Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
haàaaa huyu ananitosha sitaki kukoshwa na mwingine zaidiAnapendelea kuvaa nini nimuige ili nikukoshe?
haàaaa huyu ananitosha sitaki kukoshwa na mwingine zaidiAnapendelea kuvaa nini nimuige ili nikukoshe?
Duh watu mnachunguza.... nimetizama sioni kitumiguu meupe hatar.....ww ni mzungu???
Basi niwakoshe wa uswahili kwetu.haàaaa huyu ananitosha sitaki kukoshwa na mwingine zaidi
Duh! Nimecheka hadi nimejishitukia.!Mkuu hivi viatu sio vya walemavu mbona vyote vya kushoto
Nifate pm Kama upo siriasWapi?
Atakuwa zeruzeru
sio yule uliemtafutaga huku...Basi niwakoshe wa uswahili kwetu.
miguu meupe hatar.....ww ni mzungu???
macho kodokodo
Unajua kuangaliaaaa
Hivi ninavyokuzimia kweli unafikiri hayo majaribu nitayavuka?sio yule uliemtafutaga huku...
btw mbona uligoma kuniajiri nikufuliage
Hii ndio walk-in closet yako?
Inategemea naenda wapi basi nitavaa tegemea na nature ya sehemu husika na aina ya watu ninaokutana nao,
Thubutuuu..........Hii ndio walk-in closet yako?
mbona umebisha hivyooo lolsThubutuuu..........