wakati mwingine tunapoongea tuwe tunatumia akili. huyo lowasa unayemtukana kuwa anajinyea, ni mtu mzima, baba wa watu na pengine ni baba yako hata wewe pia. kitu cha kujiuliza ni kwanini pamoja na kwamba watz wote wamesikia kuwa anajisaidia kutokana na matatizo ya kiafya etc lakini wako tayari aende ikulu? ninyi ccm mjiulize ni kwanini? watu wanaamini hata ungeweka jiwe lipambane na ccm watu watapigia jiwe badala ya ccm, jiulizeni ni kwanini wala msimtukane lowasa. kama ni suala la kujisaidia iwe kwa kawaida au kwa matatizo ya kiafya, hilo sio suala geni, kuna watu wengi tu huko ccm wananyea ubavuni hawatumii tigo kunyeaa mimmavi tena, lakini bado wanaendelea kutumikia serikali. sumaye alisema hata rais wenu kikwete alifanyiwa uperation "marekani", ameacha hospitali za hapa mtibiwe ninyi (wewe baba yako na mama yao), kwa tatizo la tezi dume. hilo hamshangai? maccm mnazidi kufia kwenye hospitali zenu za india ila wananchi mnawaacha wafie hapahapa Tanzania, hamna aibu? halafu, unashangaa kunyaa? kwani ikulu hakuna vyoo? au unamtukana huyo baba wa watu, wewe baba yako mzazi huwa hanyi mimavi? au babako anakunya keki? huna maana kuishi katika hii dunia kabida ndugu yangu, kwasababu huna akili wala adabu.