Mike Tyson now female?

Mike Tyson now female?

Status
Not open for further replies.
Mike Tyson sasa ataitwa Michelle: bingwa wa ndondi wa zamani anadaiwa kubadilisha jinsia yake kutoka ya kiume na kuwa ya kike, inadaiwa kuwa tayari ameishafanyiwa upasuaji katika hospitali moja huko Marekani, hii imeripotiwa na mitandao tofauti tofauti, pia gazeti la The Standard. Vyombo mbalimbali vya habari vimemnukuu akisema itakuwa amekamilisha ndoto yake pale atakapoanza kuona siku zake (hedhi), na kusema kuwa ili kukamilisha dhamila yake ya kuwa mwanamke' jina lake ataitwa Michelle. Habari zilizoenea mitandaoni, wanasema tayari ameishafanya marekebisho ya sura yake, pamoja na rangi ya mwili wake ili aweze kuwa na mwonekano wa kike wa kuvutia wadau. Jamaa waliokaribu naye wanasema tayari kuna mabadiliko kwenye mwenendo na tabia zake; ameanza kuwa mpole, na pia uvaaji wa mavazi. My take: huyu ndugu yetu Mike Tyson (Michell) alishawahi kuhukumiwa kwa kosa la ubakaji, Je itokea naye akafanyiwa kitendo hicho itakuwaje?

kbm.....nafikiri hajafanya operesheni lakini anataka awe kwenye chati za khabar kwa vile yuko Holywood......
 
Last edited by a moderator:
[h=1]upuuzi huu umeanzishwa na newsbuscuit

Mike Tyson now female?[/h]December 9, 2012 in Sport
America - Former undisputed heavyweight boxing champion of the world Mike Tyson is said to be "feeling fine" after undergoing successful gender reassignment surgery at a clinic near Beverley Hills.
Report by NewsBiscuit

Once known as "The Baddest Man on the Planet", the boxer said having his first menstrual cycle "would be a dream come true", and that from now on he would be known as Michelle.
"Some people might think it strange that I'm now a woman," said Tyson, who underwent complete facial feminisation, orbital bone contouring and nasal surgery in an operation lasting over 16 hours.
‘But even at the height of my career, when pound for pound I was regarded as the best fighter in the world, I never lost touch with my feminine side and knew that one day I would grow breasts and have a vagina.'
Iron Mike was given the all-clear for gender reassignment surgery following a successful course in hormone replacement therapy which, in his autobiography, the boxer blamed for his 1996 defeat at the hands of Evander Holyfield.
Although at the time Tyson insisted he was fit enough to carry on with the fight, referee Mitch Halpern stopped the bout in the 11th round saying Tyson looked flushed, was sweating profusely and appeared to be lactating heavily from his left breast.
Tyson, said he hoped being female would finally convince the American people that his "bad-boy" days were over and he had turned over a new leaf.
 
Paster Emmanuel Joshwa akafanye ziara Marekani
 
Former undisputed heavyweight boxing champion of the world Mike Tyson is said to be ‘feeling fine’ after undergoing successful gender reassignment surgery at a clinic near Beverley Hills. Once known as ‘The Baddest Man on the Planet’, the Brooklyn-born boxer told reporters that having his first menstrual cycle ‘would be a dream come true’, and that from now on he would be known as Michelle.
‘Some people might think it strange that I’m now a woman,’ said former rapist Tyson, who underwent complete facial feminization, orbital bone contouring and nasal surgery in an operation lasting over 16 hours. ‘But even at the height of my career, when pound for pound I was regarded as the best fighter in the world, I never lost touch with my feminine side and knew that one day I would grow breasts and have a vagina.’
Iron Mike – or Iron Maiden as he now likes to be called – was given the all-clear for gender reassignment surgery following a successful course in hormone replacement therapy which, in his autobiography, the boxer blamed for his 1996 defeat at the hands of Evander Holyfield. Although at the time Tyson insisted he was fit enough to carry on with the fight, referee Mitch Halpern stopped the bout in the 11th round saying Tyson looked flushed, was sweating profusely and appeared to be lactating heavily from his left breast.
Tyson, wearing a blonde wig and looking relaxed in blue jeans and a Vanessa Bruno T-shirt, today said he hoped having a clitoris would finally convince the American people that his ‘bad-boy’ days were over and he had turned over a new leaf. ‘I’m even keeping my surgically removed penis in a jar by my bedside to remind me what those sick perverts did to us pretty boys in prison.’
Although boxing commentators were initially stunned by Tyson’s revelation, many have admitted the signs were there. ‘In hindsight, he had shown a fondness for dressing up in gloves, long leather boots and silk gowns, and he always had a really close interest in earrings.- NewsBiscuit



source:
Mike Tyson in sex exchange surgery?

Mike Tyson now female? - The Standard
 
binafsi nimeshtushwa sana na habari yake huyu mwanamama kwa sasa, sidhani kama ni akili za kawaida tu au kuna nini nyuma ya pazia. kama huna taarifa ni kwamba jamaa kabadilishiwa jinsia na upasuaji umesemekana kufanikiwa kwa asilimia nyingi tuu, na amefurahi sana ku experience menstruation kwa mara ya kwanza. Wale wadau jamani bikra mpya hiyo hapo jaman. nawasilisha.
 
Habari hii ni uzushi na baadhi ya vyombo vya habari vya tanzania kama gazeti la jambo leo vilivyo vya ovyo vimeweka kurasa zao za mbele leo.Chanzo cha hii habari sio cha kuaminika, ilitakiwa iandikwe kama tetesi
 
Marekani maisha magumu sana, kwa hiyo anatafuta populality kwa nguvu sana. Na ninafikiri atakuwa amekata tamaa na maisha huyo kwani hiyo si akili ya kawaida.
 
huyu si juzi hapa kaslimu kuwa mfuasi wa Mohamedi, nayo imekuwaje,sasa lile gazeti la annur linalopamba watu maarufu kwa dini yao litoke na ilo
 
acheni wafu wawazike wafu wenzao ...a living ghost!
 
huyu si juzi hapa kaslimu kuwa mfuasi wa mohamedi, nayo imekuwaje,sasa lile gazeti la annur linalopamba watu maarufu kwa dini yao litoke na ilo
kule kwingine hairuhusiwi hii hivyo hupasa ubadili kule inakoruhusiwa haya mammbo kwani hukuona jackson?
 
Ni utashi wake mwenyewe na sisi kama Watanzania haitubadilishi maisha yetu.......hebu tujenge taifa jamani ili "wenzetu" waje kulibomoa!
 
Ukitaka kujua hii habari sio ya kweli ni kwamba nimetembela site ya GOOGLE niweze kupata hii issue GOOGLE nao wakanipeleka kwa walioleta huo umbea ambao ni Zambian Watchdog | For uncensored news and views on Zambia na nilipofungua hiyo site ikanipa huu ujumbe [h=2]Apologies, but the page you requested could not be found.[/h]Hao jamaa waliyoleta hiyo habari nahisi ni jamii ya akina Shigongo!
 
huyu si juzi hapa kaslimu kuwa mfuasi wa Mohamedi, nayo imekuwaje,sasa lile gazeti la annur linalopamba watu maarufu kwa dini yao litoke na ilo

Bila shaka hilo gazeti wakiipata hii kuwa ni kweli jamaa kawekewa nanii mbele ili awe demu, lazima watamkana kuwa siyo muumini wao.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Ha ha haa......nasubiri ukanushaji

8FCB9DE7C2B142404189BF3C5CB637A2.jpg


14748267_f8e5_1024x2000.jpg
 
Haya ni matokeo ya nchi zisizokuwa na tamaduni zao za kudumu,ndio maana kila siku wanafanya kila aina ya mbinu nasi huku afrika ama tuige tamaduni hizo tuwe kama wao ili watudharau kabisa.


Wakati mwingine waweza kukuta ni mchezo fulani tu wa kuwasahaulisha watu jambo fulani au ni namna ingine ya utafutaji wa pesa kupitia hilo igizo.

Kitu kingine cha kujiuliza hivi ni kwanini tyson? Yawezekana akatumika kama photoshop kwa misingi ya kibaguzi au kuwakilisha hisia za mashoga duniani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom