3.5Over/under, inasimama badala ya goli ngap
Hahah. Unmmenikumbusha yule mkuu wangu wa mkoa pendwaGoal la Mbwana Samata lina thamani ya odds 3.05
Wadau mnaonaje kuvaa hili bomu jumla jumla!
haha! Agrey Mwanry!Hahah. Unmmenikumbusha yule mkuu wangu wa mkoa pendwa
Clear??acha utani mzeeOdds 5 clear kabisa hizi View attachment 1221643
hii pesaLeo nimetoka hivi kwa wale wapenda option ya sub. View attachment 1221509
You Just take the first step in faith bro.Clear??acha utani mzee
Mkiliwa mnakuja humu kulalamika vipigo vimezidiLeo naweka buku ten tuu
Slavia Prague vs Borussia dortmu -2
Genk-Napoli ---2
Liverpool. Vs Salzburg---1
Barcelona Vs inter--1
Nb Chelsea Leo atapigwa gori nyingi zaidi ya zile za majinga Yale Tottenham
ayaaa Chelsea nimempa direct win mbona unanikwanza mzee mapema hivyo....duuuuhMkiliwa mnakuja humu kulalamika vipigo vimezidi
Bro usoamini kwenye direct win shiling hua linapinduka mda wowote
refresh balanceHawa PLAY MASTER wajinga sana lisaa linapita sasa nime deposit hakuna pesa kwenye wallet dahhh
Game nyingi sana hizo mkuu