RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Kwahio sisi wapanda daladala hatustahili kuvaa vizuri?! Kuku wa kienyeji mwenyewe!!!Hata Uvae vipi Kama unaenda kuparamia Daladala nakuona Kuku wa Kienyeji tu
Kwahio sisi wapanda daladala hatustahili kuvaa vizuri?! Kuku wa kienyeji mwenyewe!!!Hata Uvae vipi Kama unaenda kuparamia Daladala nakuona Kuku wa Kienyeji tu
Kwahio sisi wapanda daladala hatustahili kuvaa vizuri?! Kuku wa kienyeji mwenyewe!!!
Kwahio sisi wapanda daladala hatustahili kuvaa vizuri?! Kuku wa kienyeji mwenyewe!!!
Kwahio kuna tofauti kati ya kuvaa vizuri na mikato ya hatari?! Nieleweshe. Mimi huwa navaa simple.Hahah hahah hahah! Basi we Broiler au Layer!
Kuvaaa vizuri Kama huna chombo unaruhusiwa Ila Mikato ya hatari Kama huna chombo ni karha wa Bughdha!
Gari sina ila navaa vizur hata mdada mwenye Gari akiwa anapita lazma aangalie Mara 2 mana good Looking ipoHahah hahah hahah! Basi we Broiler au Layer!
Kuvaaa vizuri Kama huna chombo unaruhusiwa Ila Mikato ya hatari Kama huna chombo ni karha wa Bughdha!
Hasa upate New Balance 1500UKG mkuu.Ni classics.
Hiko kikoti na hiyo jeans a hiyo shat nimevikubali niambie navipat kwa shop ipi jamaniNapenda kuvaa vizuri na kuwa smart kuvaa ni sanaa na damu ya mtu kama hauna damu ya kupenda kuvaa siku zote kuvaa itakuwa ni ziada sio kitu muhimu kwako.. Utatafuta excuse zote ila ukweli ni kwamba kuvaa ni damu mtu anazaliwa anakuwa anazimia haya mambo.
Okay! Napenda kushiriki na ninyi aina ya mikato ninayopenda nawashushia moja moja.
Yoyote atayependa kushiriki na mimi. Karibu!