Ramo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,819
- 1,816
hajamaliza Ila selikali ilizuia asiendelee na story ile,...Alimaliza stori yake R.F.A katika kipindi cha Sintasahau.
hajamaliza Ila selikali ilizuia asiendelee na story ile,...Alimaliza stori yake R.F.A katika kipindi cha Sintasahau.
Aligusa maslahi ya wakubwa.hajamaliza Ila selikali ilizuia asiendelee na story ile,...
KvpAligusa maslahi ya wakubwa.
Makafara hasa ile ya Morogoro (gar la mafuta).
Labda kaenda kwa Mzee chibaronzaDah jamaa kapotea sana
Halafu hiki kipengere alikisimulia juujuu tuu pale radio mwishowe wakamkatishaMakafara hasa ile ya Morogoro (gar la mafuta).
Wewe ni slow learner.Mpka epsod ya 8 Baba hajausika kabisa yani ni mama na masister kazidi mama mdogo?
Ni kweli mda unahitajika sanaDuuh.... Hii Mikasa ngoja tuitafutie muda
Niko Tarime hapa huku kwe2 hakuna mwanaume muoga hivi aisee mtoto wa kinyaturu unamuachaje hiyo mpaka anasumbua.kwamba mwamba alikuwa mzembe,yeye ni madaftari na yeye
hivi hawa watu, hii pic hua wameiweka kwenye album zao au inazurulaga tu mitandaoni! Inatakiwa wajukuu zao waje kuona na wawaulize hiki walichokua wanafanya ni niniAisee tuheshimiane mkuu,hahah.View attachment 1651227
yaani! We acha tu!Sio Kama wewe
School bus
English medium school
Chuo Cha magumashi
Kazi ya kutaftiwa NSSF
Kuozeshwa mtoto wa bestie wa mum
Kukabidhiwa gari ....siku ya send off
Kukabidhiwa nyumba..harusi
Halafu unaboa wafanya kazi wenzio na kusumbua wastaafu.
Kifupi huna mchango wowote hapa duniani....
Nimeipenda sana hiyo barua ya rufaa!