Mike sikawa afariki dunia

hata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
Sasa hapa JK wa watu anahusika nini na wewe Shy!! jamani mwacheni mtoto wa mwenzenu na yeye kazaliwa kama wewe. mumpumzishe basi. sio kila kitu kumpaka matope. huyu ni rais wa nchi mpe heshima yake. huo msiba unahusika nini!!!! looo ungepewa wewe kuwa rais wa nchi ungeweza? acha hizo. mengine mumpumzishe baba wa watu %#@*&%$#*&%$#@
 
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini

Samahani kwa kuchepuka.
Mkuu Bongolander, ukisoma vema sehemu uliyohighlight utabaini kuwa kuna kiunganisha NA. Hiki kinatenganisha kati ya mjane NA watoto. Hivyo katika fasihi, kiambishi kinachofuata baada ya kiungabnishi hicho kinaweza kumaanisha kinahusisha nomino iliyotajwa baada ya kiunganishi. Kwa maana hiyo, katika habari ulioikosoa. kuna uwezekano kuwa walioko Amerika ya kusini ni watoto, ambayo ni nomino iliyotajwa baada ya kiunganisha.
Asante
 
RIP Mike!
You have done your bit-kazi yako inatambulika hakuna ubishi.
Kazi kwetu tuliobaki tutakumbukwa kwa lipi?Food for thought!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom