Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,905
huwa nikiiyona post yako Mkuu ,
Najisikia kucheka kwa majonzi huwa unaongea kwa huzuni iliyokosa faraja.
Nikirudi kwenye avatar yako ndo mbavu sina.
Anyway jikinge mwenyewe full stop sisi wakati wa Dar tumeshazoea hii sijui huko mikoani ambapo km 10 hadi hospital
Najisikia kucheka kwa majonzi huwa unaongea kwa huzuni iliyokosa faraja.
Nikirudi kwenye avatar yako ndo mbavu sina.
Anyway jikinge mwenyewe full stop sisi wakati wa Dar tumeshazoea hii sijui huko mikoani ambapo km 10 hadi hospital
Kwasasa tumechelewa maana mabus kesho yanawahi tena mikoani yanapeleka huko,baada ya siku2 tena tutaletewa takwimu mikoa itaongezeka.