli 48%

IRINGA
Lowassa 43%
Magufuli 54%

NJOMBE
Lowassa 28%
Magufuli 64%

RUVUMA
Lowassa 37%
Magufuli 64%

MWANZA
Lowassa 28%
Magufuli 72%

ARUSHA
Lowassa 51%
Magufuli 49%

MANYARA
Lowassa 65%
Magufuli 35%

KILIMANJARO
Lowassa 55%
Magufuli 45%

TANGA
Lowassa 28%
Magufuli 61%

MOROGORO
Lowassa 20%
Magufuli 79%

TABORA
Lowassa 15%
Magufuli 75%

KIGOMA
lowassa 12%
Magufuli 70%

MTWARA
Lowassa 28%
Magufuli 68%.

RUKWA
Lowasa 18%
Magufuli 88%

Je, mtu atachomoka hapo?

Sambaza ujumbe kwa WOTE ili wajionee

HAPA KAZI TU
Heeeeh. Mbona unaweweseka.........

Huo utafiti naona umeufanya huku unakunywa viroba! Pole sana
 
leo makufuli alikua anaomba watu waimbe rais rais rais rais! sasa mtu anaye ambiwa atashinda urais anaomba watu wamshangilie??kweli haya ni majanga
 
CCM Kwisha, ndembendembe, mlalao wa chali

1. January Makamba anatumia cheo cha uwaziri wa habari technolojia na mawasiliano kwa lengo la kukinufaisha chama
chao.

2. Wahenga walisema ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Wazee wa CCM mwaka huu wamelia na wanaendelea
kulia. Ukiona mtu kama Mkapa, Warioba, Mzee Makamba na hata mzee ruksa wameingilia huu mtannange ujue kabisa
CCM iko hoi mbele ya ukawa.

3. Wanataka kuonyesha watanzania kuwa wanakubalika karibia na siku ya uchaguzi hata kama watakuwa wamesomba
watu kwa malori na mabasi kutoka mbali na wanapofanyia mikutano yao ili kujustify bao la mkono.

4. Lakini nasema watashindana lakini mwisho hawatashinda!
 
Ya Ccm tuachiani wenyewe. Kamkabeni Koo Mwenyekiti wenu arudishe mabilioni alliyohamishia kwenye akaunti yake. Huku Fisadi huku mpiga dili nani anakichaa awape nchi? Rudisha pesa ya Chama ya msaada toka Japan
 
Back
Top Bottom