Sawa ni mtizamoSIMBA VS AL AHLY
Tuweke ushabiki pembeni.
Mwarabu haponi, pengine apate sare.
Huyo siku hizi sijui kawaje kwenye ligi yao mfate Leeds naona yupo 🔥Aisee wakuu hii week imeshaharibika tuwe makini na stake zetu. Leicester city wametupa ishara mbaya sana😂