Sasa hapa JK wa watu anahusika nini na wewe Shy!! jamani mwacheni mtoto wa mwenzenu na yeye kazaliwa kama wewe. mumpumzishe basi. sio kila kitu kumpaka matope. huyu ni rais wa nchi mpe heshima yake. huo msiba unahusika nini!!!! looo ungepewa wewe kuwa rais wa nchi ungeweza? acha hizo. mengine mumpumzishe baba wa watu %#@*&%$#*&%$#@hata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
Na wewe R.I.Phata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
hahahhah nimejikuta tu nakufukua hahahahaahhahhaha.NAHUJA mbona unafukua makaburi tena?