newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
wapi naweza kupata mikataba kati ya serikali na Makampuni binafsi/taasisi za kimataifa.Je Wizara ya sheria au kwa mwanasheria mkuu wanayo hii mikataba ambayo tunaona Ministers and Makatibu Wakuu wakisign na kushake hands ktk magazeti na TV .
hi public libraries zinaruhusiwa au kuzuiwa kisheria kutunza kumbukumbu ya mikataba?
hi public libraries zinaruhusiwa au kuzuiwa kisheria kutunza kumbukumbu ya mikataba?