babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,183
- 6,010
Daaaah namchangia tu mhindi siku hizi
Ghana win.
lazio under 2.5
4500 imenipa 40000 si haba
Umetisha mkuu
Mimi nasubiri hadi jumamosi
Halafu wamekalishwa vibaya kweli. Hakuna kujitetea. OT wametoka 4-6
Mimi mpaka Feb 2 ndo naanza business! In next five years ntakuwa nimejenga shule au appartments kutokana na hii business.
Nataka niwe pro gambler.
hahahahh kama mcharo vile