washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 728
Pumba tupu, CCM haiwezi kushinda
Ww blaza unaonekana unafikiria fito za miguu.rejea kauli ya mkapa.hakusema watanzania.alisema viongozi wa upinzaniMgombea ubunge Wa jumbo la bumbuli amesema eti vyama vya upinzani vimepanga kuleta Fuji siku ya uchaguzi.Taarifa ya January makamba huo in uongo mkubwa acha kuwadanganya wananchi.CCM mmekuwa Na kampeni za matusi zikiongozwa Na Kiongozi mkubwa sana Mstaafu Rais Mkapa pale alipowatukana Watanzania kuwa ni MALOFA Na WAPUMBAVU.
Mgombea ubunge Wa jumbo la bumbuli amesema eti vyama vya upinzani vimepanga kuleta Fuji siku ya uchaguzi.Taarifa ya January makamba huo in uongo mkubwa acha kuwadanganya wananchi.CCM mmekuwa Na kampeni za matusi zikiongozwa Na Kiongozi mkubwa sana Mstaafu Rais Mkapa pale alipowatukana Watanzania kuwa ni MALOFA Na WAPUMBAVU.
Hujui siasa kijanaMwenyewe kasema ataenda kuchunga ng'ombe, vipi wale alipo-mpo, mtaenda naye kuchunga ng'ombe?
Yaani bila aibu nilitegemea atasema atabaki akijeng chama alichokivunja kwa mikono yake, poor you
Sisi Kyela TUMEISHA CHAGUA siku nyingi sana!Tunawashukuru sana wananchi kwa kuiamini UKAWA .