denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Hivi ni kweli pale Ubungo Bus Terminal bado hawajaweka kituo cha kupimia Corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuambia?Jamaa ataki uchaguzi anaomba hii hali iendelee mpaka mwakani ndio nafuu yake ndio maana hajishughulishi na chochote.
Aliniambia kwani wewe ajakuambia?
Mmeshauriwa mara ngapi na kuanzia lini? Halafu bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, sio kwa sababu yeye alipona basi na wewe lazima upone, una uhakika gani kwamba ukipata huo ugonjwa utapona?Hivi ukiumwa Corona lazima ufe? wagonjwa wameshasambaa tayari hata ukiifunga Dar isiingiliane na mikoa mingine sioni Kama unafuu wowote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umeisha bahatika kuwaona hao wagonjwa wa COVID-19 waliopo Tanzania ?Hii Serikali ni kaidi sana. Hii corona itatimba mpaka Chato na Ruangwa ndiyo watie akili
Wewe hauna tofauti na wapumbavu wengine ingawa unajiona mwenye akiliHivi ukiumwa Corona lazima ufe? wagonjwa wameshasambaa tayari hata ukiifunga Dar isiingiliane na mikoa mingine sioni Kama unafuu wowote
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia ya mbowe ilikuwa ya mwanzoni tunkukutwa na Corona na wao wakajikausha hadi walipoumbuliwa na Makonda!!! Kwa hiyo mlifanya chaguo sahihi kumpa kura mbowe uenyekiti wa chadema?Ndiyo maana tunaambiwa tuwe makini sana wakati wa kuchagua viongozi. Upigaji kura kwa ushabiki na kuangalia vyama, adhabu yake ni kubwa.
Asilimia 5 ya wagonjwa watakao ugua Corona ndio watakufa. Hizo ni data za duniani kote. Kwa hiyo katika watu 1000 watakao ugua huu ugonjwa tutegemee vifo 50.Hivi ukiumwa Corona lazima ufe? wagonjwa wameshasambaa tayari hata ukiifunga Dar isiingiliane na mikoa mingine sioni Kama unafuu wowote
Sent using Jamii Forums mobile app