Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

It's time for reasoning, ngoja tuwashe taa kidogo!

Hii ni hoja rahisi sana ambayo mpaka leo sijapata mtu wa kuikosoa.

Ipo hivi,hakuna tofauti yoyote ile kati ya kisa cha kweli cha kichawi/ushirikina/maajabu(kama kimewahi kuwepo) na kisa cha kutunga(work of fiction) kinachohusu uchawi/ushirikina/maajabu

Hata kama katika kisa cha kutunga kumetajwa maeneo ya kweli ambayo wenyeji wamekili kuyafahamu
Filamu ya Titanic ime base katika tukio la kweli lakini sote tunajua Jack na Rose hawakua Real

Mwandishi yoyote makini anaweza Fanya extensive research ya maeneo mbalimbali,Lugha,na key people katika maeneo hayo kisha akaja na kisa cha kutunga ambacho kipo consistent na research aliyofanya

Point hapa ni hivi,ni vigumu kutofautisha kisa cha kweli cha kichawi/kishirikina/maajabu na kile kilichobuniwa

Hata kama una amini uchawi au imani za kishirikina ni mambo ya kweli bado ni vigumu kutofautisha kati ya kisa cha kweli na kile kilichotungwa unless upo tayari kuamini kila aina ya taka taka utakayosimuliwa na mgeni yoyote utakayekutana nae mtandaoni

Pia tukipiga mahesabu,probability ya simulizi hii kuwa ya tukio la kweli ni ndogo sana kuliko probability ya simulizi hii kuwa kisa cha kutunga

Kwa maneno mengine,kuna 99.9% kuwa kisa hiki ni cha kutunga kuliko 0.1% kuwa kisa hiki ni cha kweli.....

Kivipi,tukio moja tu katika kisa hiki,kama ni cha kweli kina uwezo wa ku "disprove" misingi yote ya Sayansi kwanzia kipindi cha Aristotle,Copernicus,Leibniz, Newton, Dirac,Einstein, Bohr,Gödel,Feyman,Hawking na wengine wengi

Mfano kama kweli mtu anaweza fumba macho na kufumbua(almost sekunde moja) akatoka Mwanza mpaka mbeya,hakuna Energy yoyote iliyotumika,na wala hakuonekana kuchoka
Then ni Obvious, Principle of conservation of Energy ambayo imekua msingi Wa sayansi kwa karne,na kutupa majibu sahihi mda wote ni ya "UONGO"

Kama kweli ziwa linaweza gawanyika,na ndani kukawa na mji mkubwa,Sayansi nzima kama tunavyoijua inakua ni "Takataka" kwasababu haiwezi tupa maelezo ya tukio hilo na matukio mengine yote ya kushangaza katika simulizi hii

Sasa kati ya maelezo haya mawili,yapi yanaweza kuwa sahihi?

1.Simulizi hii,ambayo ushahidi pekee tulio nao kuihusu,unatoka kwa msimulizi aliyetuletea simulizi hii na baadhi wanao support kuwepo kwa maeneo tajwa(means setting ya story ni ya kweli japo hii haiwezi count kama evidence) ni ya kweli,na Aristotle,Copernicus, Leibniz, Newton,Darwin,Einstein, Dirac,Bohr,Plank,Maxwell wote hawakua sahihi pamoja na scientific papers zote zilizowahi kuandikwa pamoja na tafiti zote za kisayansi zilizofanyika na zilizowahi kufanyika

Au
2.kisa hiki ni cha kutunga

Maelezo yapi yanaweza kuwa sahihi? 1 au 2?

Tuwe tunatumia akili zote kuhoji vitu,
The reason why nakua mgumu kuamini visa kama hivi ni jinsi gani haviweka "more details" haswa hapo kwenye matukio muhimu

Mfano,ni kwa jinsi gani alikua ananyonya damu za abiria kwenye kibuyu na kuwakausha kabisa,ili hali hakujawahi ripotiwa ajari yoyote ambayo maiti zote zilikutwa bila damu?

Huo ungo ulikua mkubwa kiasi gani kutosha watu watatu,uliundwa kwa material gani? Au ni zoom tu huu ungo wa kawaida?

Pia kwanini ungo?, hii imeshakuwa common trope kwenye simulizi za aina hii,

Achilia mbali characters waliokosa uhalisia kabisa kama "Mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"
 
It's time for reasoning, ngoja tuwashe taa kidogo!

Hii ni hoja rahisi sana ambayo mpaka leo sijapata mtu wa kuikosoa.

Ipo hivi,hakuna tofauti yoyote ile kati ya kisa cha kweli cha kichawi/ushirikina/maajabu(kama kimewahi kuwepo) na kisa cha kutunga(work of fiction) kinachohusu uchawi/ushirikina/maajabu

Hata kama katika kisa cha kutunga kumetajwa maeneo ya kweli ambayo wenyeji wamekili kuyafahamu
Filamu ya Titanic ime base katika tukio la kweli lakini sote tunajua Jack na Rose hawakua Real

Mwandishi yoyote makini anaweza Fanya extensive research ya maeneo mbalimbali,Lugha,na key people katika maeneo hayo kisha akaja na kisa cha kutunga ambacho kipo consistent na research aliyofanya

Point hapa ni hivi,ni vigumu kutofautisha kisa cha kweli cha kichawi/kishirikina/maajabu na kile kilichobuniwa

Hata kama una amini uchawi au imani za kishirikina ni mambo ya kweli bado ni vigumu kutofautisha kati ya kisa cha kweli na kile kilichotungwa unless upo tayari kuamini kila aina ya taka taka utakayosimuliwa na mgeni yoyote utakayekutana nae mtandaoni

Pia tukipiga mahesabu,probability ya simulizi hii kuwa ya tukio la kweli ni ndogo sana kuliko probability ya simulizi hii kuwa kisa cha kutunga

Kwa maneno mengine,kuna 99.9% kuwa kisa hiki ni cha kutunga kuliko 0.1% kuwa kisa hiki ni cha kweli.....

Kivipi,tukio moja tu katika kisa hiki,kama ni cha kweli kina uwezo wa ku "disprove" misingi yote ya Sayansi kwanzia kipindi cha Aristotle,Copernicus,Leibniz, Newton, Dirac,Einstein, Bohr,Gödel,Feyman,Hawking na wengine wengi

Mfano kama kweli mtu anaweza fumba macho na kufumbua(almost sekunde moja) akatoka Mwanza mpaka mbeya,hakuna Energy yoyote iliyotumika,na wala hakuonekana kuchoka
Then ni Obvious, Principle of conservation of Energy ambayo imekua msingi Wa sayansi kwa karne,na kutupa majibu sahihi mda wote ni ya "UONGO"

Kama kweli ziwa linaweza gawanyika,na ndani kukawa na mji mkubwa,Sayansi nzima kama tunavyoijua inakua ni "Takataka" kwasababu haiwezi tupa maelezo ya tukio hilo na matukio mengine yote ya kushangaza katika simulizi hii

Sasa kati ya maelezo haya mawili,yapi yanaweza kuwa sahihi?

1.Simulizi hii,ambayo ushahidi pekee tulio nao kuihusu,unatoka kwa msimulizi aliyetuletea simulizi hii na baadhi wanao support kuwepo kwa maeneo tajwa(means setting ya story ni ya kweli japo hii haiwezi count kama evidence) ni ya kweli,na Aristotle,Copernicus, Leibniz, Newton,Darwin,Einstein, Dirac,Bohr,Plank,Maxwell wote hawakua sahihi pamoja na scientific papers zote zilizowahi kuandikwa pamoja na tafiti zote za kisayansi zilizofanyika na zilizowahi kufanyika

Au
2.kisa hiki ni cha kutunga

Maelezo yapi yanaweza kuwa sahihi? 1 au 2?

Tuwe tunatumia akili zote kuhoji vitu,
The reason why nakua mgumu kuamini visa kama hivi ni jinsi gani haviweka "more details" haswa hapo kwenye matukio muhimu

Mfano,ni kwa jinsi gani alikua ananyonya damu za abiria kwenye kibuyu na kuwakausha kabisa,ili hali hakujawahi ripotiwa ajari yoyote ambayo maiti zote zilikutwa bila damu?

Huo ungo ulikua mkubwa kiasi gani kutosha watu watatu,uliundwa kwa material gani? Au ni zoom tu huu ungo wa kawaida?

Pia kwanini ungo?, hii imeshakuwa common trope kwenye simulizi za aina hii,

Achilia mbali characters waliokosa uhalisia kabisa kama "Mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"
Eti achilia mbali "mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"😂😂 bro sema umeelezea more scientifically kitu ambacho no opposite na hayo mambo ya magic ambayo yako against laws of physics.
 
It's time for reasoning, ngoja tuwashe taa kidogo!

Hii ni hoja rahisi sana ambayo mpaka leo sijapata mtu wa kuikosoa.

Ipo hivi,hakuna tofauti yoyote ile kati ya kisa cha kweli cha kichawi/ushirikina/maajabu(kama kimewahi kuwepo) na kisa cha kutunga(work of fiction) kinachohusu uchawi/ushirikina/maajabu

Hata kama katika kisa cha kutunga kumetajwa maeneo ya kweli ambayo wenyeji wamekili kuyafahamu
Filamu ya Titanic ime base katika tukio la kweli lakini sote tunajua Jack na Rose hawakua Real

Mwandishi yoyote makini anaweza Fanya extensive research ya maeneo mbalimbali,Lugha,na key people katika maeneo hayo kisha akaja na kisa cha kutunga ambacho kipo consistent na research aliyofanya

Point hapa ni hivi,ni vigumu kutofautisha kisa cha kweli cha kichawi/kishirikina/maajabu na kile kilichobuniwa

Hata kama una amini uchawi au imani za kishirikina ni mambo ya kweli bado ni vigumu kutofautisha kati ya kisa cha kweli na kile kilichotungwa unless upo tayari kuamini kila aina ya taka taka utakayosimuliwa na mgeni yoyote utakayekutana nae mtandaoni

Pia tukipiga mahesabu,probability ya simulizi hii kuwa ya tukio la kweli ni ndogo sana kuliko probability ya simulizi hii kuwa kisa cha kutunga

Kwa maneno mengine,kuna 99.9% kuwa kisa hiki ni cha kutunga kuliko 0.1% kuwa kisa hiki ni cha kweli.....

Kivipi,tukio moja tu katika kisa hiki,kama ni cha kweli kina uwezo wa ku "disprove" misingi yote ya Sayansi kwanzia kipindi cha Aristotle,Copernicus,Leibniz, Newton, Dirac,Einstein, Bohr,Gödel,Feyman,Hawking na wengine wengi

Mfano kama kweli mtu anaweza fumba macho na kufumbua(almost sekunde moja) akatoka Mwanza mpaka mbeya,hakuna Energy yoyote iliyotumika,na wala hakuonekana kuchoka
Then ni Obvious, Principle of conservation of Energy ambayo imekua msingi Wa sayansi kwa karne,na kutupa majibu sahihi mda wote ni ya "UONGO"

Kama kweli ziwa linaweza gawanyika,na ndani kukawa na mji mkubwa,Sayansi nzima kama tunavyoijua inakua ni "Takataka" kwasababu haiwezi tupa maelezo ya tukio hilo na matukio mengine yote ya kushangaza katika simulizi hii

Sasa kati ya maelezo haya mawili,yapi yanaweza kuwa sahihi?

1.Simulizi hii,ambayo ushahidi pekee tulio nao kuihusu,unatoka kwa msimulizi aliyetuletea simulizi hii na baadhi wanao support kuwepo kwa maeneo tajwa(means setting ya story ni ya kweli japo hii haiwezi count kama evidence) ni ya kweli,na Aristotle,Copernicus, Leibniz, Newton,Darwin,Einstein, Dirac,Bohr,Plank,Maxwell wote hawakua sahihi pamoja na scientific papers zote zilizowahi kuandikwa pamoja na tafiti zote za kisayansi zilizofanyika na zilizowahi kufanyika

Au
2.kisa hiki ni cha kutunga

Maelezo yapi yanaweza kuwa sahihi? 1 au 2?

Tuwe tunatumia akili zote kuhoji vitu,
The reason why nakua mgumu kuamini visa kama hivi ni jinsi gani haviweka "more details" haswa hapo kwenye matukio muhimu

Mfano,ni kwa jinsi gani alikua ananyonya damu za abiria kwenye kibuyu na kuwakausha kabisa,ili hali hakujawahi ripotiwa ajari yoyote ambayo maiti zote zilikutwa bila damu?

Huo ungo ulikua mkubwa kiasi gani kutosha watu watatu,uliundwa kwa material gani? Au ni zoom tu huu ungo wa kawaida?

Pia kwanini ungo?, hii imeshakuwa common trope kwenye simulizi za aina hii,

Achilia mbali characters waliokosa uhalisia kabisa kama "Mungu bonge mwenye sauti ya mtoto"
Ila amini mkuu watu wanamiliki utajiri wa kichawi it means uchawi upo ninaushuhuda na huo utajiri wa kichawi place majini
 
Habarini za kutwa wanajamvi ,bila shaka wote mko bìèn!.

Kwanza kabisa nianze kwa kusema ninayo mikasa miwili ambayo nimewahi kuishuhudia kwa macho yangu na kuifanya kwa mikono yangu mwenyewe,mkasa wa kwanza ulituhusu mimi na ndugu zangu ambapo wakati huo nikiwa nina miaka 14 - 15 mwaka 2000 - 2001 huko mkoani Mara,wilaya ya Tarime,nchini Tanzania.
Mkasa wa pili unanihusu mimi mwenyewe pia,huu mkasa niliufanya wakati ambapo nishakuwa mtu mzima,hii ilikuwa kuanzia mwaka 2012 - 2018,mkasa huu unahusu maisha ya kitajiri yaliyohusisha nguvu za giza.
Kuna nyuzi kadhaa humu nimekuwa nikizisoma za watu mbalimbali kusimulia visa na mikasa ya maisha yao au jamaa zao ambayo waliwahi pitia. Hivyo nami nikaona sasa ni muda muafaka wa kuleta simulizi nilizo pitia maishani ili kuwafundisha na kuwaonya vijana wenzangu wote wenye tamaa ya kutafuta mali kwa njia niliyoifanya mimi waache mara moja kwani Mwisho wake unaweza kuwa kifo mikononi mwa shetani,ingawa mimi niliponea chupuchupu.


MKASA WA KWANZA - MWAKA 2000 - 2001.


Sehemu ya 1.


Nilizaliwa mwaka 1986 wilayani Tarime,mkoa wa Mara,nchini Tanzania.Wazazi wangu walinipatia Jina ambalo nisingependa niliweke wazi,ila jina maarufu au a.k.a nafahamika kama Lwanda Magere,kwenye tumbo la mama yangu tulizaliwa watoto 4,mtoto wa kwanza ni dada yetu mkubwa,mtoto wa pili ni kaka yangu ambaye alimfuatia dada yangu kuazaliwa,mtoto wa tatu ni dada yangu mwingine ambaye ndiye niliyemfuatia katika uzao,na mwisho kabisa nilizaliwa mimi.Elimu yangu ya msingi niliipata kwenye shule mbili tofauti,kuanzia darasa la kwanza mpaka la tatu,nilisoma shule ya msingi Sabasaba,hiyo ilikuwa mwaka 1997 - 1999;Darasa la nne mpaka la saba nilisoma shule ya msingi Turwa,hiyo ilikuwa mwaka 2000 - 2003.

Mimi na ndugu zangu pamoja na wazazi wangu tulikuwa tunaishi wilaya ya Tarime,mitaa ya Bomani,(wenyeji wa Tarime wanaielewa vizuri hii mitaa) sisi hatukuwa wenyeji wa Tarime ila mama na baba walienda huko kikazi miaka ya nyuma, hivyo tukajikuta tumekuwa wenyeji wa huko,ndugu zangu walionitangulia katika uzao,wao walizaliwa mkoani Mwanza,ila mimi pekee ndiye niliyezaliwa Tarime.Wazazi wangu kikabila ni Wasukuma,mama yangu alikuwa mwenyeji wa wilaya ya Kwimba,akitokea kijiji kimoja kinaitwa Sumve;Baba yangu yeye alikuwa mwenyeji wa wilaya ya Misungwi.Baba yangu alikuwa ni mtu wa kusafiri sana kikazi na mama yangu yeye kazi alikuwa anazifanyia pale mjini,japo pia walikuwa wakitoka kikazi mikoani,anaweza kukaa hata miezi 6 hajarudi nyumbani,mama alikuwa akifanya kazi kwenye kampuni ya ujenzi,hivyo nadhani zile pilika pilika za ujenzi pia zilimfanya kuwa bize sana.Baba yangu yeye alikuwa akifanya kazi kwenye shirika lisilokuwa la kiserikali,kwa wakati huo kwakuwa nilikuwa mdogo sikuweza kufahamu hilo shirika lao lilikuwa likijihusisha na kitu gani.

Siku moja baba alipata safari ya kikazi kwenda mkoani Singida ambako alikaa kama miezi miwili, aliporudi alirudi na dada mmoja mwenye asili ya kiarabu(half cast)akiwa kama mfanyakazi wa ndani,kwa maelezo ya baba ni kwamba,yule dada alikuwa ni mfanyakazi wa ndani,nakumbuka mama yangu alimfokea sana baba akimtuhumu kwamba uenda yule mwanamke anaweza akawa mchepuko wake, ila baba anazuga kwamba ni mfanyakazi(siunajua tena mambo ya wivu).Baadae mambo yalikaa sawa,yule dada akawa mfanyakazi wa ndani pale nyumbani kwetu,Kiukweli alikuwa mzuri sana, kwasababu tulifundishwa nidhamu na heshima,tulimheshimu kama dada yetu na tukampenda pia.Siku zikasonga,hatimaye miezi nayo pia ikakata tukiishi kwa furaha,amani na upendo.
Wakati huo nakumbuka ilikuwa mwezi wa 12 mwaka 2000.Baba alihamishwa kikazi kupelekwa jijini Dar es salaam,hivyo pale nyumbani tukabaki na mama ambaye pia alianza kusafiri kikazi na kukaa hata miezi 5 au 6 hajarudi nyumbani, kilichokuwa kinafanyika ni kutumiwa pesa ya matumizi na kutupigia simu kutujulia hali.

Baada ya siku kadhaa kupita, siku moja usiku yule dada wa kazi, alituita sebuleni mimi pamoja na wale dada zangu akatueleza ya kwamba,yeye anawageni wake ambao ni ndugu zake watakuwa wanakuja kumtembelea kila mwisho wa mwezi,kwa kuwa tulifundishwa ukarimu, hivyo hatukuona taabu, ila alitueleza ya kwamba hao ndugu zake wanamashariti makali na inapaswa tuyaelewe ili watakapokuja tusipate taabu,hivyo sababu ya kutuita ilikuwa ni kutupa namna iliyo bora ya kuwapokea hao ndugu zake!.Kiukweli mimi nilipata mshituko kidogo, nilijiuliza maswaĺi kadhaa lakini sikupata majibu, tulikuwa tumezoea kuwapokea wageni mbalimbali siku zote na walikuwa wakija bila masharti!,sasa nikawa najiuliza hao ni wageni wa namna gani waliokuwa na masharti tena akasema ni makali na kila mtu anapaswa ayafuate si ombi bali ilikuwa ni lazima!.

Watu wote pale sebuleni tulikaa kimya,nilikuwa nikiziangalia sura za dada zangu zilibadilika ghafla na kuonyesha huzuni.Basi masharti yenyewe yakawekwa bayana kama ifuatavyo:-

1. Siku hiyo wote tutavaa nguo za kulalia(pajama)nyeupe.

2. Siku hiyo vyumba vya kulala vihakikishwe vinakuwa safi isionekane hata nukta ya uchafu.

3. Kabla ya kufika kwa wageni,ukihitaji kuoga basi hakikisha unaenda kuoga na sabuni ambayo alikuwa akiitumia yeye huyo dada wa kazi.

siikumbuki ile sabuni lakini ilikuwa na marashi makali sana na yenye harufu ya kupendeza.

4. Akawaambia dada zangu kwamba,siku hiyo ambayo wageni wake walikuwa wanakuja,endapo kuna mtu atakuwa kwenye siku zake za hedhi,basi hakutakiwa aonekane pale nyumbani maana angejuta!.


Hayo ndiyo yalikuwa masharti tuliyopewa siku hiyo.


Itaendelea.......................
WAPENDWA NAPENDA KU SHARE NANYI UCHAMBUZI WA MTUMISHI MMOJA JUU YA STORY HII 👇🏾👇🏾👇🏾

Jamani! Kuna vitu vingi moyo wangu unanishuhudia kuvisemea kutokana na ile mikasa!
Tuliisoma bila kujifunza au kufafanua

Kwanza kuanzia mkasa wa baba kuja na binti wa kazi hadi kifo chake!

Nilijifunza kuwa ktk kutafta wasaidizi wa nyumbani Mungu atuongoze siyo kupokea tu kutoka kwa mtu kisa tunafahamiana! Rafiki alileta majuto ktk familia ya jamaa

Lkn pia kuna Tabia ambayo Dada mkubwa alizuiliwa ni Tabia za maombi! Kumbe kwa njia ya maombi kulikuwa na mateso yanawapata na kusoma neno!
Leo hii kuna wapendwa wamepoteza ladha ya kusoma neno na hata maombi! "" IKO NGUVU KTK MAOMBI ""

Hatua ya familia ktk kutafta msaada!
Baba anaondoka kwenda kwa mgaga Utegi. Mimi huko ndiko maeneo ya kijijin kwetu na ndo sasa Wilayan kwetu.
Mganga hakuwa msaada KWA ile familia, lkn ikumbukwe yule mtu alimkosa mganga anaondoka kurud Dar kazin kwake ndo baadae akapata appointment mpya, na alipokwende this time HAKURUDI SALAMA! Japo nyumbani kwake alifika.

Yesu! Unapobisha hodi kwake, ni wakati huo huo ukizama huleta msaada wa kukutoa ktk dhiki! Lkn mgaga ilibidi asubiriwe! Hata hivyo mganga alipojileta kwenye ule mji Hakurudi kwake bali yule Dada aliondoka nae!
Mungu wetu halogeki wala wasingeondoka na Yesu bali wao wangeondoka!
Amen
 
WAPENDWA NAPENDA KU SHARE NANYI UCHAMBUZI WA MTUMISHI MMOJA JUU YA STORY HII 👇🏾👇🏾👇🏾

Jamani! Kuna vitu vingi moyo wangu unanishuhudia kuvisemea kutokana na ile mikasa!
Tuliisoma bila kujifunza au kufafanua

Kwanza kuanzia mkasa wa baba kuja na binti wa kazi hadi kifo chake!

Nilijifunza kuwa ktk kutafta wasaidizi wa nyumbani Mungu atuongoze siyo kupokea tu kutoka kwa mtu kisa tunafahamiana! Rafiki alileta majuto ktk familia ya jamaa

Lkn pia kuna Tabia ambayo Dada mkubwa alizuiliwa ni Tabia za maombi! Kumbe kwa njia ya maombi kulikuwa na mateso yanawapata na kusoma neno!
Leo hii kuna wapendwa wamepoteza ladha ya kusoma neno na hata maombi! "" IKO NGUVU KTK MAOMBI ""

Hatua ya familia ktk kutafta msaada!
Baba anaondoka kwenda kwa mgaga Utegi. Mimi huko ndiko maeneo ya kijijin kwetu na ndo sasa Wilayan kwetu.
Mganga hakuwa msaada KWA ile familia, lkn ikumbukwe yule mtu alimkosa mganga anaondoka kurud Dar kazin kwake ndo baadae akapata appointment mpya, na alipokwende this time HAKURUDI SALAMA! Japo nyumbani kwake alifika.

Yesu! Unapobisha hodi kwake, ni wakati huo huo ukizama huleta msaada wa kukutoa ktk dhiki! Lkn mgaga ilibidi asubiriwe! Hata hivyo mganga alipojileta kwenye ule mji Hakurudi kwake bali yule Dada aliondoka nae!
Mungu wetu halogeki wala wasingeondoka na Yesu bali wao wangeondoka!
Amen
WAPENDWA NAPENDA KU SHARE NANYI UCHAMBUZI WA MTUMISHI MMOJA JUU YA STORY HII 👇🏾👇🏾👇🏾

Jamani! Kuna vitu vingi moyo wangu unanishuhudia kuvisemea kutokana na ile mikasa!
Tuliisoma bila kujifunza au kufafanua

Kwanza kuanzia mkasa wa baba kuja na binti wa kazi hadi kifo chake!

Nilijifunza kuwa ktk kutafta wasaidizi wa nyumbani Mungu atuongoze siyo kupokea tu kutoka kwa mtu kisa tunafahamiana! Rafiki alileta majuto ktk familia ya jamaa

Lkn pia kuna Tabia ambayo Dada mkubwa alizuiliwa ni Tabia za maombi! Kumbe kwa njia ya maombi kulikuwa na mateso yanawapata na kusoma neno!
Leo hii kuna wapendwa wamepoteza ladha ya kusoma neno na hata maombi! "" IKO NGUVU KTK MAOMBI ""

Hatua ya familia ktk kutafta msaada!
Baba anaondoka kwenda kwa mgaga Utegi. Mimi huko ndiko maeneo ya kijijin kwetu na ndo sasa Wilayan kwetu.
Mganga hakuwa msaada KWA ile familia, lkn ikumbukwe yule mtu alimkosa mganga anaondoka kurud Dar kazin kwake ndo baadae akapata appointment mpya, na alipokwende this time HAKURUDI SALAMA! Japo nyumbani kwake alifika.

Yesu! Unapobisha hodi kwake, ni wakati huo huo ukizama huleta msaada wa kukutoa ktk dhiki! Lkn mgaga ilibidi asubiriwe! Hata hivyo mganga alipojileta kwenye ule mji Hakurudi kwake bali yule Dada aliondoka nae!
Mungu wetu halogeki wala wasingeondoka na Yesu bali wao wangeondoka!
Amen
Mkasa wa pili kuna mambo mengi mnooo ya kujifunza!👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Kuna mtu anaitwa "" RAFIKI " tuwe makini nao, ktk mkasa wa kwanza Rafiki alileta shida kwenye familia kwa kumkabidhi binti aliyesababisha mateso ktk ile familia na ni kama vile alikuwa Jini! Ktk mkasa wa pili pia tunamwona huyu Rafiki waliyesoma naye, alikuwa ni Jambazi jamaa aliamua kuondoka, lkn bado Rafiki mwingine akampeleka Kasulu Kigoma !!
"Tuwe makini na Marafiki"
Hasara! Hasara ya kwanza na nitataja zingine ni ile ya ADUI kuandaa mlango wa kumaliza pesa alizokusanya mgodini! Tsh 180,000/= zinayeyuka ktk kutafta shilingi 100 ya mwaka 1993 ktk vijiji mbali mbali ktk mkoa wa mara, Wawili hawa, jamaa na mtoto wa mamdogo wake, walitembea ndani ya mkoa wa Mara mwendo wenye mzunguko mfano na siyo uhalisia wa mwendo wa wana wa Israel jangwani! Wametoka Bunda kwenda kuitafta shilingi 100 Musoma vijiji, Wakakosa, akiba ya ikanunua tena Pombe, bila msaada, wakarudi Ikizu huko wakiwa wameishiwa, wakaikosa lkn wakaondoka na ramani Bwana aliwaandalia mfadhili wakanywa uji wakalala kesho yake ! Sh 100 ilipatikana Bunda walikotoka! Je! Kwanini hawakuipata mlemle?! Bila mzunguko?! Hii ni kwasabu ya Hasara iliyokuwa imeandaliwa mbele yao
Bado waliponea chupu chupu kutapeliwa au kufunguliwa shtaka la uongo!

UZUSHI: ADUI shetani anapenda kutumia uszushi kwa lengo la kutudak ktk mtego wake! Hili linathibitka pale jamaa alipoletewa maneno aiyoyaongea Shemeji yake juu ya Familia ya "Familia yenu ni Masikini, sijui kwanini kaka yangu alimwoa Dada yenu"!
Ujinga wa huyu jamaa, eti hii kauli ilimjaza sumu akaamua kutafta Utajiri ili tu aje amwoneshee kuwa sasa kapata! Hapa inachomoza roho ya kisasi na kweli alifaulu ktk visasi wakati Kisasi ni juu ya Bwana!

UAMINIFU na UTII: Nimejifunza kuwa hata huko kwenye ufalme wa Giza ili wafanikiwe ni sharti wayazingatie hivi vitu viwili!
Leo hii baadhi ya wapendwa wetu, Hatuna Utii na Uaminifu kwa Mungu wetu na hii imemfanya Mungu nae kubaki akitutizama aone mwisho wetu japo hachoki kuendelea kutusihi tubaki ktk UTII na Uaminifu lkn mwanadamu ni Mkaidi!
Nimeona kama vile kuna Rufaa ktk ulimwengu wa Giza, mganga wa kike Kasulu alitoa kinga ila Utajiri akampa Rufaaa tena kwa ujumbe maalumu wa kichawi kwenda kwa Mzee Nchibaronda! Mzee alifanya yake kwa siku kadhaa Naye akampa rufaa ya kwenda mbele zaidi ndani ya Ziwa Tanganyika, yamkini ni lango la Kuingia Kuzimuni! Hii ni mfano wa kumtoa mgonjwa hospitali ya WILAYA, kwenda Mkoa na baada hospitali ya Taifa!!


UTII niliouona ni kwa Nchibaronda porini alipoachwa akatokewa na sura ya binti mzuri akiwa akiwa anaoga akamwomba amsogelee !! Aliikumbuka sauti ya mzee! Ina maana kwa kutokutii asingeweza kukipata kilivhompeleka, Alitambua alichokifuata !! Wa Kristo tumeokolewa na mpango mkuu ni kuwa siku moja tukayaishi maisha ya raha na Bwana Yesu kwa Baba yake Mbinguni. Lkn tuwahubiri wenzetu waipokee injili ya Kristo Yesu kama tulivyoagizwa ktk Mathayo 28:19-20. Tukitambua Kusudi la kuokolewa, Hatutoacha kutii sauti ya ki Mungu!

Chini ya Ziwa kulikuweko na majaribu mengi lkn ni alishinda kutokana na alichokuwa anakipata!
Alipotoka Wapendwa nilijifunza kuwa kuna Wanadamu wanaishi bila shughuli yyte ya maana lkn wana vipato vya kushtusha jamii zetu! ONYO! Hatupashwi kushabikia Utajiri wa mtu! Wengine wana siri nzito sana ktk utaftaji wao! Siufurahii Umasikini, NINAUCHUKIA mnoo, lkn kama njia ndiyo hii ya watu baadhi ninaowafahamu, bora Mungu anipe uwezo wa kuihudumia familia yangu na jamii inayonizunguka na kwaajili yake Mungu mwenyewe yataosha!

Huyu ndg. Alianza kutoa Kafara za watu wengine siyo hata wa nyumbani kwao lkn mdogo mdogo Familia ilianza kuingia gharama kwa kuanza na kibinti cha Dada kilichokuwa kimetoka shule kikaumwa kichwa na damu kutoka puani kukimbizwa hospital ! Mwisho wake! Tatizo likaendelea kwa wengine lkn Shetani ameshaingiza mguu wake ndani ya Familia!
Alikuja kufa mamake kiulainiiiiii!!! Na hii ndo ilikuwa the big deal kwa shetani na yamkin walijua wangemwomba kirahisi asingekubali inabidi kwa taarfa za kuwa ameanza kutembea na yule shemeji yake ambae ni mdogo wa kijana aliyemwoa Dada wa jamaa! Eti mama alizimia 🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂ inawezkana lkn lile lilikuwa ni daraja ya ufalme ule kumchukua Ampendae!!
 
Mkasa wa pili kuna mambo mengi mnooo ya kujifunza!👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Kuna mtu anaitwa "" RAFIKI " tuwe makini nao, ktk mkasa wa kwanza Rafiki alileta shida kwenye familia kwa kumkabidhi binti aliyesababisha mateso ktk ile familia na ni kama vile alikuwa Jini! Ktk mkasa wa pili pia tunamwona huyu Rafiki waliyesoma naye, alikuwa ni Jambazi jamaa aliamua kuondoka, lkn bado Rafiki mwingine akampeleka Kasulu Kigoma !!
"Tuwe makini na Marafiki"
Hasara! Hasara ya kwanza na nitataja zingine ni ile ya ADUI kuandaa mlango wa kumaliza pesa alizokusanya mgodini! Tsh 180,000/= zinayeyuka ktk kutafta shilingi 100 ya mwaka 1993 ktk vijiji mbali mbali ktk mkoa wa mara, Wawili hawa, jamaa na mtoto wa mamdogo wake, walitembea ndani ya mkoa wa Mara mwendo wenye mzunguko mfano na siyo uhalisia wa mwendo wa wana wa Israel jangwani! Wametoka Bunda kwenda kuitafta shilingi 100 Musoma vijiji, Wakakosa, akiba ya ikanunua tena Pombe, bila msaada, wakarudi Ikizu huko wakiwa wameishiwa, wakaikosa lkn wakaondoka na ramani Bwana aliwaandalia mfadhili wakanywa uji wakalala kesho yake ! Sh 100 ilipatikana Bunda walikotoka! Je! Kwanini hawakuipata mlemle?! Bila mzunguko?! Hii ni kwasabu ya Hasara iliyokuwa imeandaliwa mbele yao
Bado waliponea chupu chupu kutapeliwa au kufunguliwa shtaka la uongo!

UZUSHI: ADUI shetani anapenda kutumia uszushi kwa lengo la kutudak ktk mtego wake! Hili linathibitka pale jamaa alipoletewa maneno aiyoyaongea Shemeji yake juu ya Familia ya "Familia yenu ni Masikini, sijui kwanini kaka yangu alimwoa Dada yenu"!
Ujinga wa huyu jamaa, eti hii kauli ilimjaza sumu akaamua kutafta Utajiri ili tu aje amwoneshee kuwa sasa kapata! Hapa inachomoza roho ya kisasi na kweli alifaulu ktk visasi wakati Kisasi ni juu ya Bwana!

UAMINIFU na UTII: Nimejifunza kuwa hata huko kwenye ufalme wa Giza ili wafanikiwe ni sharti wayazingatie hivi vitu viwili!
Leo hii baadhi ya wapendwa wetu, Hatuna Utii na Uaminifu kwa Mungu wetu na hii imemfanya Mungu nae kubaki akitutizama aone mwisho wetu japo hachoki kuendelea kutusihi tubaki ktk UTII na Uaminifu lkn mwanadamu ni Mkaidi!
Nimeona kama vile kuna Rufaa ktk ulimwengu wa Giza, mganga wa kike Kasulu alitoa kinga ila Utajiri akampa Rufaaa tena kwa ujumbe maalumu wa kichawi kwenda kwa Mzee Nchibaronda! Mzee alifanya yake kwa siku kadhaa Naye akampa rufaa ya kwenda mbele zaidi ndani ya Ziwa Tanganyika, yamkini ni lango la Kuingia Kuzimuni! Hii ni mfano wa kumtoa mgonjwa hospitali ya WILAYA, kwenda Mkoa na baada hospitali ya Taifa!!


UTII niliouona ni kwa Nchibaronda porini alipoachwa akatokewa na sura ya binti mzuri akiwa akiwa anaoga akamwomba amsogelee !! Aliikumbuka sauti ya mzee! Ina maana kwa kutokutii asingeweza kukipata kilivhompeleka, Alitambua alichokifuata !! Wa Kristo tumeokolewa na mpango mkuu ni kuwa siku moja tukayaishi maisha ya raha na Bwana Yesu kwa Baba yake Mbinguni. Lkn tuwahubiri wenzetu waipokee injili ya Kristo Yesu kama tulivyoagizwa ktk Mathayo 28:19-20. Tukitambua Kusudi la kuokolewa, Hatutoacha kutii sauti ya ki Mungu!

Chini ya Ziwa kulikuweko na majaribu mengi lkn ni alishinda kutokana na alichokuwa anakipata!
Alipotoka Wapendwa nilijifunza kuwa kuna Wanadamu wanaishi bila shughuli yyte ya maana lkn wana vipato vya kushtusha jamii zetu! ONYO! Hatupashwi kushabikia Utajiri wa mtu! Wengine wana siri nzito sana ktk utaftaji wao! Siufurahii Umasikini, NINAUCHUKIA mnoo, lkn kama njia ndiyo hii ya watu baadhi ninaowafahamu, bora Mungu anipe uwezo wa kuihudumia familia yangu na jamii inayonizunguka na kwaajili yake Mungu mwenyewe yataosha!

Huyu ndg. Alianza kutoa Kafara za watu wengine siyo hata wa nyumbani kwao lkn mdogo mdogo Familia ilianza kuingia gharama kwa kuanza na kibinti cha Dada kilichokuwa kimetoka shule kikaumwa kichwa na damu kutoka puani kukimbizwa hospital ! Mwisho wake! Tatizo likaendelea kwa wengine lkn Shetani ameshaingiza mguu wake ndani ya Familia!
Alikuja kufa mamake kiulainiiiiii!!! Na hii ndo ilikuwa the big deal kwa shetani na yamkin walijua wangemwomba kirahisi asingekubali inabidi kwa taarfa za kuwa ameanza kutembea na yule shemeji yake ambae ni mdogo wa kijana aliyemwoa Dada wa jamaa! Eti mama alizimia 🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂🙆🏿‍♂ inawezkana lkn lile lilikuwa ni daraja ya ufalme ule kumchukua Ampendae!!
hii ni google translate ama?
 
Mkasa wa pili kuna mambo mengi mnooo ya kujifunza!

Kuna mtu anaitwa "" RAFIKI " tuwe makini nao, ktk mkasa wa kwanza Rafiki alileta shida kwenye familia kwa kumkabidhi binti aliyesababisha mateso ktk ile familia na ni kama vile alikuwa Jini! Ktk mkasa wa pili pia tunamwona huyu Rafiki waliyesoma naye, alikuwa ni Jambazi jamaa aliamua kuondoka, lkn bado Rafiki mwingine akampeleka Kasulu Kigoma !!
"Tuwe makini na Marafiki"
Hasara! Hasara ya kwanza na nitataja zingine ni ile ya ADUI kuandaa mlango wa kumaliza pesa alizokusanya mgodini! Tsh 180,000/= zinayeyuka ktk kutafta shilingi 100 ya mwaka 1993 ktk vijiji mbali mbali ktk mkoa wa mara, Wawili hawa, jamaa na mtoto wa mamdogo wake, walitembea ndani ya mkoa wa Mara mwendo wenye mzunguko mfano na siyo uhalisia wa mwendo wa wana wa Israel jangwani! Wametoka Bunda kwenda kuitafta shilingi 100 Musoma vijiji, Wakakosa, akiba ya ikanunua tena Pombe, bila msaada, wakarudi Ikizu huko wakiwa wameishiwa, wakaikosa lkn wakaondoka na ramani Bwana aliwaandalia mfadhili wakanywa uji wakalala kesho yake ! Sh 100 ilipatikana Bunda walikotoka! Je! Kwanini hawakuipata mlemle?! Bila mzunguko?! Hii ni kwasabu ya Hasara iliyokuwa imeandaliwa mbele yao
Bado waliponea chupu chupu kutapeliwa au kufunguliwa shtaka la uongo!

UZUSHI: ADUI shetani anapenda kutumia uszushi kwa lengo la kutudak ktk mtego wake! Hili linathibitka pale jamaa alipoletewa maneno aiyoyaongea Shemeji yake juu ya Familia ya "Familia yenu ni Masikini, sijui kwanini kaka yangu alimwoa Dada yenu"!
Ujinga wa huyu jamaa, eti hii kauli ilimjaza sumu akaamua kutafta Utajiri ili tu aje amwoneshee kuwa sasa kapata! Hapa inachomoza roho ya kisasi na kweli alifaulu ktk visasi wakati Kisasi ni juu ya Bwana!

UAMINIFU na UTII: Nimejifunza kuwa hata huko kwenye ufalme wa Giza ili wafanikiwe ni sharti wayazingatie hivi vitu viwili!
Leo hii baadhi ya wapendwa wetu, Hatuna Utii na Uaminifu kwa Mungu wetu na hii imemfanya Mungu nae kubaki akitutizama aone mwisho wetu japo hachoki kuendelea kutusihi tubaki ktk UTII na Uaminifu lkn mwanadamu ni Mkaidi!
Nimeona kama vile kuna Rufaa ktk ulimwengu wa Giza, mganga wa kike Kasulu alitoa kinga ila Utajiri akampa Rufaaa tena kwa ujumbe maalumu wa kichawi kwenda kwa Mzee Nchibaronda! Mzee alifanya yake kwa siku kadhaa Naye akampa rufaa ya kwenda mbele zaidi ndani ya Ziwa Tanganyika, yamkini ni lango la Kuingia Kuzimuni! Hii ni mfano wa kumtoa mgonjwa hospitali ya WILAYA, kwenda Mkoa na baada hospitali ya Taifa!!


UTII niliouona ni kwa Nchibaronda porini alipoachwa akatokewa na sura ya binti mzuri akiwa akiwa anaoga akamwomba amsogelee !! Aliikumbuka sauti ya mzee! Ina maana kwa kutokutii asingeweza kukipata kilivhompeleka, Alitambua alichokifuata !! Wa Kristo tumeokolewa na mpango mkuu ni kuwa siku moja tukayaishi maisha ya raha na Bwana Yesu kwa Baba yake Mbinguni. Lkn tuwahubiri wenzetu waipokee injili ya Kristo Yesu kama tulivyoagizwa ktk Mathayo 28:19-20. Tukitambua Kusudi la kuokolewa, Hatutoacha kutii sauti ya ki Mungu!

Chini ya Ziwa kulikuweko na majaribu mengi lkn ni alishinda kutokana na alichokuwa anakipata!
Alipotoka Wapendwa nilijifunza kuwa kuna Wanadamu wanaishi bila shughuli yyte ya maana lkn wana vipato vya kushtusha jamii zetu! ONYO! Hatupashwi kushabikia Utajiri wa mtu! Wengine wana siri nzito sana ktk utaftaji wao! Siufurahii Umasikini, NINAUCHUKIA mnoo, lkn kama njia ndiyo hii ya watu baadhi ninaowafahamu, bora Mungu anipe uwezo wa kuihudumia familia yangu na jamii inayonizunguka na kwaajili yake Mungu mwenyewe yataosha!

Huyu ndg. Alianza kutoa Kafara za watu wengine siyo hata wa nyumbani kwao lkn mdogo mdogo Familia ilianza kuingia gharama kwa kuanza na kibinti cha Dada kilichokuwa kimetoka shule kikaumwa kichwa na damu kutoka puani kukimbizwa hospital ! Mwisho wake! Tatizo likaendelea kwa wengine lkn Shetani ameshaingiza mguu wake ndani ya Familia!
Alikuja kufa mamake kiulainiiiiii!!! Na hii ndo ilikuwa the big deal kwa shetani na yamkin walijua wangemwomba kirahisi asingekubali inabidi kwa taarfa za kuwa ameanza kutembea na yule shemeji yake ambae ni mdogo wa kijana aliyemwoa Dada wa jamaa! Eti mama alizimia inawezkana lkn lile lilikuwa ni daraja ya ufalme ule kumchukua Ampendae!!
Daah mkuu light angeimalizia story then ungeshusha huu uchambuzi ingekuwa poa sana ila hapo mwisho kwa mama yake kufa jinsi ulivyochambua nadhani hata alikuwa hajui kama niwao walimchukua

Nimeinjoi uchambuzi wako mkuu
 
MKASA WA PILI - Sehemu ya 40.


Inaendelea.............


Asubuhi kulipokucha niliendelea kutafakari na kujiandaa kisaikolojia maana tayari nilikuwa nishapokea maagizo!.Nakumbuka ilipofika mida ya saa 3 asubuhi kuna simu iliingia ilikuwa ambayo ilikuwa na namba ngeni!.

Ilikuwa sauti ya kike ikiniambia"Halloo mambo".

Nilijibu"Poa,nani?".

Akaendelea kujibu "Mimi .......(alikuwa yule mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu).

Nilimwambia "Ooh mambo".

Aliniuliza "kwani........(dereva)hakukupa namba yangu?".

Nikamjibu "hapana,maadamu wewe umenipigia nitaisevu mama".

Akaniambia "Ok sawa,lakini nilikuwa nina jambo nataka kukwambia,tafadhali kama hutojali".

Nilimwambia "Ondoa shaka wewe niambie mama".

Aliniuliza "Yule rafiki yangu niliyekuja naye kwako unamkumbuka?".

Nilimuuliza "Si scolastica au?".

Aliniambia "Eenh huyo huyo".

Nikamwambia "Ok namkumbuka vipi kwani kafanya nini?".

Aliendelea kuniambia "Basi mwenzio anakupenda na anashindwa kukwambia nikaona mimi nikwambe badala yake".

Moja kwa moja nikajua tayari yule mwanamke alikuwa ameshapagawa na maisha niliyokuwa nikiyaishi.

Nilimwambia "Daaah sasa itakuwaje?"

Akauliza "Kwanini?"

Nilimwambia "mimi nakupenda wewe sana na bahati nzuri umenipigia simu nimepata wasaa mzuri wa kukueleza hisia zangu".

Japo pia scolastica alikuwa mwanamke mzuri sana,lakini mimi nilikuwa ninampenda huyo mwanamke wa bosi wake wa zamani dereva wangu.

Akaendelea kuniambia "sasa itakuwaje jamani maana mwenzako nimeolewa".

Niliendelea kumshawishi ili akubali kila nililomwambia "Mimi sitaki kukuoa ila nataka tuwe tunapiga starehe tu na chochote utakacho nitakupa,kuhusu rafiki yako wewe nitumie namba yake nitajua namna ya kumwambia".

Kwenye mawazo yangu nilikuwa nataka niwacharaze bakora wote wawili pasipo kufahamu!.

Aliniambia "Basi sawa nakutumia ila usimvunje moyo na kuhusu mimi tafadhali usije ukamwambia kwamba tunatoka wote maana anaweza nichukia kwamba nilimgeuka".

Nilimwambia aondoe wasiwasi maana sita mvunja moyo bali atanielewa tu,pia nilimkubalia yote aliyonieleza kwamba uhusiano wetu uwe wa siri.Nilipanga baadae ningempigia Scolastica!,nilikaa pale sebuleni nikiangalia luninga na hatimaye usingizi ukanichukua!.Ndipo nilionyeshwa maeneo ambayo inapaswa kwenda kwa siku ambayo ingefuatia kutoa kafara.Nilionyeshwa eneo la Buhemba ambayo sasa nadhani liko Wilaya ya Butiama ila zamani ilikuwa wilaya ya Musoma vijijini,hilo ndilo eneo ambalo ilipaswa mimi na hao wenzangu ambao sikuwafahamu mpaka wakati huo ilipaswa twende hapo tukafanye tukio,nilionyeshwa kwamba tutakapofika hapo ilitupasa kukaa kati ya Buhemba na Kiabakari yaani katikati ya hayo maeneo mawili,pale ambapo tulitakiwa kwenda kufanya tukio kulikuwa na mteremko kwa kila upande wa barabara na kulikuwa kuna daraja ambalo halikuwa kubwa sana.Nilishituka na kuelekea chumbani kulala,wakati huo nilikuwaga nachoka sana na sikufahamu sababu zilizokuwa zinapelekea mimi kuchoka!.Kila kitu kilichopaswa kifanyike kwenye ile kafara nilikiona ndotoni.

Sasa siku iliyofuata kwakuwa ndiyo ilikuwa ya kwenda kwenye eneo la tukio,nilielekea kule kwenye chumba cha siri ambako zilikaa zana za maangamizi.Hili tukio nakumbuka nilienda kulifanya siku tatu za mwezi uliofuata maana zile tarehe za kawaida za kutoa kafara zilikuwa zimepita,sikuogopa chochote kwasabau Malikia alikuwa ameniambia nijiandae kwa ajili ya hili tukio tu,hivyo na mimi nilitii!.Nilipomaliza kujiandaa kama kawaida niliukamata mkono wangu uliyokuwa na irizi na kueleza ya kwamba natakiwa niwe eneo la tukio la siku hiyo.Ghafla nilijikuta nipo lilelile eneo nililoonyeshwa ndotoni,nilipofika hapo kuna watu niliwakuta wakiwa uchi kama walivyozaliwa.Walikuwa wanawake wawili na mwanaume mmoja,huyo jamaa niliyemkuta hapo baadae nilikuja kumfahamu,kwani alikuwa tajiri maarufu pale Mwanza aliyekuwa akimiliki mijengo kadhaa katikati ya jiji.Majengo yake walikuwa wamekodi watu mbalimbali kwa ajili ya biashara,alikuwa ni tajiri mkubwa sana pale Mwanza na mpaka sasa ninapoandika bado yupo anaendelea kudunda na huo utajiri wake!,watu wengi wanamfahamu na kama nikimtaja watu hawatoamini!.Wale kina mama sikuwahi kuwaona mara baada ya lile tukio,sikufahamu wao walitoka wapi,Kama nilivyosema hapo awali kwamba tuliambiwa kwamba kila tutakachokiona ikawe ni siri ya kila mtu,hatukupaswa kusema ya mtu yeyote na mwenzako na yeye hakupaswa kusema ya kwako!.Hayo ndiyo yalikuwa masharti ya wakati huo nikimtumikia shetani.

Kwasasa nimeshamfahamu Yesu kristo na nimesha achana na mali za Ibilisi ila sitoweza kumtaja mtu maana watu wengi wanasoma humu ndani hivyo sikutotaka kutaja baadhi ya majina ya watu kwasababu kama mnavyoelewa mtu anaweza kwenda kukushitaki kwa kumuita mchawi na ukiambiwa uthibitishe mahakamni ukakosa uthibitisho hivyo ikanigharimu kwenda jela bila sababu za msingi!.Mtu atakaye itaji nimtajie nitamtajia lakini kwa masharti maalumu.Na ndiyo maana hata wale matajiri ambao wanaendelea kutesa mjini Dar es salaam kwa mali za kishirikina ambao niliwakuta Ziwa Tanganyika na nikawashuhudia kwa macho yangu sikuweza kuwataja,tena ni watu maarufu sana na kuna mmoja naona alianziaha mpaka kanisa ili kuendelea kuzuga!,huwa naangaliaga hata hao waumini wake nabaki nawasikitikia tu!.

Hivyo basi hao watu nikawakuta hapo pamoja na mimi tukawa watu 4,tofauti yao na mimi ni kwamba,mimi nilikuwa nimevaa nguo japo zilikuwa za kishirikina na wao walikuwa uchi kama walivyozaliwa.Basi nikawasogelea pale,tulikuwa hatuongeleshani kwa maneno bali tulikuwa tunapeana ishara tu!,Wenzangu wao hawakuwa na vibuyu na sikufahamu kazi yao kubwa ilikuwa ni nini,lile barabara kipindi hicho lilikuwa linajengwa maana kwa pembeni kidogo kulikuwa kuna mitambo ya ujenzi wa barabara.Basi kwa mbali nikaliona basi nililionyeshwa ndotoni likiwa linakuja,kugeuka kulia pia kuna basi jingine lilikuwa linakuja ambalo pia nilikuwa nimeonyeshwa!.Yale magari yaliposogea karibu ndipo nikagundua kwamba ni moja lilikuwa Bus la kampuni ya Mwanza Coach na jingine lilikuwa Bus la J4!.

Mwanamke mmoja akanifanyia ishara kwamba nikae tayari na nikiandae kile kibuyu kwa ajili ya damu,yule mwanamke mwingine aliyebaki alienda kusimama katikati ya barabara pale darajani,akafanya mambo yake pale na alipomaliza akatoka akasimama kando,yale magari yalipokaribiana yalijikuta spidi inaongezeka mara dufu,ndipo yaligongana uso kwa uso,sikutaka kupoteza muda nikachukua kibuyu changu kama kawaida nikaanza kuweka damu!.Sasa kitu ambacho nilikuja kugundua ni kwamba wale watu niliyowakuta pale walikuwa na nguvu za ziada maana walitumwa hapo kwa kazi hiyo tu,mimi niliyekuwa na kibuyu kazi yangu ilikuwa ni kuweka damu za kafara ndani ya kile kibuyu tu!.Kiukweli wakati ule nilikuwa sinaga huruma kabisa nikiwa eneo la tukio maana nilifahamu ningejidai nina huruma ningetolewa kafara mimi.

Yule jamaa ambaye baadae nilikuja kumfahamu kama tajiri wa hapo Mwanza yeye alikuwa na kazi ya kuwaponda vichwa na kuwamalizia wale wote waliopaswa kufa,wale kina mama wao kazi yao ilikuwa ni usalama wa lile eneo la tukio yaani haikutakiwa kiumbe yeyote wa kishirikina awepo pale tofauti na sisi!,Kìukweli watu wengi walikufa kwenye ile ajali,ile ndiyo ilikuwa ajali yangu kubwa kuifanya wakati huo wa ushirikina,ilikuwa ajali ya kikatili sana naya kutisha maana watu wengi wasiyokuwa na hatia walipoteza maisha yao hapo,kwa upande wangu nilifurahi sana maana nilijua sasa Malikia angeenda kuniruhusu kuiafanyia maendeleo ile pesa!.Baada ya kukusanya damu za kutosha na kuona imefikia kipimo kilichohitajika,wale akina mama walinifanyia ishara ya kuondoka hapo eneo la tukio haraka!,sikutaka kabisa kupoteza,niliushika mkono uliyokuwa irizi na kutamka ya kwamba inapaswa niwe mle chumbani.Niliweka kile kibuyu palepale kilipokuwa kinakaa nikarudi zangu chumbani.

Niliporudi nilimkuta yule binti sebuleni akaniuliza "Kaka nilikuwa nakutafuta sijakuona kumbe ulikuwa chumbani huko,maana nimegonga sana chumbani kwako sikukuona,chakula kipo tayari?"

Nilimwambia "Nilikuwa nafanya ibada ndiyo maana ulikuwa unaona kimya,mara nyingi nikiwa kwenye ibada huwa sitaki usumbufu".

Nilimwambia "Basi niandalie hicho chakula nile".

Niliamua kumdanganya maana sikutaka kabisa yule binti aelewe kitu chochote kilichokuwa kinaendelea.Sasa ilipofika usiku wa saa 6 nilisikia sauti ya Malikia kama kawaida ikiniita kule kwenye chumba cha siri,nilipotoka ili niendee kule chumbani nilimkuta yule binti dinning room akijisomea maana mitihani ya kumaliza form 4 ilikuwa karibu!.

Nilimwambia "mimi naenda kufanya ibada hivyo tafadhali kama unashida utanisubiri nimalize!".

Nilimuaminisha tangia awali kwamba kile chumba nilikuwa naingia kufanya ibada,kwakuwa hata maongezi ambayo tungeenda kuongea na Malikia sikuwa na wasiwasi maana alikuwa hana uwezo wa kusikia chochote.

Niliufungua ule mlango wa kile chumba cha siri na kuingia ndani!.



Itaendelea.................
Hii ajali naikumbuka bado tangu nipo advance maeneo hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom