Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Yaani ubungo ndio DSM, na mbagala ni wapi, posta, kino, mikochen,mbezi, mwenge, makongo, ????????huko kote ni Arusha??Kuzomea ni uhuni haimaanishi ni dalili ya kufanikiwa,Rika linalomuunga mkono mamvi ni miaka 15-25 walio wengi na hizo ndio tabia zao, vijana watu wazima 25+ hawawezi kufanya upuuzi huo!
Narejea tena hili, mashabiki wa simba kuzomea kocha wa Yanga haimaaanishi Yanga itafungwa mechi, matokeo yapo uwanjani, wala haimaanishi kuna shabiki wa Yanga atahamia Simba kwa kuwa kocha wao kazomewa!
Magufuli HAJAMSHAMBULIA hata mara moja Lowassa kama ni fisadi sababu anajua alicho fanya kwenye kugawana nyumba zetu!Weak entry point ya Lowassa ni RICHMOND lkn kama hadi uchaguzi unaisha hujamshambulia hamna namna ya kumshinda!!

Ingawaje CHADEMA wametukosesha raha ya Dr Slaa kutawala jukwaa lkn Magufuli is too light to Laigwan
 
Huu upepo wa Kisiasa CCM hawakutegemea,Wajue hasara za kudharau wapiga kura na Malofa wa Tanzania
 
usikute nape amededi wanataka kututangazia RIP nape
 
Ila CCM kiboko. Wamemtumia Juliana Shoza kama toilet paper wakatupa kule. Ina wenyewe hiyo wanaipenda na wamejipanga
 
Namwona Jan Makamba Live Azam Two. Anawahimiza wapiga kura kuwa watulivu na kutii sheria
 
Usidanganyike na TAFITI za January Makamba wa TWAWEZA ndugu yangu!Laigwan Rais Jumapili usiku

Mwenyewe kasema ataenda kuchunga ng'ombe, vipi wale alipo-mpo, mtaenda naye kuchunga ng'ombe?

Yaani bila aibu nilitegemea atasema atabaki akijeng chama alichokivunja kwa mikono yake, poor you
 
Wamechelewa hata wafanye nini UKAWA NI NUMBER ONE wao waende kwenye mikutano yao ya fiesta
 
AZAM Tv wekeni mitambo vizuri tumsikilize huyo fisiem anataka kusema
 
Picha na sauti inazingua. Wamekata matangazo.
 
Mwenyewe kasema ataenda kuchunga ng'ombe, vipi wale alipo-mpo, mtaenda naye kuchunga ng'ombe?

Yaani bila aibu nilitegemea atasema atabaki akijeng chama alichokivunja kwa mikono yake, poor you
sasaa... ulitaka aseme ataandamana??? si ungekuja hapa na BREAKING NEWS wewe!!!!
 
Jan amemaliza kuongea,Azam mitambo yenu inakera sana
 
Back
Top Bottom