Aisee wakuu hii week imeshaharibika tuwe makini na stake zetu. Leicester city wametupa ishara mbaya sana😂
 
Kuna kitu nimeona hii week kwa wenzetu wa Nigeria, aise wame mpasua sana mhindi wa Sportybet na hawabet football wao wanapiga tennis na basketball tuu.

Kwetu huku sioni sana watu wakichambua basketball na tennis tumejikita zaidi kwenye mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…