Mike Tyson now female?

Mike Tyson now female?

Status
Not open for further replies.
mpaka sasa sijapata reliable source.Inaonekana ni uzushi wa website ya udaku ya news biscuits
 
kbm

Hivi wakitokea member kama wewe kama sita ama kumi hv si mtatudanganya mpaka!
 
Last edited by a moderator:
Hebu toeni u'pupu wenu humu ndani....
Hebu Watanzania jaribuni kuwa watafiti japo kidogo tu, ndio maana mnadanganywa na siasa za majitaka
Hii habari naiona kwa mara ya tatu sasa humu.
 
Alifanyiwa upasuaji wiki iliyopita, Afurahia kupata hedhi yake ya kwanza... asema ni kitu alichotamani siku nyingi.
Kwa habari zaidi soma gazeti habari leo la leo.
 
[h=6]View First Unread [/h]
[h=6]LinkBack[/h]

[h=6]Topic Tools[/h]

[h=6]Search Topic[/h]

[h=6]Rate This Topic[/h]
  • Current Rating
  • Excellent
  • Good
  • Average
  • Bad
  • Terrible



  • user-offline.png
    kbm

    Today 03:00
    #1
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 5th October 2012
    Posts : 388
    Rep Power : 387
    Likes Received69
    Likes Given3



    [h=2]
    icon1.png
    Mike Tyson abadilisha jinsia - kuwekewa ya kike na jina lake sasa ni Michelle![/h]
    Mike Tyson sasa ataitwa Michelle: bingwa wa ndondi wa zamani anadaiwa kubadilisha jinsia yake kutoka ya kiume na kuwa ya kike, inadaiwa kuwa tayari ameishafanyiwa upasuaji katika hospitali moja huko Marekani, hii imeripotiwa na mitandao tofauti tofauti, pia gazeti la The Standard. Vyombo mbalimbali vya habari vimemnukuu akisema itakuwa amekamilisha ndoto yake pale atakapoanza kuona siku zake (hedhi), na kusema kuwa ili kukamilisha dhamila yake ya kuwa mwanamke' jina lake ataitwa Michelle. Habari zilizoenea mitandaoni, wanasema tayari ameishafanya marekebisho ya sura yake, pamoja na rangi ya mwili wake ili aweze kuwa na mwonekano wa kike wa kuvutia wadau. Jamaa waliokaribu naye wanasema tayari kuna mabadiliko kwenye mwenendo na tabia zake; ameanza kuwa mpole, na pia uvaaji wa mavazi. My take: huyu ndugu yetu Mike Tyson (Michell) alishawahi kuhukumiwa kwa kosa la ubakaji, Je itokea naye akafanyiwa kitendo hicho itakuwaje?​



 
binadamu tunamkosea muumba mpka sio vizuri.
 
This is Lunacy.May the creator forgive him,he must have been mentally paralyzed.
 
Wamem pin down hadi wamemuweza, cheze il...m..t wewe
 
jf ina watu viazi sana.. Kila wanachokiona kwenye mtandao wanaamini. Utadhani wale jamaa waliochoma makanisa .. Wanawasikiliza maimamu tu
 
Ndio maana yesu hataki kurudi duniani ili asije kushuhudia upumbavu kama huu.Sasa alivyo na sauti mbaya ataweza kutoa sauti za miguno akipandiswa kwenye sita kwa sita.
 
Ndio maana yesu hataki kurudi duniani ili asije kushuhudia upumbavu kama huu.Sasa alivyo na sauti mbaya ataweza kutoa sauti za miguno akipandiswa kwenye sita kwa sita.

na ww umekuja kichwa kichwa na kuamini?
 
Dunia inafikia ukingoni!jamani! 2sali nakuomba jamani!
 
Hakua ukweli wowote hapo.....hebu weka picha kwanza maana sisi tunaamini kwa kuona kama Thomaso
 
Alifanyiwa upasuaji wiki iliyopita, Afurahia kupata hedhi yake ya kwanza... asema ni kitu alichotamani siku nyingi.
Kwa habari zaidi soma gazeti habari leo la leo.
Wewe huna akili, tangu lini Habari Leo ikawa source ya habari zaukweli?

Hiyo habari imetoka kwenye mtandao wa utani unaitwa Biscut, hakuna ukweli wowote wa swala hilo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom