Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,072
- 2,307
It's time for reasoning, ngoja tuwashe taa kidogo!
Hii ni hoja rahisi sana ambayo mpaka leo sijapata mtu wa kuikosoa.
Ipo hivi,hakuna tofauti yoyote ile kati ya kisa cha kweli cha kichawi/ushirikina/maajabu(kama kimewahi kuwepo) na kisa cha kutunga(work of fiction) kinachohusu uchawi/ushirikina/maajabu
Hata kama katika kisa cha kutunga kumetajwa maeneo ya kweli ambayo wenyeji wamekili kuyafahamu
Filamu ya Titanic ime base katika tukio la kweli lakini sote tunajua Jack na Rose hawakua Real
Mwandishi yoyote makini anaweza Fanya extensive research ya maeneo mbalimbali,Lugha,na key people katika maeneo hayo kisha akaja na kisa cha kutunga ambacho kipo consistent na research aliyofanya
Point hapa ni hivi,ni vigumu kutofautisha kisa cha kweli cha kichawi/kishirikina/maajabu na kile kilichobuniwa
Hata kama una amini uchawi au imani za kishirikina ni mambo ya kweli bado ni vigumu kutofautisha kati ya kisa cha kweli na kile kilichotungwa unless upo tayari kuamini kila aina ya taka taka utakayosimuliwa na mgeni yoyote utakayekutana nae mtandaoni
Pia tukipiga mahesabu,probability ya simulizi hii kuwa ya tukio la kweli ni ndogo sana kuliko probability ya simulizi hii kuwa kisa cha kutunga
Kwa maneno mengine,kuna 99.9% kuwa kisa hiki ni cha kutunga kuliko 0.1% kuwa kisa hiki ni cha kweli.....
Kivipi,tukio moja tu katika kisa hiki,kama ni cha kweli kina uwezo wa ku "disprove" misingi yote ya Sayansi kwanzia kipindi cha Aristotle,Copernicus,Leibniz, Newton, Dirac,Einstein, Bohr,Gödel,Feyman,Hawking na wengine wengi
Mfano kama kweli mtu anaweza fumba macho na kufumbua(almost sekunde moja) akatoka Mwanza mpaka mbeya,hakuna Energy yoyote iliyotumika,na wala hakuonekana kuchoka
Then ni Obvious, Principle of conservation of Energy ambayo imekua msingi Wa sayansi kwa karne,na kutupa majibu sahihi mda wote ni ya "UONGO"
Kama kweli ziwa linaweza gawanyika,na ndani kukawa na mji mkubwa,Sayansi nzima kama tunavyoijua inakua ni "Takataka" kwasababu haiwezi tupa maelezo ya tukio hilo na matukio mengine yote ya kushangaza katika simulizi hii
Sasa kati ya maelezo haya mawili,yapi yanaweza kuwa sahihi?
1.Simulizi hii,ambayo ushahidi pekee tulio nao kuihusu,unatoka kwa msimulizi aliyetuletea simulizi hii na baadhi wanao support kuwepo kwa maeneo tajwa(means setting ya story ni ya kweli japo hii haiwezi count kama evidence) ni ya kweli,na Aristotle,Copernicus, Leibniz, Newton,Darwin,Einstein, Dirac,Bohr,Plank,Maxwell wote hawakua sahihi pamoja na scientific papers zote zilizowahi kuandikwa pamoja na tafiti zote za kisayansi zilizofanyika na zilizowahi kufanyika
Au
2.kisa hiki ni cha kutunga
Maelezo yapi yanaweza kuwa sahihi? 1 au 2?
Tuwe tunatumia akili zote kuhoji vitu,
The reason why nakua mgumu kuamini visa kama hivi ni jinsi gani haviweka "more details" haswa hapo kwenye matukio muhimu
Mfano,ni kwa jinsi gani alikua ananyonya damu za abiria kwenye kibuyu na kuwakausha kabisa,ili hali hakujawahi ripotiwa ajari yoyote ambayo maiti zote zilikutwa bila damu?
Huo ungo ulikua mkubwa kiasi gani kutosha watu watatu,uliundwa kwa material gani? Au ni zoom tu huu ungo wa kawaida?
Pia kwanini ungo?, hii imeshakuwa common trope kwenye simulizi za aina hii,
Achilia mbali characters waliokosa uhalisia kabisa kama "Mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"
Hii ni hoja rahisi sana ambayo mpaka leo sijapata mtu wa kuikosoa.
Ipo hivi,hakuna tofauti yoyote ile kati ya kisa cha kweli cha kichawi/ushirikina/maajabu(kama kimewahi kuwepo) na kisa cha kutunga(work of fiction) kinachohusu uchawi/ushirikina/maajabu
Hata kama katika kisa cha kutunga kumetajwa maeneo ya kweli ambayo wenyeji wamekili kuyafahamu
Filamu ya Titanic ime base katika tukio la kweli lakini sote tunajua Jack na Rose hawakua Real
Mwandishi yoyote makini anaweza Fanya extensive research ya maeneo mbalimbali,Lugha,na key people katika maeneo hayo kisha akaja na kisa cha kutunga ambacho kipo consistent na research aliyofanya
Point hapa ni hivi,ni vigumu kutofautisha kisa cha kweli cha kichawi/kishirikina/maajabu na kile kilichobuniwa
Hata kama una amini uchawi au imani za kishirikina ni mambo ya kweli bado ni vigumu kutofautisha kati ya kisa cha kweli na kile kilichotungwa unless upo tayari kuamini kila aina ya taka taka utakayosimuliwa na mgeni yoyote utakayekutana nae mtandaoni
Pia tukipiga mahesabu,probability ya simulizi hii kuwa ya tukio la kweli ni ndogo sana kuliko probability ya simulizi hii kuwa kisa cha kutunga
Kwa maneno mengine,kuna 99.9% kuwa kisa hiki ni cha kutunga kuliko 0.1% kuwa kisa hiki ni cha kweli.....
Kivipi,tukio moja tu katika kisa hiki,kama ni cha kweli kina uwezo wa ku "disprove" misingi yote ya Sayansi kwanzia kipindi cha Aristotle,Copernicus,Leibniz, Newton, Dirac,Einstein, Bohr,Gödel,Feyman,Hawking na wengine wengi
Mfano kama kweli mtu anaweza fumba macho na kufumbua(almost sekunde moja) akatoka Mwanza mpaka mbeya,hakuna Energy yoyote iliyotumika,na wala hakuonekana kuchoka
Then ni Obvious, Principle of conservation of Energy ambayo imekua msingi Wa sayansi kwa karne,na kutupa majibu sahihi mda wote ni ya "UONGO"
Kama kweli ziwa linaweza gawanyika,na ndani kukawa na mji mkubwa,Sayansi nzima kama tunavyoijua inakua ni "Takataka" kwasababu haiwezi tupa maelezo ya tukio hilo na matukio mengine yote ya kushangaza katika simulizi hii
Sasa kati ya maelezo haya mawili,yapi yanaweza kuwa sahihi?
1.Simulizi hii,ambayo ushahidi pekee tulio nao kuihusu,unatoka kwa msimulizi aliyetuletea simulizi hii na baadhi wanao support kuwepo kwa maeneo tajwa(means setting ya story ni ya kweli japo hii haiwezi count kama evidence) ni ya kweli,na Aristotle,Copernicus, Leibniz, Newton,Darwin,Einstein, Dirac,Bohr,Plank,Maxwell wote hawakua sahihi pamoja na scientific papers zote zilizowahi kuandikwa pamoja na tafiti zote za kisayansi zilizofanyika na zilizowahi kufanyika
Au
2.kisa hiki ni cha kutunga
Maelezo yapi yanaweza kuwa sahihi? 1 au 2?
Tuwe tunatumia akili zote kuhoji vitu,
The reason why nakua mgumu kuamini visa kama hivi ni jinsi gani haviweka "more details" haswa hapo kwenye matukio muhimu
Mfano,ni kwa jinsi gani alikua ananyonya damu za abiria kwenye kibuyu na kuwakausha kabisa,ili hali hakujawahi ripotiwa ajari yoyote ambayo maiti zote zilikutwa bila damu?
Huo ungo ulikua mkubwa kiasi gani kutosha watu watatu,uliundwa kwa material gani? Au ni zoom tu huu ungo wa kawaida?
Pia kwanini ungo?, hii imeshakuwa common trope kwenye simulizi za aina hii,
Achilia mbali characters waliokosa uhalisia kabisa kama "Mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"